Maisha ya wenye Ndoa wengi kwa Karne hii ni Ubaya Ubwela, tuwe Wakweli Ndoa nyingi ni Gereza la hiari kwa Wanaume

Maisha ya wenye Ndoa wengi kwa Karne hii ni Ubaya Ubwela, tuwe Wakweli Ndoa nyingi ni Gereza la hiari kwa Wanaume

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

90% ya ndoa nyingi ni fake, wanawake wengi huolewa kwa shida zao binafsi na kwa manufaa binafsi mfano kukosa kujihudumia kwa chakula, mavazi, kula vizuri, kulipa Kodi ya nyuma, familia duni hasa wazazi na ndugu tegemezi kibao, kuoana wivu hasa marafiki zao wakiolewa.

Na wanawake kwa asili wao wanapenda vitu na kwa asili pia ni wabinafsi sana na hawanaga urafiki wa kudumu na mwanaume bila faida ya vitu ama pesa.

Mwanamke akijipata akiwa kwenye ndoa ndipo akili yake ya kujutia kuolewa kwa sababu ya shida inamjia.

Mwanamke ni kiumbe anaeijua leo tu hajui jana wala kesho.
Mwanamke akionja kunyandua nje ya ndoa utayajua mashetani yake yote.
Mwanamke akipata huwakumbuka Maex wake kama harufu ya mshikaji.

Ni kosa kuoa au kuishi na mwanamke mwenye amejipata kwenye kipato, mwenye Cheo au madaraka na ana maendeleo yake hasa kiuchumi.

Nini kifanyike mwanaume wewe mzalishe mwanamke watoto wawili, watatu au wanne kisha mpatie nyenzo za kiuchumi aendelee na maisha yake mzalishe akiwa anaishi mwenyewe huku ukimpa support ya kiuchumi basi.

Wanaume wengi 90% hawana furaha ndani ya ndoa kwa sababu walioa wanawake fake, hawapati heshima, hakuna utii hakuna unyenyekevu, wanawake viburi, wajeuri, madharau, wajuaji, wanajifanyia mambo bila ruhusa wala taarifa.

Nawapa pole walio kwenye ndoa na wakitizama hasara za kiuchumi za kuachana wanaona Bora wavumilie mimi hawa nawaita ni vibwengo na wanaume mdundiko.

Mwanaume anaemvumilia mwanamke mpumbavu huyo mwanaume ni ndezi mfano wa mashoga.

Ubaya Ubwela Matokea ni mbegu ya shamba lako mwenyewe.
 
5126.jpg
 
Shalom,

90% ya ndoa nyingi ni fake, wanawake wengi huolewa kwa shida zao binafsi na kwa manufaa binafsi mfano kukosa kujihudumia kwa chakula, mavazi, kula vizuri, kulipa Kodi ya nyuma, familia duni hasa wazazi na ndugu tegemezi kibao, kuoana wivu hasa marafiki zao wakiolewa.

Na wanawake kwa asili wao wanapenda vitu na kwa asili pia ni wabinafsi sana na hawanaga urafiki wa kudumu na mwanaume bila faida ya vitu ama pesa.

Mwanamke akijipata akiwa kwenye ndoa ndipo akili yake ya kujutia kuolewa kwa sababu ya shida inamjia.

Mwanamke ni kiumbe anaeijua leo tu hajui jana wala kesho.
Mwanamke akionja kunyandua nje ya ndoa utayajua mashetani yake yote.
Mwanamke akipata huwakumbuka Maex wake kama harufu ya mshikaji.

Ni kosa kuoa au kuishi na mwanamke mwenye amejipata kwenye kipato, mwenye Cheo au madaraka na ana maendeleo yake hasa kiuchumi.

Nini kifanyike mwanaume wewe mzalishe mwanamke watoto wawili, watatu au wanne kisha mpatie nyenzo za kiuchumi aendelee na maisha yake mzalishe akiwa anaishi mwenyewe huku ukimpa support ya kiuchumi basi.

Wanaume wengi 90% hawana furaha ndani ya ndoa kwa sababu walioa wanawake fake, hawapati heshima, hakuna utii hakuna unyenyekevu, wanawake viburi, wajeuri, madharau, wajuaji, wanajifanyia mambo bila ruhusa wala taarifa.

Nawapa pole walio kwenye ndoa na wakitizama hasara za kiuchumi za kuachana wanaona Bora wavumilie mimi hawa nawaita ni vibwengo na wanaume mdundiko.

Mwanaume anaemvumilia mwanamke mpumbavu huyo mwanaume ni ndezi mfano wa mashoga.

Ubaya Ubwela Matokea ni mbegu ya shamba lako mwenyewe.

Nimegungiwa jukwaa la mchanganyiko

Wadiz
Ubaya Ubwela kataaa ndoaa kwa manufaaa ya Akili
 
Aliyezingua ni aliyeleta mambo ya kufunga ndoa. Ndoa ukishaifunga inakutia kwenye kitanzi flani hivi. Wakati mwingine unalazimika kuishi maisha flani hivi ambayo hukuyapanga mradi maisha yaende.

Kwa hapa ambao hamjafunga ndoa mnaweza msielewe
 
Shalom,

90% ya ndoa nyingi ni fake, wanawake wengi huolewa kwa shida zao binafsi na kwa manufaa binafsi mfano kukosa kujihudumia kwa chakula, mavazi, kula vizuri, kulipa Kodi ya nyuma, familia duni hasa wazazi na ndugu tegemezi kibao, kuoana wivu hasa marafiki zao wakiolewa.

Na wanawake kwa asili wao wanapenda vitu na kwa asili pia ni wabinafsi sana na hawanaga urafiki wa kudumu na mwanaume bila faida ya vitu ama pesa.

Mwanamke akijipata akiwa kwenye ndoa ndipo akili yake ya kujutia kuolewa kwa sababu ya shida inamjia.

Mwanamke ni kiumbe anaeijua leo tu hajui jana wala kesho.
Mwanamke akionja kunyandua nje ya ndoa utayajua mashetani yake yote.
Mwanamke akipata huwakumbuka Maex wake kama harufu ya mshikaji.

Ni kosa kuoa au kuishi na mwanamke mwenye amejipata kwenye kipato, mwenye Cheo au madaraka na ana maendeleo yake hasa kiuchumi.

Nini kifanyike mwanaume wewe mzalishe mwanamke watoto wawili, watatu au wanne kisha mpatie nyenzo za kiuchumi aendelee na maisha yake mzalishe akiwa anaishi mwenyewe huku ukimpa support ya kiuchumi basi.

Wanaume wengi 90% hawana furaha ndani ya ndoa kwa sababu walioa wanawake fake, hawapati heshima, hakuna utii hakuna unyenyekevu, wanawake viburi, wajeuri, madharau, wajuaji, wanajifanyia mambo bila ruhusa wala taarifa.

Nawapa pole walio kwenye ndoa na wakitizama hasara za kiuchumi za kuachana wanaona Bora wavumilie mimi hawa nawaita ni vibwengo na wanaume mdundiko.

Mwanaume anaemvumilia mwanamke mpumbavu huyo mwanaume ni ndezi mfano wa mashoga.

Ubaya Ubwela Matokea ni mbegu ya shamba lako mwenyewe.

Nimefungiwa jukwaa la mchanganyiko

Wadiz
Sifa ya moyo tamaa, moyo sifa yake kutamani.[emoji445][emoji445][emoji350]
Ila tamaaa ya moyo, inaweza kukuweka matatani.[emoji445][emoji445]
Unatamani kuzaa ,wakati bado upo shuleni.[emoji445]
Tumia akili kukataza, kabla hujawa matatizoni.[emoji445]
Ile ndoto ya kitandani, achana nayo.[emoji445]

Unaweza ukaota, umejenga angani (angani!!). Huifadhi ndoto ya shida gani WEWE.
 
Shalom,

90% ya ndoa nyingi ni fake, wanawake wengi huolewa kwa shida zao binafsi na kwa manufaa binafsi mfano kukosa kujihudumia kwa chakula, mavazi, kula vizuri, kulipa Kodi ya nyuma, familia duni hasa wazazi na ndugu tegemezi kibao, kuoana wivu hasa marafiki zao wakiolewa.

Na wanawake kwa asili wao wanapenda vitu na kwa asili pia ni wabinafsi sana na hawanaga urafiki wa kudumu na mwanaume bila faida ya vitu ama pesa.

Mwanamke akijipata akiwa kwenye ndoa ndipo akili yake ya kujutia kuolewa kwa sababu ya shida inamjia.

Mwanamke ni kiumbe anaeijua leo tu hajui jana wala kesho.
Mwanamke akionja kunyandua nje ya ndoa utayajua mashetani yake yote.
Mwanamke akipata huwakumbuka Maex wake kama harufu ya mshikaji.

Ni kosa kuoa au kuishi na mwanamke mwenye amejipata kwenye kipato, mwenye Cheo au madaraka na ana maendeleo yake hasa kiuchumi.

Nini kifanyike mwanaume wewe mzalishe mwanamke watoto wawili, watatu au wanne kisha mpatie nyenzo za kiuchumi aendelee na maisha yake mzalishe akiwa anaishi mwenyewe huku ukimpa support ya kiuchumi basi.

Wanaume wengi 90% hawana furaha ndani ya ndoa kwa sababu walioa wanawake fake, hawapati heshima, hakuna utii hakuna unyenyekevu, wanawake viburi, wajeuri, madharau, wajuaji, wanajifanyia mambo bila ruhusa wala taarifa.

Nawapa pole walio kwenye ndoa na wakitizama hasara za kiuchumi za kuachana wanaona Bora wavumilie mimi hawa nawaita ni vibwengo na wanaume mdundiko.

Mwanaume anaemvumilia mwanamke mpumbavu huyo mwanaume ni ndezi mfano wa mashoga.

Ubaya Ubwela Matokea ni mbegu ya shamba lako mwenyewe.

Nimefungiwa jukwaa la mchanganyiko

Wadiz
Marriage is liability and a trap to men.
 
Hivi unakaaaje sehemu hamna amani?
Ule mkataba wa ndoa mkuu ni hatari sana kwa mwanaume., ukipiga hesabu ya hasara za kiuchumi sio mchezo. Unatakiwa uondoke kwenye nyumba uliyojenga wewe mwenyewe umuache mke na mtoto, kama kuna mali zilipatikana ndani ya ndoa zinapogwa pasu kwa pasu na unatakiwa kutoa pesa kwa ajiri ya matunzo ya mtalaka wako na watoto.
Waliooa tunakesha nao bar kila siku majumbani kwao panawaka moto.
 
Back
Top Bottom