Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Una hisia za kigaidi, jitahidi usije kujiua ukapewe majini 72 ahera
 
Safi
 
Pole sana
 
Kitakachokupa furaha huwezi kukijua kabla ya hiyo furaha hujapata
 
Furaha huanza na wewe Mwenyewe.Tengeneza Furaha yako kwanza kwa kufanya vitu unavyovipenda.Mtu mwingine hawezi kukupa Furaha kama moyo wako una huzuni.Jipe Furaha Mwenyewe.
 
Mindset is the Central Control Unit of your Happiness!
Stay positive!
 
Ungekuwa unakula kijiti plus kusikiliza mziki mzuri ungeishi a very very peaceful and happy life
 
Kuna watu watakuja na quote za ajabu ajabu hapa et

*"" Wengi wenye pesa hawana maisha ya furaha""

Ahahahah fvckn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…