Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Wewe ni sawa tu na ng'ombe aliyetolewa kijijini penye ukame, ameletwa sehemu yenye malisho anenepeshwe Kisha achinjwe,

Lakini ngombe hajui hatma yake, anawafurahia na kuwashukuru wanaomnenepesha.

Neno linasema " MPUMBAVU amesema moyoni, hakuna Mungu.

Pole sana.
 
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wasio wapumbavu?

Kama kuna binadamu wapumbavu wanaosema Mungu hayupo na Mungu huyohuyo ndiye muumbaji wao, Basi kazi yake ya uumbaji ina dosari na kasoro kwa kuumba binadamu wapumbavu.

Na Mungu huyo ni Mpumbavu kwa kuumba binadamu wapumbavu wasio mtambua yeye yupo ilhali alitaka atambuliwe yupo na kila binadamu.
 
Ku'reply comments zote naona unapata tabu , moyo unaenda mbio ...kuwa na msimamo kama wenzio 😛 😛
Msimamo wangu ni ule ule.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
 
Msimamo wangu ni ule ule.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Mfano iwe kweli hayupo, wewe unapungukiwa kitu gani?
 
You are likely to be an ex seminarian
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…