Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Unajua ile cell ikoje,ni kama darasa hivi kubwa lililo tupu..sasa kulala mnaelekeza vichwa ukutani pande zote mbili katikati mnaacha njia,na mwisho wa cell ndio kuna toilet...sema hakuna magodoro mnalalala chini kwenye sakafu japo yapo machache,mbaya zaidi wanachanganya wafungwa na mahabusu..