Maisha ya wenye Ndoa wengi kwa Karne hii ni Ubaya Ubwela, tuwe Wakweli Ndoa nyingi ni Gereza la hiari kwa Wanaume

Maisha ya wenye Ndoa wengi kwa Karne hii ni Ubaya Ubwela, tuwe Wakweli Ndoa nyingi ni Gereza la hiari kwa Wanaume

Tupo.

Ni upuuzi kuita ndoa feki kisa mtu kaja na uhitaji, hiyo ndio ndoa yenyewe. Kwenye ndoa kinachotupeleka ni mahitaji aidha ya kimwili, kiuchumi, kijamii au kiroho.

Sasa kama mwanaume unaita ndoa feki kisa mke kaja kufata mahitaji naomba uniambie ulitaka afuate nini? Au kigezo chako cha ndoa isiyo feki ni kipi??
Swali zuri,

Tunachotaka sie wanaume wengi ni kuwa mwanamke akiwa na sisi kwenye ndoa, kitu cha kwanza kinachotakiwa kiwe kimemleta ni kuwa anatakiwa awe amevutiwa na muonekano wetu wa nje k.v urefu, sura, rangi, yani kwa kifupi mwanamke awe na hisia na sisi, kama ni huduma za kipesa kwa ke mwanaume anaejielewa atatoa tu.

Shida ni kuwa mwanamke anakuwa hana hisia na mwanaume, ila anakuwa Yuko na mwanaume sababu ya hela tu, hiyo kitu ndo inatuuma sisi wanaume, ndo maana tunaiita ndoa feki. Zurie
 
Hata siku moja usijidanganye mwanamke yupo na wewe kwa sababu anakupenda, ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajatokea mwanaume mwingine wa kumuwekea mezani dau kubwa kuliko analolipata kutoka kwako.

All women are hoes, is just a matter of acceptable price
Nakazia
 
Wanaume mnaoteseka na NDOA mmejitakia wenyewe, endeleeni kuteseka maana mmeshupaza shingo zenu
NDOA NI UTAPELI NA MATESO KWA MWANAUME
KATAA NDOA ISHI KWA FURAHA unavuja jasho asubuh mpaka jioni na hiyo hela ukiipata unaenda kumpa mtu badala ya kushukuru ananua eti haitoshi!
Poleni sana enyi wanaume mliojivika kitanzi NDOA
 
Sahihi.

Lakini kabla ya kufika huko mshawishi uwezavyo kama kulewa mshawishi anywe pombe nk

Mwisho wa siku kaichukulie mkopo hiyo nyumba halafu nenda kajenge sehemu nyingine na umuandishe mama Yako ama baba Yako mzazi.

Vitu vya ndani kabla nyumba haijapigwa mnanda Anza kuuza taratiiiiiibu Kwa kisingio Cha uchumi.

Mwisho unaitelekeza familia wife na watoto wako. Nyumba ikipigwa mnanda waambie Watoto waende Kwa bibi Yao uliko Jenga. Muda huo nawewe unajifanya umefugwa na mama.

Nakwambia atalia Hadi anye lakni hataona Nzi yoyote akishobokea kinyesi chake.

Nimemaliza
Hii kuna mwamba mmoja aliifanya,jamaa alikuwa mfanyabiashara Kariakoo akaanza kidogo kidogo kuhamisha Biashara yake Arusha duka na store vitu vinapungua tuu anamwambia mkewe biashara ngumu tuchukue mkopo bank. Kweli wakaenda NMB kuchukua mkopo bond ikawekwa nyumba jamaa akawa halipi rejesho Bank wakaja kuoiga nyumba mnada,lakini kabla hawajajaa kuoiga mnada jamaa akamwambia mke kuwa tuachane demu anaanza kelele za talaka na kugawana mara bank na dalali wa kuuza nyumba hawa hapa,nyumba ikauzwa na mke ikala kwake maxima.
 
Pata watoto wako wawili watatu ukae utulie
Yaani watoto ndio watakufanya uharibikiwe kimwili,kiakili na ustawi wako kisa watoto,yaani uvumilie kero na mateso ya ndoa kisa watoto? Sasa hao watoto utawahudumia vipi ukishakuwa umevugwa kiakili na kimwili sababu ya ndoa?
 
Hii kuna mwamba mmoja aliifanya,jamaa alikuwa mfanyabiashara Kariakoo akaanza kidogo kidogo kuhamisha Biashara yake Arusha duka na store vitu vinapungua tuu anamwambia mkewe biashara ngumu tuchukue mkopo bank. Kweli wakaenda NMB kuchukua mkopo bond ikawekwa nyumba jamaa akawa halipi rejesho Bank wakaja kuoiga nyumba mnada,lakini kabla hawajajaa kuoiga mnada jamaa akamwambia mke kuwa tuachane demu anaanza kelele za talaka na kugawana mara bank na dalali wa kuuza nyumba hawa hapa,nyumba ikauzwa na mke ikala kwake maxima.
Yaani ukishaona dalili zisizo someka sanuka mapema aambulie manyoya ni akiri tu
 
Back
Top Bottom