Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Hahahahaaaaa......mkuu mwache mwenzio akajaribu bahati yake......πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mkuu kuna umri na hali fulani ya maisha ukifikia hapa Bongo ukienda nje kupiga box utaishia kuwa frustrated na utarudi mbio hapa Tz. Nimeshuhudia haya nisemayo. Kule ni kuzuri uende mapema wakati una umri fulani wa kuchakarika na hali yoyote.
 

Very true.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†!
 
Ni kweli mimi sijawahi kufika mkuu.lazima niwe na wenge mkuu .hata hiyo tv sina!
 
Hahahhahaa...ndo maana nasema panachosha sN
 
Naudhika sana kuskia habari za kubaguliwa..kwan ukinibagua mm nakonda nn? Argh
 
Mkuu kuna umri na hali fulani ya maisha ukifikia hapa Bongo ukienda nje kupiga box utaishia kuwa frustrated na utarudi mbio hapa Tz. Nimeshuhudia haya nisemayo. Kule ni kuzuri uende mapema wakati una umri fulani wa kuchakarika na hali yoyote.
Mkuu ingefaa ungewapa vijana muongozo wa umri ili wenyewe wajitafakari........
 
Hivi huchoki na mapicha yako ya kudownload?!!! Utaacha lini ujinga huu!!!

Kama umeyapatia huko ni yako. Naamini una ndugu jamaa na marafiki unaowajua na ambao unaweza kuwapa msaada wa kufika huko na kufanikiwa zaidi kuliko kushinda kujomwambafai nyuma ya batan za simu humu Jf kwa ambao hutujui halafu tuna hamsini zetu . Acha ushamba.
 
Inategemea na mtu na mtu kwa sababu hatufanani. Kwangu mimi nyumbani ni nyumbani tu; na duniani huko huwa nakwenda tu kuosha macho na kurudi. Ni uamuzi tu nadhani; malengo ya mtu na anavyoyachukulia maisha [emoji1545][emoji1545]
Inategemea na mtu na sehemu ulipokwenda wengine wao wanapenda kukaa nyumbani na wengine kutoka kwenda nje!!
 
Naudhika sana kuskia habari za kubaguliwa..kwan ukinibagua mm nakonda nn? Argh
Mara nyingi maneno haya unayoandika yanatoka kwa mtu ambae hajaishi kwenye mazingira ya ubaguzi wa rangi. Vitu vingine ni vigumu kuelezewa ukaelewa ni mpaka uishi navyo ndio utajua athari zake na kwanini dunia nzima inaongelea racism.
#BlackLivesMatter
 
Mdogo wako kamtumia 7m?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ujana unaishia 35yrs. Ila kwa maoni yangu umri mzuri ni chini ya 30yrs na uwe huna familia.
Tena ukiwa 25 ni poa kabisa, unafanya maisha yako huko huko hadi kuoa....unauzoea mfumo wa maisha ya huko tangu ukiwa kijana.
 
Lakini mbona wabeba box wengine wengi wametoboa huko?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…