Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Mkuu ukipazoea utapaona kawaida tu, sisi kwetu hatuja kulia Uswahili wala uraiani tokea wadogo sasa mzee wetu akastaafu serikalini tukaamia sinza kipindi hicho tupo wadogo miaka 20 hatuja vuta, kuna vitu tulikuwa tuna vishangaa kimoja tulikuwa hatuja vizoea ni watu kupita pita mpaka saa 4 ndiyo wanaisha kupita na Sinza kipindi hicho siyo uswahilini sana lakini sisi tulikuwa tunashangaa mbona watu wengi kuanzia saa kumi na mbili jioni, lakini baadae tuka zoea tukaona kawaida, na wewe ukienda kuishi uswahilini utakuja kupa zoea.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kama kijana mpambananaji mwenye focus kaa mbali na wanawake wana mikosi Sana haya Mambo Nina ushahidi nayo uswahilini uchawi unatisha.
Kaka kwahiyo wanawake wa mbezi beach kwa zena kawawa hawana mikosi?????Au oyster bay hakuna uchawi??????Tufafanulie kidogo kaka maana sisi mafanikio yetu ya kimaisha tumeyapatia uswahilini kaka!!!
 
Maisha ya uswazi raha sana ikiwa utayakubali mzee baba.
 
Ukiridhika na maisha ya uswahilini..you're done..unaukaribisha umasikini

Uswahilini iwe kama stepping stone kipindi cha kujitafuta ili mambo yakikaa fresh unahamia sehemu zilizotulia lakini kamwe usiridhike na kuishi uswazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…