Maisha yanaenda kasi sana, inakuaje vijana wa sasa wanakubali kulelewa kama watoto wa kike

Acha porojo wewe..wanaume tukiuza uji mtaani unadhani tutapata wateja wengi kama wanawake?.

Vijana wakiume wavivu ni wachache sana,tuache kuropoka ropaka,,vijana wa kiume wanapitia mengi kuanzia kupata mitaji na pia kupata michongo mitaani..
 
Acha kupiga ramli sio kila uonapo hali kama hoyo uwaze mapenzi labda ni mtu na aunt ake
 
Acha porojo wewe..wanaume tukiuza uji mtaani unadhani tutapata wateja wengi kama wanawake?.

Vijana wakiume wavivu ni wachache sana,tuache kuropoka ropaka,,vijana wa kiume wanapitia mengi kuanzia kupata mitaji na pia kupata michongo mitaani..
Sikatai ila wengi hawapo siriaz mishe nyngine za kuokoteza zipo ukitafutiza..Sasa wao Hadi ziwafate mkuu!!..naposema wanashinda kwa kijiwe ina maana pakiwa na ugum unakuta bado hawaz kubadili mchongo ko anaona Bora aende kupiga story tu akikosa POA..na KESHO anarud
 
Heading inasema watoto wakike ila kwenye maelezo unasema mwanamke kamzidi dogo miaka kama 20.

Sasa hapo si unatakiwa useme mwanamke na mtoto wa kiume?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…