Maisha yako ya Ndoa yamekuwaje baada ya kutofanikiwa kuoa/kuolewa na 'your dream man/woman?

Shukrani sana Saint Anno kwa ushauri mzuri, ubarikiwe wewe na familia yako..!!
 
Maisha haya inabidi ujifunze kupenda huu ni uwezo ambao wanawake wamepewa na Mungu, na hii ni kwa sababu mwanamke anatongozwa tofauti na mwanaume
Kujifunza kupenda nalo si jambo dogo Mtumishi..!!
 
Yule ana mbwela mbwela shauri yake atafika stage ya kutaka anaye pumua🤣🤣🤣🤣
Kuna wawili nimempatia namwambia wikend niwalete visingizo kibao mara mitihani ya cpa sijui nini....kusoma hakuna mwisho
Haha..
Hivyo wataka kusema yeye ndiye anazingua..!!?
 
Ili ujibiwe kiukweli unapaswa nawe uwe umetuli haswa, siyo unaendelea kuruka ruka and you're here praying,
 
Ukitulia you're smart enough ila mpaka utulie tumekoma..!
I like that one, kuna kitu muhimu umeniongezea sana.!!
 
Woooow'...!
What a beautiful testimony..!
Mungu azidi kuwatunza Prince..! Muendelee kupendana na kuwa na furaha daima..! Ameen.!
 
Uko sahihi kwenye hili, vijana wengi wa zamani miaka 70's-89' walichaguliwa wake na Wazee wao lakini waliweza kujifunza kupendana na wakaweza, kutokea hapo wakaanza kuishi Kwa Amani na upendo miaka na miaka wakihesabu anniversary za 25,30,45 pamoja.

Kitu ambacho wengi hawajui ni kuwa ukikaa na mtu Kwa muda mrefu unamzoea na kumpenda.

Na hakuna kitu Kinafanya Ke/Me wapendane kama kula Msosi pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…