Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida


Mkuu uko keko nilipashindwa in two week bangi zinapulizwa dirashan kwako na ukiwafokea ugomvi
 
Unataka kuja kunitembelea? We jua naishi uswaz inatosha tu. Huku kila siki sherehe kama sio birthday ya mwajuma, basi ngoma ya asha na barabara ya mtaa inafungwa

Huko sherehe mmezibalisha jina et utasikia leo jirani kuna laana [emoji23][emoji23][emoji23] dah nilicheka sana nilipojua maana ya laana
 
Unataka kuja kunitembelea? We jua naishi uswaz inatosha tu. Huku kila siki sherehe kama sio birthday ya mwajuma, basi ngoma ya asha na barabara ya mtaa inafungwa
Nataka nikukaribishe huku kwetu mbagala kiburugwa njia panda ya kutokea buza kwa mparange na buza kwa mama kibonge!!!Ujionee tofauti za uswazi!!!!Karibu sana Nafaka!!!
 
Huko sherehe mmezibalisha jina et utasikia leo jirani kuna laana [emoji23][emoji23][emoji23] dah nilicheka sana nilipojua maana ya laana
Uswaz watu wana pesa acha kabisa. Na kila sherehe mabinti wanapga vijora vipya. Hawawazi kujenga sijui mijumba mikubwa, sijui wanunue magari. Life simple na wako happy tu... Eti laana 🀣🀣
 

[emoji23][emoji23]So mwana hakutoa jibu n Kwann
 
Uswaz watu wana pesa acha kabisa. Na kila sherehe mabinti wanapga vijora vipya. Hawawazi kujenga sijui mijumba mikubwa, sijui wanunue magari. Life simple na wako happy tu... Eti laana [emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23] hiyo nilisikia kwa mfanyakaz mwezet job ilikuwa jumapili sasa kaja kasema mimi leo sitoki mapema nitakuwa wa mwisho mtaani kuna laana leo [emoji23][emoji23][emoji23] nikastuka laana ndio nini akajibu kwa lafudhi ya uswahilini si kigodoro [emoji23][emoji23]
 
Mademu wa uswahilini hawana maana full mikosi Mimi gheto langu atii mguu Mtu anayeitw demu wa uswazi wamewaharibia watu wengi future ya Maisha.
Unaposema mademu wa uswahilini hawana maana????Unamaanisha nini?????Na unaposema wamewaharibia maisha unamaanisha nini?????Mbona sisi hao hao mademu wa uswazi Mbagala,Buza,Mwananyamala,Keko na Mikocheni A pale king,oko street ndio walitupa connection za kupiga hela ndefu!!!!!Au mademu wa uswazi unamaanisha nini????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…