Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Maisha ya Udalali: Kumzunguka dalali ni sawa?

Dalali ni kazi Kama kazi zingine hata Mino Raiola ni dalali was CR7 ila tu kwa sababu tunatumia neno agent ndio maana anaheshimika.

Dalali azungukwi Wala madalali hatuzungukani "what goes around comes around around",ukimzunguka dalali atajua tu coz hiyo sehemu anayokupeleka ndio shamba lake huwa tunakusanya elf 20 ishurini za service charge kila siku ,siku nikileta mteja kwa hiyo chumba lazima mwny nyumba atanitonya bwana chumba kimechukuliwa na mteja X Mara paap nakukuta ndio unatoka chooni na kitaulo chako akiya Mungu naondoka na taulo nakuacha kama ulivyo.

Muhimu kuheshimu pale mwenzio anapopatia kipato ,usimdharau mtu sababu anafanya hyo job,just nimekutana na dalali wa magari ambaye ni dokta wa hospital kapiga vitu vyake MUHAS hapo akaanza kunitisha nikamwambia tulia mm mwnywe dalali wa nyumba ila mhandis alikuja kuniuzia gari.Kwa hiyo tuka merge now akipata wateja wa nyumba ananipasia na mm nikipata wa magari nampasia tunagawana asilimia kitu na box.
Dalali si sawa na agent sababu.

Agent sio mbabaishaji.

Labda msajiriwe mnaweza kukaa sawa sasa.
 
Mkuu wewe muoga mno.
Yaani mjini hapa mtu anitishe kiasi hiko?
Halafu napendaga ligi za hivyo.
Unkinidindishia ndo nafanya kusudi.

Bora uje kistaarabu tukae mezani naweza walau kukupa hela ya serengeti 4.
Ila vitisho mhh
Hiyo imetokea juzi dalali mwenzangu ameonyeshwa nyumba na dalali mwengine dalali mm nikipata mteja hapa JF nikampgie yule dalali mwenzangu ambaye nafanya naye kazi tukauza nyumba tunagawana mtu bee.

Mteja alivyolipia nyumba akunitafuta tena kunijulisha kwamba amefanikisha maana mm nikipata mteja nampgia agent (jamaangu) anaenda kuuza nyumba harafu usiku tunakutana bar kufanya mgawo kifupi tunaaminiana sana.

Ss yule dalali wa 3 tuliyemzunguka na aliyemuonyesha mshikaji nyumba akapeleka mteja anakuta Mali ishauzwa akapagawa akaanza msako kwa madalali akupata jibu ikabidi amtaiti amdai mteja ,mteja ikabidi anipigie mm ,hapo ikabidi niende kuongea na madalali wenzangu akiwamo yule tuliyemzunguka,kumbe kihistoria aluwahi kutuzunguka xo kesi ikaishia hapo tukampiga Castle Lite with a bite mbili akatulia ila vinginevyo mteja angelipa hela ya udalali mara mbili.
 
Dalali si sawa na agent sababu.

Agent sio mbabaishaji.

Labda msajiriwe mnaweza kukaa sawa sasa.
Watu tumesajiriwa babu tupo kiofisi zaidi,japo kwenye msafara wa mamba na kenge wapo pia,hata madokta feki,na ma engineer feki wasiopitia ERB wapo pia ndio hao wanaangusha magorofa na madaraja kila day.
 
Miaka flan nyuma huko nliingia kwenye udalali sasa nikapata mteja wa Costa hiz bus nikamtoa mkoa tukaingia mjin DSM tukapata Costa nikaweka changu cha juu kama 4m jamaa mwenye gari akakubali sababu alkua anauza 18m mie nikamwambia jamaa 22m kimbembe kikaanza jamaa mwenye gar kwao n bagamoyo akasema hzo hela nataka cash Mambo ya benk sitaki hvyo tukamlipie bagamoyo.

Kwenye kuandikishana tukaenda mahakamani tukamkuta mmama mmoja hv maneno mengi nikamwambia kwenye hii pesa ya mauziano Sheria inataka mahakama ichukue 5% ya mauzo ila mie sikuzibii rizki nikamwambia mwenye gar na mnunuz walipe 10% kila mmoja na wote waliridhia tena bila risit ya mahakama sasa yule mama akaambiwa huyu jamaa ana 4m yake hii gar nauza 18m yule hakim nlimuona mjinga eti akawaita wale jamaa pamoja akawachana wasinipe kitu ndo ikawa mwanxo was kukosa 4m yangu nlioitafuta huku na kule kwa mbinde kuzunguka mikoa ila hakujua mie na mnunuz tunarud pamoja mpaka gar ifike mkoa Zaid ya 1000km ndo anipe changu.

Tukaenda bank tukatoa pesa tukampa jamaa tena nimemkumbuka jina huyo jamaa anaitwa Dharau ni maarufu Sana bagamoyo, Sasa kusubir ile 4m ndo hola piga simu not reachable mpaka tukaenda mkoa hola japo nashukuru jamaa alinitoa tulichikubaliana sasa nikaanza kuuchukia udalali kwa hasira sana.

Tokea siku hyo nikiwa na inshu ya kukutana na dalali nampa condition ya hitaji langu akilitimiza namwambia sikupi hiyo hela unayotaka nakupa 20k ikizid Sana 50k akikataa namwambia basi poa mie nafanya ninavyojua nakutana na mwenye Mali nampa chake napewa funguo mchexo umeisha.

Shida ya udalali Wana chain ndefu ya kijinga yan wanataka uwalee Kama wanawake Kama wapo kumi wote uwaridhishe
 
Dalali ni kazi Kama kazi zingine hata Mino Raiola ni dalali was CR7 ila tu kwa sababu tunatumia neno agent ndio maana anaheshimika.

Dalali azungukwi Wala madalali hatuzungukani "what goes around comes around around",ukimzunguka dalali atajua tu coz hiyo sehemu anayokupeleka ndio shamba lake huwa tunakusanya elf 20 ishurini za service charge kila siku ,siku nikileta mteja kwa hiyo chumba lazima mwny nyumba atanitonya bwana chumba kimechukuliwa na mteja X Mara paap nakukuta ndio unatoka chooni na kitaulo chako akiya Mungu naondoka na taulo nakuacha kama ulivyo.

Muhimu kuheshimu pale mwenzio anapopatia kipato ,usimdharau mtu sababu anafanya hyo job,just nimekutana na dalali wa magari ambaye ni dokta wa hospital kapiga vitu vyake MUHAS hapo akaanza kunitisha nikamwambia tulia mm mwnywe dalali wa nyumba ila mhandis alikuja kuniuzia gari.Kwa hiyo tuka merge now akipata wateja wa nyumba ananipasia na mm nikipata wa magari nampasia tunagawana asilimia kitu na box.

Kwa kweli Mr. dalali muwatishe hao hao wa huko mimi hamnipati ng’oo, na huwa nikisema hunifanyi kitu namaanisha hunifanyi kitu kweli!

Kuna lugha ya mazungumzo ya biashara kwamba sina hii pokea hii, unakomaa unataka kodi ya mwezi unanisaidia kutafuta hela? Sio kila nyumba utaingia utamkuta mteja wako anazunguka na taulo, Mmezoeshwa vibaya mno!
 
Kwa kweli Mr. dalali muwatishe hao hao wa huko mimi hamnipati ng’oo, na huwa nikisema hunifanyi kitu namaanisha hunifanyi kitu kweli!

Kuna lugha ya mazungumzo ya biashara kwamba sina hii pokea hii, unakomaa unataka kodi ya mwezi unanisaidia kutafuta hela? Sio kila nyumba utaingia utamkuta mteja wako anazunguka na taulo, Mmezoeshwa vibaya mno!
Nimewaza hiyo kutoka chooni na kitaulo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ukutane na mwenye nyumba Mbea...
Unamfuata kimya kimya muyamalize..

Anamtonya dalalii..
"mtu wako yupo hapa anakuzunguka"...
Bongo kuna mambo yamekaa kikatuni katuni, ila ni watu ndio wanayafanya.
kikatun katun[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli Mr. dalali muwatishe hao hao wa huko mimi hamnipati ng’oo, na huwa nikisema hunifanyi kitu namaanisha hunifanyi kitu kweli!

Kuna lugha ya mazungumzo ya biashara kwamba sina hii pokea hii, unakomaa unataka kodi ya mwezi unanisaidia kutafuta hela? Sio kila nyumba utaingia utamkuta mteja wako anazunguka na taulo, Mmezoeshwa vibaya mno!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea leo umeamua khaaaaaah mbavu zangu mieee, hyo taulo kuelekea maliwatoni, uwiiiiiiiiiiiiiiih
 
Hahaaaaa, wale jamaa wanakera sanaaaa...
Anakufuata kuanzia nje, Unamwambia kabisa wewe usijisumbue kama unavyonisindikiza hivi nikifika nitapanda basi lako au nikupe chochote,
Anaitikia kabisa "wewe hunipi chochote watanipa kule" Cha kushangaza ukifika anaanza "ukinisaidia hata mia tano sio mbaya"... hapa ndio wanachefuaga,

Mimi sikuhizi nikienda stend natembea na ticket niliyokwisha itumia mkononi nimeining'iniza,
Hakuna anaye kufuata.
[emoji23][emoji23][emoji23]unatoboa tket afu unaivaa shngon
 
Si ushalipwa elfu kumi ya kumpeleka kwa mwenye mali (nyumba/kiwanja/etc) tatizo lako nini?

Wewe mwenyewe hauko kisheria. Hata pesa ya mwezi mmoja haiko kisheria. Acha tamaa na ridhika na buku teni uliyopewa.
 
Kuna zile aina za mikataba Kama umeenda shule ww utakuwa unaelewa kwamba Kuna kitu inaitwa" verbal contract",makubaliano ya mdomo .Unarakiwa ukubaliane kabla haujaonyeshwa nyumba,ila km dalali mmekubaliana malipo ya kodi ya mwezi harafu hautaki kumpa hapo ss ww unaingia kwny kundi la matapeli dada .
Kwa kweli Mr. dalali muwatishe hao hao wa huko mimi hamnipati ng’oo, na huwa nikisema hunifanyi kitu namaanisha hunifanyi kitu kweli!

Kuna lugha ya mazungumzo ya biashara kwamba sina hii pokea hii, unakomaa unataka kodi ya mwezi unanisaidia kutafuta hela? Sio kila nyumba utaingia utamkuta mteja wako anazunguka na taulo, Mmezoeshwa vibaya mno!
 
Hiyo imetokea juzi dalali mwenzangu ameonyeshwa nyumba na dalali mwengine dalali mm nikipata mteja hapa JF nikampgie yule dalali mwenzangu ambaye nafanya naye kazi tukauza nyumba tunagawana mtu bee.

Mteja alivyolipia nyumba akunitafuta tena kunijulisha kwamba amefanikisha maana mm nikipata mteja nampgia agent (jamaangu) anaenda kuuza nyumba harafu usiku tunakutana bar kufanya mgawo kifupi tunaaminiana sana.

Ss yule dalali wa 3 tuliyemzunguka na aliyemuonyesha mshikaji nyumba akapeleka mteja anakuta Mali ishauzwa akapagawa akaanza msako kwa madalali akupata jibu ikabidi amtaiti amdai mteja ,mteja ikabidi anipigie mm ,hapo ikabidi niende kuongea na madalali wenzangu akiwamo yule tuliyemzunguka,kumbe kihistoria aluwahi kutuzunguka xo kesi ikaishia hapo tukampiga Castle Lite with a bite mbili akatulia ila vinginevyo mteja angelipa hela ya udalali mara mbili.
"vinginevyo mteja angelipa hela ya udalali mara mbili."

huyo mteja labda kama kaingia mjin na nguo kwny rambo ndo atalipa mara mbili.
 
Kuna zile aina za mikataba Kama umeenda shule ww utakuwa unaelewa kwamba Kuna kitu inaitwa" verbal contract",makubaliano ya mdomo .Unarakiwa ukubaliane kabla haujaonyeshwa nyumba,ila km dalali mmekubaliana malipo ya kodi ya mwezi harafu hautaki kumpa hapo ss ww unaingia kwny kundi la matapeli dada .

Kuna tatizo gani tapeli akimtapeli tapeli?
 
Kuna baadhi ya business dalali yuko kihalali na ana sheria inayolinda kazi yake.

Mfano: Insurance Brokers (hawa ni madalali), kuna brokers wa shares/stocks (huwezi kuuza share zako bila kupita kwa hawa watu), kuna mawakala wa michezo (sports agents), kuna sales agents kama wa flights nk nk.

Tatizo la hawa wa nyumba na mazao ni kwa sababu nchi yetu haijaamua kurasimisha hizi biashara, ndiyo maana kuna janja janja nyingi sana. Wateja tunaona kama tunapigwa, na mifumo ya malipo haiko sawa, kwa sababu unapolipa miezi 12 ya kupanga nyumba, dalali alitakiwa achukue kule kwa aliyepokea hela na si kwa wewe uliyetoa, au kuwe na 50 50.
Mkuu July NBA INARUDI TENA KARIBU TENA, Back to topic, Kazi ya udalali ni kama kazi nyingine ambayo ni rasmi na ina sheria ambazo zinaongoza shughuli hii. Madalali wengi wa mijini hawajasajiliwa na mamlaka za Serikali na hawatambuliki shughuli hiyo wanayoifanya. Wengi wanafanya kwa mazoea tu na si watu ambao unaweza kujua wapi wanapatikana kwani hata ofisi hawana, ni watu wa vijiweni. Ni muhimu sana kwa mteja au mmiliki kutafuta madalali ambao wanafanya kazi zao kwa mujibu wa sheria ili yanapojitokeza matatizo yanayohusiana na shughuli yake ya udalali unayo haki ya kisheria dhidi yake. Kama dalali hajasajiliwa shughuli yake ni batili kisheria na hatakama akikushauri kimakosa na kupata hasara ni vigumo kwako kumchukulia hatua za kisheria.
 
Kuna zile aina za mikataba Kama umeenda shule ww utakuwa unaelewa kwamba Kuna kitu inaitwa" verbal contract",makubaliano ya mdomo .Unarakiwa ukubaliane kabla haujaonyeshwa nyumba,ila km dalali mmekubaliana malipo ya kodi ya mwezi harafu hautaki kumpa hapo ss ww unaingia kwny kundi la matapeli dada .
Mkuu tukubaliane jambo moja kwamba, Kwa Maelezo yako hapo juu yanaweza yakawa ni makubaliano tu na sio mkataba. Ili Ijulikane ya kwamba mikataba yote ni makubaliano ila sio makubaliano yote ni mikataba isipokuwa yamekidhi vigezo vya kimkataba. Vigezo hivyo vimewekwa na sharia ya mikataba ya Tanzania kwa jina la The Law of Contract Act, [R.E 2002]. Kwenye kifungu cha 10 cha sheria hiyo kinataja baadhi ya vigezo ambayo ni lazima yawepo kwenye makubaliano fulani ili yaweze kuwa mkataba. Vigezo hivyo ni kama vile lazima kuwe na makubaliano huru baina ya pande zinazohusika katika mkataba. Na makubaliano hayo hayapaswi kufikiwa kwa kushawishiwa na rushwa, kulazimishwa au nguvu.
 
Back
Top Bottom