Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwani hayo majini si yanaswali nayo au hujui?Sasa tuamini nini ushirikina una nguvu au dini ina nguvu,mana umeandika Jumbe alitoka kuswali na Bado mchawi akawa na nguvu dhidi ya dini na akavunjika mguu....???