Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Tupo kipindi ambacho watu wanapenda zaidi pesa kuliko kitu kingine ili kutimiza mambo ya kidunia wanawake wengi mapenzi kwao yamekuwa fursa ya kibiashara halafu siku hizi wazee wanachangamkiwa na kina dada sehemu za huduma mbalimbaliBaba zao mbona ni maskini?
Nyie endeleeni kuendekeza usenge.