Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
dogo mbona nashangaa unanizulia uwongo, wapi maneno ya 2013 , yakawa sawa na maneno yangu. Pili kwani swali siku zote silinaulizwa kutokana na topic mnayo ongelea. Sa mbona unaleta za kuleta hapa. Mimi nakushangaa wewe kuwashanga wengine, wakati wewe ndio inafaa watu wakushangae. Maswali yako mara nyingi kama ya mvuta bangi unauliza kama kukebehi watu, wewe kama huna elimu yanini unataka kushidana na watu wenye elimu.

Mkuu alichosema Eiyer ni sahihi kila kitu wala hajakusingizia. Pili Acha kujisifia kuhusu Elimu, Kufanya hivyo ni kama kumdharau Mtume Muhammad peace upon him ambaye hakuwa na Elimu na wewe umemzidi na huku anakuongoza wewe. Ianike Elimu yako hapa..kwa hoja makini, tutajua tu, kama unayo Elimu ama una huna.Sio lazima ujitutumue.
Wengine tumesoma Cambridge, ila hatupuuzi waliosoma saint kayumba.. tunaamini miongoni mwao wapo wale ambao ikiwa watapewa nafasi watadhihirisha vipaji vyao. Tamba mkuu ili tujue usomi wako.

Penye red: Nahisi harufu ya Hasira hapa ha ha ha ha. Kumbuka Angry speech is not a free speech. relax kidogo mkuu..


"Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking." - Albert Einstein




 
Wewe tupe point hapo Isaya alikuwa kamkusudia nani? Mbona unapiga kelele tu kama mlevi hajui anaelekea wapi.
Yaani wewe ulete madai halafu mimi ndio nithibitishe, wewe ndio umeleta madai ya kwamba ni Muhammad, ndio unatakiwa ututhibitishie alipewa chuo cha Nabii Isaya asome... huwa mnakurupuka sana, sasa thibitisha sasa thibitisha lile li jitu lililomkaba kule pangoni Jabal Hira, lilimpa chuo cha nabii Isaya asome...

Leta ushahidi wa kielimu, na ulete dalili zako sio unasikia nyimbo za kanisani za uwongo, afu unatuletea hapa. Nani alimuona Gabriel kamkaba Mtume Muhammad. Ulikuwepo au nani alikuwepo mpaa akaona hayo? Mtume alikuwa peke yake hakuna aliyekuwepo hapo sa we hio hadith umeitoa wapi? na Ushahidi wako umeuhakikisha vipi?
Kwani nani kasema wakati Jibril anamkaba Muhammad alikuwa na mtu!? Muhammad alikabwa na li jitu halijui mpaka mpiga ramli akaja kumuondoa hofu, kama Muhammad alijua aliyemkaba kwa mpiga falaq alienda kufanya nini!?
Si kweli wacha uwongo, Warqa kahadithiwa na Mtume Muhammad kamuona Gabriel, na Warqa ndio alimuliza bada ya hapo ni yule Gabriel kama aliye Muona Prophet Mussa? Sa vipi unazua uwongo. Eti Warqah ndio kamuambia yule Gabriel. Wakati Qur'an ilipo shushwa hakuwepo Warqah wala jinni pale, ni Mtume Muhammad na Gabriel tu, ndio walikuwepo.
Leta ushahidi Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alikabwa na Jibril, yaani inawezekana vipi Waraqa ahadithiwe na Muhammad halafu tena amuulize, sasa kwa Waraqa walienda kufanya nini!?

Hapo nilipoweka red, wacha kumzulia Allah uwongo, sidhani hata kama unajua ni kwa namna gani wahyi ulivyokuwa unashushwa, we unadhani kule pangoni alishushiwa quran!? Hapo bado hatujamuangalia Umar bin Khatab, kwa hiyo uwache kumzulia Allah uwongo...
 
dogo mbona nashangaa unanizulia uwongo, wapi maneno ya 2013 , yakawa sawa na maneno yangu. Pili kwani swali siku zote silinaulizwa kutokana na topic mnayo ongelea. Sa mbona unaleta za kuleta hapa. Mimi nakushangaa wewe kuwashanga wengine, wakati wewe ndio inafaa watu wakushangae. Maswali yako mara nyingi kama ya mvuta bangi unauliza kama kukebehi watu, wewe kama huna elimu yanini unataka kushidana na watu wenye elimu.

Wapi nimesema maneno yako ya mkuu 2013 yako sawa?

Unashindwa hata kuelewa vitu vidogo namna hii?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu alichosema Eiyer ni sahihi kila kitu wala hajakusingizia. Pili Acha kujisifia kuhusu Elimu, Kufanya hivyo ni kama kumdharau Mtume Muhammad peace upon him ambaye hakuwa na Elimu na wewe umemzidi na huku anakuongoza wewe. Ianike Elimu yako hapa..kwa hoja makini, tutajua tu, kama unayo Elimu ama una huna.Sio lazima ujitutumue.
Wengine tumesoma Cambridge, ila hatupuuzi waliosoma saint kayumba.. tunaamini miongoni mwao wapo wale ambao ikiwa watapewa nafasi watadhihirisha vipaji vyao. Tamba mkuu ili tujue usomi wako.

Penye red: Nahisi harufu ya Hasira hapa ha ha ha ha. Kumbuka Angry speech is not a free speech. relax kidogo mkuu..


"Any man who reads too much and uses his own brain too little falls into lazy habits of thinking." - Albert Einstein




dogo mimi niwe na elimu kuliko Mtume Muhammad? Nadhani hapo una ota ndoto kubwa sana ya kishetani. dogo Yesu alienda shule? Kama Yesu alienda shule alisomea wapi? Hebu tupe jina la shule aliyo soma Yesu. Kama Yesu hajasoma shule, vipi awe Mungu wako? Kuna Mungu hana elimu? Tukirudi kwa rafiki yako unasema hajaongea uwongo kivipi na ananizulia maneno eti wewe ulicho andika mimi ndio nakuja hicho hicho kikiulizia na kukiandika? Anasema Malaika Gabriel sio roho mtakatifu, hebu yeye atupe dalili nani ni roho matakatifu? Wacha nimfahamishe huyo dogo anaye sema Malaika Gabriel sio roho mtakatifu, Pamoja na wewe someni haya maneno ni yametoka kwenye ukristo wala sio katika waislam
Malaika - Gabrieli na MikaeliGabrieliMara nyingi katika maandiko malaika au malaika wa Bwana ametajwa.Huyu kwa kawaida ni Gabrieli, ambaye ndiye Mungu RohoMtakatifu katika sura ya malaika. Yeye daima huja kufariji, kuelekeza,kuongoza na kudhihirisha mapenzi ya Mungu na kweli.Kwa mfano, wakati wa azimio la Yohana Mbatizaji katika Luka1:11-13 "Akatokewa na malaika waBwana, amesimama upande wakiume wa madhabahu ya kufukizia. Zakaria alipomwona alifadhaika, hofuikamwingia. Lakini Yule malaikaakamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabetiatakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana." Luka 1:18-19 "Zakariaakamwambia malaika, nitajuaje neno hilo? Maana mimi ni mzee, na mke wangu nimkongwe wa siku nyingi. Malaikaakamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli,nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari hizinjema."Wakati wa azimio la Yesu katika Luka 1:26-31 "Mwezi wasita, malaika Gabrieli alitumwana Mungu, kwenda mpaka mji wa Galilaya jina lake Nazareti. Kwa mwanamwalibikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu wa mbari ya Daudi; na jina lake bikirahuyo ni Mariamu. Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema,Bwana yu pamoja nawe. Naye akafadhaika sanakwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Malaikaakamwambia, Usiogope,Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaamtoto mwanamume; na jina lake utamwita YESU." Pia tunasoma katika Danieli 8:16 "Nikasikia sauti ya mwanadamu katikati yamto Ulai, iliyoita na kusema, Gabrieli,mfahamishe mtu huyu maonohaya." Pia Danieli 9:21 "Naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtuyule, Gabrieli, niliyemwonakatika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihuya jioni."Gabrieli ananena katika Danieli 10:21 "Lakini (Gabrieli)nitakuambia yaliyoandikwa katika maandiko ya kweli: wala hapana anisaidiaye juu ya hao ila huyo mikaeli, mkuu wenu."MikaeliWakati mwingine "malaika" wa Bwana aliyetajwa katikamaandiko ni Mikaeli, ambaye ni Mungu aliye Neno katikasura ya malaika. Isaya 9:6 "Maanakwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalmeutakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenyenguvu, Baba wa milele, Mfalme waAmani." Pia Danieli 12:1 "Wakatihuo Mikaeli atasimama, jemadarimkuu asimamaye upande wa wana wa watu wako; na kutakuwa na wakati wataabu, mfano wake haukuwapo tangu lilipoanza kuwapo taifa hata wakati uo huo:na wakati huo watu wako wataokolewa; kila mmoja atakayeonekana ameandikwakatika kitabu kile." Maana Yesu ameketimkono wa kuume wa Mungu, hata hivyo, mwishoni, atakaposimama, kutakuwepo namateso mengi juu ya nchi. Ufunuo 12:7 "Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, Yule joka nayeakapigana nao pamoja na malaika zake." Tunasoma katika Hesabu 22:23 "Na Yule punda akamwona malaika wa BWANA amesimamanjiani, na upanga wakemkononi mwake, amekwisha kuufuta; punda akageuka upande ili kuiacha njia,akaingia shambani. Balaamu akampiga punda ili kumrejeza njiani." Pia tunasoma katika Yoshua 5:13-14 "Ikawa hapo Yoshuaalipokuwa karibu na mji wa Yeriko, akavua macho yake na kuangalia, na tazama, mtu mume akasimama kumkabilimbele yake, naye alikuwa na upangawazi mkononi mwake; Yoshua akamwendea, na kumwambia, Je! Wewe u upandewetu, au upande wa adui zetu! Akasema, La, Lakini nimekuja sasa, nili amiri wa jeshi la BWANA. Yoshuaakapomoka kiusouso hata nchi, naye akasujudu, akamwuliza, Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake?"
Sa hapo nataka abishe kama roho mtakatifu sio Gabriel, mana akibisha atakuwa anabishana na wakristo wenye kuijua bibilia, sio yeye anaendeshwa hajui mbele wala nyuma. hata wakrsito na bibilia zao wanakubaliano na mimi. Roho mtakatifu ndio Gabriel. Wacheni kujidanganya wakristo mnapoteza time. Dini yenu sio ya kweli na roho mtakatifu hata bibilia zenu zinakubaliana na waislam ni Gabriel.
 
Yaani wewe ulete madai halafu mimi ndio nithibitishe, wewe ndio umeleta madai ya kwamba ni Muhammad, ndio unatakiwa ututhibitishie alipewa chuo cha Nabii Isaya asome... huwa mnakurupuka sana, sasa thibitisha sasa thibitisha lile li jitu lililomkaba kule pangoni Jabal Hira, lilimpa chuo cha nabii Isaya asome...
Nilisha kuwekea uthibitisho, sa niweke mara ngapi, wewe ndio ukabisha. Sa nimeomba wewe utuelezea Isaya alikuwa akamkusudia nani kama si Mtume Muhamamd, naona unakuja na maneno mengi. Hapo inaonyesha wazi wewe hujui unacho bisha, na huna na ushahidi wa maneno yako unayo yabishia. Na ndio siku zote mtu anaye bisha, na anatabia ya kubisha siku zote ataendelea kubisha hata ukimpa ukweli.


Kwani nani kasema wakati Jibril anamkaba Muhammad alikuwa na mtu!? Muhammad alikabwa na li jitu halijui mpaka mpiga ramli akaja kumuondoa hofu, kama Muhammad alijua aliyemkaba kwa mpiga falaq alienda kufanya nini!?
Haya maneno sisi tunataka dalili umejifunzia wapi? Ndio nimekuliza nipe kitabu gani kinacho sema au hadith gani ya ukweli inayo sema maneno hayo. Mtume Muhammad hajasema kabakwa wala nini? Alichosema Gabriel alimlazimisha asome yeye akasema mimi sijasoma. Gabriel akamuambia tena soma, Mtume Muhammad akasema sijasomo, mpaa ile ya tatu Mtume Muhamamd akasoma kama anavyo taka Gabriel. Na maneo yalikuwa kwenye Qur'an 96:1-5 ;Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote. Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
Leta ushahidi Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alikabwa na Jibril, yaani inawezekana vipi Waraqa ahadithiwe na Muhammad halafu tena amuulize, sasa kwa Waraqa walienda kufanya nini!?
Eti kwa Warqa walienda kufanya nini? Kwanza alikuwa ni shemeji yake, pili Khadija alikuwa ni mkristo na Warqa alikuwa ni priest time zile. Hapo kumbuka Warqa alikuwa pia ni mtungaji wa bibilia, wala hakuwa mpiga ramli kama unavyo dai. Mtume Muhammad alimhadisia Warqa mambo aliyo yaona, na Warqa akamuambia huyo malaika ulio muona ni kama aliye muona nabii Mussa? Sa hapo nani anahadithia na nani anaye uliza, kutokana na kufahamu kwako?

Hapo nilipoweka red, wacha kumzulia Allah uwongo, sidhani hata kama unajua ni kwa namna gani wahyi ulivyokuwa unashushwa, we unadhani kule pangoni alishushiwa quran!? Hapo bado hatujamuangalia Umar bin Khatab, kwa hiyo uwache kumzulia Allah uwongo...
Wapi nimemzulia Allah uwongo? Na wewe unashangaa Qur'an kushushwa Pangoni? Kwani usishangae Tourat kushushwa kwenye mabonde ya milima? Na kwanini usishangae Yesu kushushiwa Injil chini ya mti wa mtende.
 
Wapi nimesema maneno yako ya mkuu 2013 yako sawa?

Unashindwa hata kuelewa vitu vidogo namna hii?
Nilicho sema wewe unasema nimefahamishwa na 2013 kwenye maswali nilio uliza, ndio nimesema wapi maneno yake yakawa sawa na mimi nilicho uliza. Sa nani asiye fahamu hapo mimi au wewe. Na huyo kondoo akadhani vile, mimi nimeuliza maswlai sijaona huyo 2013 kajibu maswlai yangu kama navyo taka, au kanifamaisha kama unavyo dai wewe, kanifahamisha nini? Wakati mimi naongelea kingine na 2013 anarukia kuongelea mengine, yani yule 2013 afadhali kidogo anajitahidi kujibu point, lakini wewe na Ishmael sijui mnazo au hamna. Hamjulikana mnaongelea nini, wewe kujidai kufanya utani na yule kichaa kabaki ku copy na ku paste tu, hajui ana copy nini na ana paste nini.
 
Ndio maana ameishia kunitusi tu!
Mkuu hawa watu wanahitaji maombi: Nimesoma stori ya Ex Muslim kutoka IRan aniaishi Englanda anasema Baba yake haendi tena Mosque kwani haamini katika Uislamu. Yeye binafsi anayo mashaka makubwa sana ila anajaribu kukataa akimaini ni Shaytan atakuwa anamjaribu. Lakini hii bado haijamzuia kuona shaka zilizojaa kwenye koran na Muhammad wao. kama kweli ni mtume wa Mungu. Kwani Mwislamu yoyote ni mtu sane. Ila Imani yao hairuhusu kuuliza. Ikiwa Allaha akishindwa kujibu mwaswali yao atakasirika na kuwatupa motoni wote.
A true God will never want us to believe in things that make no sense.
Mfano: Mtume alioa mtoto tena aliyekuwa akichezea mdoli na watoto wenzake. Na ni yeye tu aliruhusiawa kuwa na mdoli wenzake hawakuuruhusiwa. Kwani imani yao inakataza idols na michoro ya aina yoyote. Huu Ukweli udhahirika zaidi pale alipokwenda kuoshwa uso na mama yake. Ni nani anakumbuka alioshwa uso na mama yake akiwa katika umri gani kama sio utoto? Pia Ayesha anakiri kuwa hajui imani ya wazazi wake kabla ya wao kuamini katika waislamu. hii ni dalili alikuwa hajapevuka? Je kuna haja ya kumwiga mtume matendo yake ama tunatakiwa tuchague. Kwa utaratibu upi tunatakiwa tuchague? Je kama mambo yake haya-apply dunia ya leo yeye anaweza kuwa mtume?
Ni wazi All muslims watakuwa wanaona zipo shaka za wazi kabisa lakini wamekuwa mentally controlled: wanahofu pengine kujua kwao ni nguvu ya shaytani.Hivyo ni bora waendelee kudanganya watu na kujidanganya. Is like wamekata tamaa hivi.

 
Nilisha kuwekea uthibitisho, sa niweke mara ngapi, wewe ndio ukabisha. Sa nimeomba wewe utuelezea Isaya alikuwa akamkusudia nani kama si Mtume Muhamamd, naona unakuja na maneno mengi. Hapo inaonyesha wazi wewe hujui unacho bisha, na huna na ushahidi wa maneno yako unayo yabishia. Na ndio siku zote mtu anaye bisha, na anatabia ya kubisha siku zote ataendelea kubisha hata ukimpa ukweli.
Wewe ndio ulete uthibitisho, ile Muhammad kuambiwa soma, alikuwa anaambiwa asome nini!? sio uthibitisho wa kuambiwa soma, lete uthibitisho kama kulikuwa na uhusiano na chuo cha nabii Isaya...

Haya maneno sisi tunataka dalili umejifunzia wapi? Ndio nimekuliza nipe kitabu gani kinacho sema au hadith gani ya ukweli inayo sema maneno hayo. Mtume Muhammad hajasema kabakwa wala nini? Alichosema Gabriel alimlazimisha asome yeye akasema mimi sijasoma. Gabriel akamuambia tena soma, Mtume Muhammad akasema sijasomo, mpaa ile ya tatu Mtume Muhamamd akasoma kama anavyo taka Gabriel. Na maneo yalikuwa kwenye Qur'an 96:1-5 ;Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote. Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
Alimlazimisha kwa namna ipi asome!? inawezekana vipi, uambiwe usome halafu upate hadi homa!? lile dude mnaloliita Jibril lilimbana hadi akaingiwa hofu akapata na homa, halafu nimekuambia kwenye kitabu cha Maisha Nabii Muhammad kuna maelezo ninayokwambia, labda ulete hadithi kupinga hayo maelezo... lakini nadhani wewe sio mwanazuoni...
Eti kwa Warqa walienda kufanya nini? Kwanza alikuwa ni shemeji yake, pili Khadija alikuwa ni mkristo na Warqa alikuwa ni priest time zile. Hapo kumbuka Warqa alikuwa pia ni mtungaji wa bibilia, wala hakuwa mpiga ramli kama unavyo dai. Mtume Muhammad alimhadisia Warqa mambo aliyo yaona, na Warqa akamuambia huyo malaika ulio muona ni kama aliye muona nabii Mussa? Sa hapo nani anahadithia na nani anaye uliza, kutokana na kufahamu kwako?
Nimekuomba unipe ushahidi wa maneno ya Muhammad akimwambia Waraqa kule Jabal Hira alikutana na Jibril, kwasababu ninavyofahamu Waraqa ndiye aliyemwabia Muhammad lile dude lililomkaba ni Jibril, ndiye aliyemtokea Musa na Isa, akamwambia jibashirie wewe ni mtume wa uma huu, alivyoambiwa hivyo na mpiga ramli ndio hofu ikamtoka Muhammad wakarejea kwao na Khadija

Hapo nilipoweka red acha uongo wako, Waraqa alitunga vipi Biblia!? acha kuzuwa uwongo. kitabu gani Waraqa alitunga kwenye Biblia!?
Wapi nimemzulia Allah uwongo? Na wewe unashangaa Qur'an kushushwa Pangoni? Kwani usishangae Tourat kushushwa kwenye mabonde ya milima? Na kwanini usishangae Yesu kushushiwa Injil chini ya mti wa mtende.
Hapo nilipoweka Blue bado unaendelea kumzulia Allah uwongo, nani alikwambia quran ilishushwa pangoni!? kule alikabwa tu akaambiwa asome, baada ya kujibashiria utume kama alivyoambiwa na Waraqa, ndio yakaanza mambo ya Wahyi na hapa kina Umar bin Khatab wanaanza kuhusika, hebu niambie na hii aya hapa chini ilishushwa pangoni kama unavyodai!? inahusiana na wake za Muhammad

Quran 66:5 Asaa Mola wake Mlezi, akikupeni talaka, akampa wake wengine badala yenu nyinyi, walio bora kuliko nyinyi, wanynyekevu, Waumini, wat'awa, walio tubu, wenye kushika ibada, wafanyao kheri, wajane na wanawari.

Hapo nilipoweka red, huyo unayemuongelea hapo sio Jesus Christ the King ninayemfahamu, sio Yesu Mnazareti ninayemjua, hiyo Injili ilishushwa vipi chini ya mtende!? kwa hiyo alikuwa anahubiria mitende au!?Hakuna kama Yesu kwahiyo usimfananishe na yeyote...


 
dogo mimi niwe na elimu kuliko Mtume Muhammad? Nadhani hapo una ota ndoto kubwa sana ya kishetani. dogo Yesu alienda shule? Kama Yesu alienda shule alisomea wapi? Hebu tupe jina la shule aliyo soma Yesu. Kama Yesu hajasoma shule, vipi awe Mungu wako? Kuna Mungu hana elimu? Tukirudi kwa rafiki yako unasema hajaongea uwongo kivipi na ananizulia maneno eti wewe ulicho andika mimi ndio nakuja hicho hicho kikiulizia na kukiandika? Anasema Malaika Gabriel sio roho mtakatifu, hebu yeye atupe dalili nani ni roho matakatifu? Wacha nimfahamishe huyo dogo anaye sema Malaika Gabriel sio roho mtakatifu, Pamoja na wewe someni haya maneno ni yametoka kwenye ukristo wala sio katika waislamSa hapo nataka abishe kama roho mtakatifu sio Gabriel, mana akibisha atakuwa anabishana na wakristo wenye kuijua bibilia, sio yeye anaendeshwa hajui mbele wala nyuma. hata wakrsito na bibilia zao wanakubaliano na mimi. Roho mtakatifu ndio Gabriel. Wacheni kujidanganya wakristo mnapoteza time. Dini yenu sio ya kweli na roho mtakatifu hata bibilia zenu zinakubaliana na waislam ni Gabriel.
Mkuu kila ulichoandika hakina Ukweli wowote. Ni kama uliye-overlook ukweli.
Kila jina lina maana.
Kwa Malaika kutiwa Gabriel lina maanisha malaika anayetumwa: Ndio maana kwenye ujumbe kila mahali utaona wameandika malaika gabriel
Na malaika kuitwa Mikael lina maanisha malaika mpiganaji. Ndio maana sehemu zote zenye kuelezea vita utaona jina malaika Mikael.
Yesu:lina maana ya Mungu ashinda:
Issa:lina maana wekundu uliozidiana na weupe.<-(Make no sense!!)
Abrahamu: kama sijakosea ni baba wa Imani
Ebenezeri lina maana pia. n.k.
Majina haya sio ajali bali yamebeba wito wao:

unapokuja kusema kuhusu Roho Mtakatifu unazungumza jambo jingine kabisa. Nahop hapa itakusaidia kupambanua kile kilichoandikwa.
 
Mkuu hawa watu wanahitaji maombi: Nimesoma stori ya Ex Muslim kutoka IRan aniaishi Englanda anasema Baba yake haendi tena Mosque kwani haamini katika Uislamu. Yeye binafsi anayo mashaka makubwa sana ila anajaribu kukataa akimaini ni Shaytan atakuwa anamjaribu. Lakini hii bado haijamzuia kuona shaka zilizojaa kwenye koran na Muhammad wao. kama kweli ni mtume wa Mungu. Kwani Mwislamu yoyote ni mtu sane. Ila Imani yao hairuhusu kuuliza. Ikiwa Allaha akishindwa kujibu mwaswali yao atakasirika na kuwatupa motoni wote.
A true God will never want us to believe in things that make no sense.
Mfano: Mtume alioa mtoto tena aliyekuwa akichezea mdoli na watoto wenzake. Na ni yeye tu aliruhusiawa kuwa na mdoli wenzake hawakuuruhusiwa. Kwani imani yao inakataza idols na michoro ya aina yoyote. Huu Ukweli udhahirika zaidi pale alipokwenda kuoshwa uso na mama yake. Ni nani anakumbuka alioshwa uso na mama yake akiwa katika umri gani kama sio utoto? Pia Ayesha anakiri kuwa hajui imani ya wazazi wake kabla ya wao kuamini katika waislamu. hii ni dalili alikuwa hajapevuka? Je kuna haja ya kumwiga mtume matendo yake ama tunatakiwa tuchague. Kwa utaratibu upi tunatakiwa tuchague? Je kama mambo yake haya-apply dunia ya leo yeye anaweza kuwa mtume?
Ni wazi All muslims watakuwa wanaona zipo shaka za wazi kabisa lakini wamekuwa mentally controlled: wanahofu pengine kujua kwao ni nguvu ya shaytani.Hivyo ni bora waendelee kudanganya watu na kujidanganya. Is like wamekata tamaa hivi.


We kondoo kwel umekata kamba! Hivi story za hao watu ndo znakufanya u discuss uislamu negatively? POLeeeeeee... Tukikupa watu maarufu, watu baki waliouingia uislamu Mbona tutajaza thread!! acha kuleta swaga za KWAYA
 
Mkuu hawa watu wanahitaji maombi: Nimesoma stori ya Ex Muslim kutoka IRan aniaishi Englanda anasema Baba yake haendi tena Mosque kwani haamini katika Uislamu. Yeye binafsi anayo mashaka makubwa sana ila anajaribu kukataa akimaini ni Shaytan atakuwa anamjaribu. Lakini hii bado haijamzuia kuona shaka zilizojaa kwenye koran na Muhammad wao. kama kweli ni mtume wa Mungu. Kwani Mwislamu yoyote ni mtu sane. Ila Imani yao hairuhusu kuuliza. Ikiwa Allaha akishindwa kujibu mwaswali yao atakasirika na kuwatupa motoni wote.
A true God will never want us to believe in things that make no sense.
Mfano: Mtume alioa mtoto tena aliyekuwa akichezea mdoli na watoto wenzake. Na ni yeye tu aliruhusiawa kuwa na mdoli wenzake hawakuuruhusiwa. Kwani imani yao inakataza idols na michoro ya aina yoyote. Huu Ukweli udhahirika zaidi pale alipokwenda kuoshwa uso na mama yake. Ni nani anakumbuka alioshwa uso na mama yake akiwa katika umri gani kama sio utoto? Pia Ayesha anakiri kuwa hajui imani ya wazazi wake kabla ya wao kuamini katika waislamu. hii ni dalili alikuwa hajapevuka? Je kuna haja ya kumwiga mtume matendo yake ama tunatakiwa tuchague. Kwa utaratibu upi tunatakiwa tuchague? Je kama mambo yake haya-apply dunia ya leo yeye anaweza kuwa mtume?
Ni wazi All muslims watakuwa wanaona zipo shaka za wazi kabisa lakini wamekuwa mentally controlled: wanahofu pengine kujua kwao ni nguvu ya shaytani.Hivyo ni bora waendelee kudanganya watu na kujidanganya. Is like wamekata tamaa hivi.

Tazama wangapi wametoka uislam kwenda ukristo, na utazame wangapi wametoka kwenye ukristo kwenda kwenye uislam. Hivi dogo walio toka kwenye ukrsito kwenda kwenye uislam wote unawazidi akili?
 
Nilisha kuwekea uthibitisho, sa niweke mara ngapi, wewe ndio ukabisha. Sa nimeomba wewe utuelezea Isaya alikuwa akamkusudia nani kama si Mtume Muhamamd, naona unakuja na maneno mengi. Hapo inaonyesha wazi wewe hujui unacho bisha, na huna na ushahidi wa maneno yako unayo yabishia. Na ndio siku zote mtu anaye bisha, na anatabia ya kubisha siku zote ataendelea kubisha hata ukimpa ukweli.


Haya maneno sisi tunataka dalili umejifunzia wapi? Ndio nimekuliza nipe kitabu gani kinacho sema au hadith gani ya ukweli inayo sema maneno hayo. Mtume Muhammad hajasema kabakwa wala nini? Alichosema Gabriel alimlazimisha asome yeye akasema mimi sijasoma. Gabriel akamuambia tena soma, Mtume Muhammad akasema sijasomo, mpaa ile ya tatu Mtume Muhamamd akasoma kama anavyo taka Gabriel. Na maneo yalikuwa kwenye Qur'an 96:1-5 ;Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba, Amemuumba binaadamu kwa tone la damu, Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote. Ambaye amefundisha kwa kalamu. Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
Eti kwa Warqa walienda kufanya nini? Kwanza alikuwa ni shemeji yake, pili Khadija alikuwa ni mkristo na Warqa alikuwa ni priest time zile. Hapo kumbuka Warqa alikuwa pia ni mtungaji wa bibilia, wala hakuwa mpiga ramli kama unavyo dai. Mtume Muhammad alimhadisia Warqa mambo aliyo yaona, na Warqa akamuambia huyo malaika ulio muona ni kama aliye muona nabii Mussa? Sa hapo nani anahadithia na nani anaye uliza, kutokana na kufahamu kwako?

Wapi nimemzulia Allah uwongo? Na wewe unashangaa Qur'an kushushwa Pangoni? Kwani usishangae Tourat kushushwa kwenye mabonde ya milima? Na kwanini usishangae Yesu kushushiwa Injil chini ya mti wa mtende.
Hakika adiosamigo uko kwenye Giza TOTOROOOOO.. na unapotea.. Tazama kweli Nuru imekuja ulimwenguni na wewe umependa Giza kuliko Nuru Why????
Muhammad sio Mtume wa Aina yoyote ya Mungu.
Weka Ayati mkuu. talking is cheap, ukichukulia mnaruhusiwa kutudanganya ili tuamini.
 
Wewe ndio ulete uthibitisho, ile Muhammad kuambiwa soma, alikuwa anaambiwa asome nini!? sio uthibitisho wa kuambiwa soma, lete uthibitisho kama kulikuwa na uhusiano na chuo cha nabii Isaya
Nimekupa Aya ukakwepa haya wacha nikupe point na Aya usikimbie tu. Tuanze na Qur'an (7:158) inasema;Kuja kwa Nabii Muhammad s.a.w. si jambo geni kwa watu wa Kitabu maana kumebashiriwa mara nyingi katika Biblia. Hayayanathibitishwa na Qur'an inayosema hivi juu ya waaminio kwamba ni wale "Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummi, ambaye wao humkuta emandikwa kwao katika Taurati na Injili.Huwaamuru yaliyo mema na kuwakataza yaliyo mabaya. Labda hapo unababaika hujui hebu tazama point hii kwenye Bibilia;Isaya 28:9-13 kinasema, "Atamfundisha nani maarifa?Atamfahamisha nani habari hii? Je ni wale walioachishwa maziwa,walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu. ya amri, kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni, huku kidogona huku kidogo. La, bali kwa midomo ya watu wageni, na kwalugha nyingine atasema na watu hawa; ambao aliwaambia, Hiindiyo raha yenu, mpeni raha yeye aliyechoka; huku ndiko kuburudika; lakini hawakutaka kusikia."Kwa sababu hiyo neno la Bwana kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya
kanuni; huku kidogo na huku kidogo, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa".
Walioachishwa maziwa ni wana wa Ismaili ambao waliakhirishwa kupata ujumbe wa Mungu. Qur'aniliteremshwa pole pole, amri juu ya amri, kama ielezavyo bishara hiyo. Baadhi ya sura zilishuka Makka na nyingine Madina (Huku kidogo na huku kidogo).
Qur'an tukufu iliteremshwa katika lugha ya Kiarabu ambayo ni "Midomo ya watu wageni na lugha nyingine" kwa wana wa Israel.











Katika Isaya 21.13-17 mmeandikwa: "Hili ni neno zito lililo juu ya Arabia. Ninyi mtalala ndani ya msitu wa Arabuni, enyi Wadedani
wenye kusafiri pamoja, Wenyeji wa nchi ya Tema walimletea maji yule aliyekuwa na kiu, walimlisha mkate wao yule aliyekimbia.
"Kwani walizikimbia hizo panga, huo upanga uliofutwa, na huo uta uliopindwa, na hayo mazito ya vita. Kwani yeye Jehova
ameniambia neno hili, katika muda wa mwaka mmoja, kwa kuandama hesabu ya miaka ya mwenye kuajiriwa, huo utukufu. Kama hujaridhika pia soma hapa chini.
The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hapo nadhani huna ujanja au bado? BTW; The "Kingdom of God" here means THE COVENANT & RELIGION OF GOD on earth to the new nation. Hapo ufalme untaok aIsrael unaenda uarabuni.



Alimlazimisha kwa namna ipi asome!? inawezekana vipi, uambiwe usome halafu upate hadi homa!? lile dude mnaloliita Jibril lilimbana hadi akaingiwa hofu akapata na homa, halafu nimekuambia kwenye kitabu cha Maisha Nabii Muhammad kuna maelezo ninayokwambia, labda ulete hadithi kupinga hayo maelezo... lakini nadhani wewe sio mwanazuoni...
Hata mama yake Yesu aliogopa alipo muona Malaika au alifurahi, na akawa hana wasi wasi? Yani wewe unadhani Gabriel hatishi? We unafikiria nani aliye wamaliza umati wa Louti kama si Gabriel, aliwamaliza kwa ncha ya mbawa zake, kasome kijana Gabriel sio mchezo akigusa dunia kwa ncha ya mbawa zake pale kahamaki, basi dunia inasambaa kabisa. Sa we unadhani Mitume wote walimuona Gabriel hawajaogopa pale mwanzo?

Nimekuomba unipe ushahidi wa maneno ya Muhammad akimwambia Waraqa kule Jabal Hira alikutana na Jibril, kwasababu ninavyofahamu Waraqa ndiye aliyemwabia Muhammad lile dude lililomkaba ni Jibril, ndiye aliyemtokea Musa na Isa, akamwambia jibashirie wewe ni mtume wa uma huu, alivyoambiwa hivyo na mpiga ramli ndio hofu ikamtoka Muhammad wakarejea kwao na Khadija
Ushahidi maneno yake Warqah anamuliza Mtume Muhammad malaika aliye muona kama aliye muona Prophet Mussa. Sa unataka ushahidi gani tena? Au Warqah alimuliza nini, hebu sema wewe kama nayo yasema mimi ni uwongo. Na Mtume Muhammad akajibu nakusema ndio. Warqah akasema ningekuw akijana ningekuwa mkono wako wa kulia, kusaidia kufikisha ujumbe ulio letewa na Mungu kwa nia ya Gabriel.

Hapo nilipoweka red acha uongo wako, Waraqa alitunga vipi Biblia!? acha kuzuwa uwongo. kitabu gani Waraqa alitunga kwenye Biblia!?
Nilikuwa nakusudia vitabu vya dini ya kikristo, sio lazima iwe bibilia, na alikuwa ni priest. Sa uwongo wangu uko wapi? Kama nilitype Bibilia inawezekana by mistake tu, lakini nilikuwa nakusudia vitabu vya kikristo, kuna vitabu vingi tu sio lazima viwe bibilia.

Hapo nilipoweka Blue bado unaendelea kumzulia Allah uwongo, nani alikwambia quran ilishushwa pangoni!? kule alikabwa tu akaambiwa asome, baada ya kujibashiria utume kama alivyoambiwa na Waraqa, ndio yakaanza mambo ya Wahyi na hapa kina Umar bin Khatab wanaanza kuhusika, hebu niambie na hii aya hapa chini ilishushwa pangoni kama unavyodai!? inahusiana na wake za Muhammad
Tatizo lako kijana hujui Qur'an Mtume Muhammad alianza kushushiwa wapi? FYI Qur'an ailianza kushushwa wakati Mtume Muhamamd yuko Pangoni katika mlima Hira (Jabal Hira). HAPO WEWE NDIO UNANIZULIA UWONGO NAJARIBU UWE MKWELI SIKU ZOTE, WACHA UWONGO.

Quran 66:5 Asaa Mola wake Mlezi, akikupeni talaka, akampa wake wengine badala yenu nyinyi, walio bora kuliko nyinyi, wanynyekevu, Waumini, wat'awa, walio tubu, wenye kushika ibada, wafanyao kheri, wajane na wanawari.
Hii Aya inahusika nini na point yetu hapa, naona unakimbilia kwingine kama kawaida yako. Hebu wewe tueleze umeiweka hii Aya kwa sababu ipi? Inahusika nini na Mtume kupewa utume hapa? Hii Aya inaongelea mambo mengine kabisa na wewe umekuja ipachika. Ndio siku zote nasema wakristo mmekaa kama walevi, na wavuta bangi. Hamjui wapi mnakwenda.

Hapo nilipoweka red, huyo unayemuongelea hapo sio Jesus Christ the King ninayemfahamu, sio Yesu Mnazareti ninayemjua, hiyo Injili ilishushwa vipi chini ya mtende!? kwa hiyo alikuwa anahubiria mitende au!?Hakuna kama Yesu kwahiyo usimfananishe na yeyote...
Sa we akilini kwako Yesu alizaliwa kwenye Hospital? Hebu tuambie Hospital ipi alizaliwa au Palace gani alizaliwa au nyumba gani aliyo zaliwa. Si bora hata waislam tunasema alizaliwa chini ya mtende. Nyie wakristo mnasema alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe:wave:
 
We kondoo kwel umekata kamba! Hivi story za hao watu ndo znakufanya u discuss uislamu negatively? POLeeeeeee... Tukikupa watu maarufu, watu baki waliouingia uislamu Mbona tutajaza thread!! acha kuleta swaga za KWAYA
mkuu put yourself in my shoes kisha utaona kile ninachokiona. Mkuu sio shaytan:A S 13:ni ukweli. ha ha ha ha😛hoto:
Mkuu unaposema watu maarufu: inabidi uwe sane kidogo kuelewa hawa watu maarufu ni wakina nani na wanaishi mazingira gani:

Maurice Bucaille na Keith Moore walijitengenezea umaarufu walipolipwa pesa nyingi ili waupake rangi uislamu upendeze. Wakalipwa na mfalme wa saudia. japo wenyewe hawaamini wala hawakuhamia huko.Just imahine ikiwa waliamini kwanini hawaku-convert??

Watu wengi maarufu ni pathetic wanatumia madawa ya kulevya wana-presha nyingi sana, wana Hofu ya kushuka, ushindani maadui. Watu wa namna hii pia wana marafiki wengi feki, maadui. ni watu wenye marafiki wa "Yes man" badala ya "No man". YEs man ni Wale marafiki watakaokuambia kile wapendacho kusikia.Watu maarufu Ni watu wasio na furaha ila wanajua kutabasamu kwenye red carpet. Ni Watu wenye misongo ya mawazo. ambayo mwishowe inawafanya wanakuwa mentally wanaochanganyikiwa. Watu hawa siku zote watajifunza kila kitu na kukijaribu ili wapate ile furaha ya kweli katika maisha. mfn: Wacko jacko, Elvis presley, whitney houston, Mike Tyson, Robby williams,Malcom small, Muhammad ally n.k. walikuwa na umaarufu. lakini kila mtu anajua fate zao.
Kwahiyo watu maarufu so kigezo cha msingi cha kutumia kama ushahidi.
 
Tazama wangapi wametoka uislam kwenda ukristo, na utazame wangapi wametoka kwenye ukristo kwenda kwenye uislam. Hivi dogo walio toka kwenye ukrsito kwenda kwenye uislam wote unawazidi akili?
..........shambani mwa bwana mavuno ni mengi wavunaji ni wachache sana................ njia iendayo Uzimani ni nyembamba na waingiao ni wachache sana and viceversa is also true.

Uislamu unalazimisha watu wauamini na inakataza watu kuasi. Wachache wamethubutu kuasi. Ukigundulika adhabu ni kifo. Wanazaliana sana, wanatumia Taqiyaa ku-convert watu, wana-exagurate ukweli halisi and so on...
Kimsingi sio fair play
 
@Adiosamigo ningeomba tusibishane kama walevi, NAomba uniwekee Ushahidi wa namna Mtume alivyoshushiwa Verse wakati aliporudi mgonjwa akitokea pangoni, akiwa na khadija na huyo waraqah. Niwekee hapa tafadhali, kisha uanze kutoa Darsa...
 
Hakika adiosamigo uko kwenye Giza TOTOROOOOO.. Muhammad sio Mtume wa Aina yoyote ya Mungu. Alikuwa mtu mmoja mjanjamjanja tu enzi hizo.
weka Ayati mkuu. talking is cheap, ukichukulia mnaruhusiwa kutudanganya ili tuamini.
Mimi nipotee? Sitapotea hata siku moja na uhakika nacho kisema na siwezi hata siku moja kumdharau Mungu wangu kumfananisha na binadamu. Mtume Muhammad ni Mtume wa Mungu, na vitabu vyenu nimewawekea hapo kuonyesha dalili zote ni Mtume wa Mungu. Tazama nakuongezea kama hujaridhika na point za mwanzo. Hii na uhakika itakuingiza kwenye Uislam. Kama wewe una akili sawa sawa huna kasoro kichwani kwako. Tuanze kutazama point hizo unajua huwa mnacheka nyie wakristo eti waislam wanaenda abudu mawe, sa tazama Bibilia zenu zinasema nini. Tuanze na point.

Islam's Practices are 100% supported in the Bible:

  1. Circumambulation (tawaaf) 7 times around the Kaaba is also by the exact number in the Bible.
  2. Prostrating to GOD Almighty in the direction of His Holy Temple was done by all of the Prophets, including Jesus.
Also,

the Bible's fasting is to not eat and drink, like Islam:
:

Luke5:33 They said to him, "John's disciples often fast and pray, and so do the disciples of the Pharisees, but yours go on eating and drinking."

Matthew 6:16 "When you fast, do not look somber as the hypocrites do, for they disfigure their faces to show others they are fasting. Truly I tell you, they have received their reward in full."


Also "Shalom" or Shalam, which means "Peace" in Hebrew, implies "GOD's Peace be upon you" is also derived from the root Word, Islam. GOD Almighty's Eternal Peace and us submitting to Him and to His Divine Will in Peace, is also what His Divine Religion is. Islam is the Original Faith.

1- What is circumambulation around the Kaaba in Islam, and Why?
Allah Almighty Said in the Glorious Quran:
"Behold! We gave the site, To Abraham, of the (Sacred) House (i.e., the Kaaba), (Saying): 'Associate not anything (In worship) with Me; And sanctify My House For those who compass it round, Or stand up, Or bow, or prostrate themselves (Therein in prayer). And proclaim the Pilgrimage among men: they will come to thee on foot and (mounted) on every kind of camel, lean on account of journeys through deep and distant mountain highways; (The Noble Quran, 22:26-27)
"The Bible clearly supports Islam's Prostration and bowing to GOD Almighty: Psalm 138:2 "
I will bow down toward your holy temple and will praise your name for your love and your faithfulness, for you have exalted above all things your name and your word.".
2- Does Tawaaf (circumambulation) exist in the Old Scriptures?
Let us look at the following verses from the Bible:
Joshua 6:14-16
14 So on the second day they marched around the city once and returned to the camp. They did this for six days.
15 On the seventh day, they got up at daybreak and marched around the city seven times in the same manner, except that on that day they circled the city seven times.
16 The seventh time around, when the priests sounded the trumpet blast, Joshua commanded the army, "Shout! For the Lord has given you the city!

It is unknown why the Jews circled or circumambulated Jerusalem seven times. The number 7 is unknown. It's just there in the Scriptures. If anything, this proves that there is a lot more from rituals and Commands, in the Bible, that are missing today.

 
..........shambani mwa bwana mavuno ni mengi wavunaji ni wachache sana................ njia iendayo Uzimani ni nyembamba na waingiao ni wachache sana and viceversa is also true.

Uislamu unalazimisha watu wauamini na inakataza watu kuasi. Wachache wamethubutu kuasi. Ukigundulika adhabu ni kifo. Wanazaliana sana, wanatumia Taqiyaa ku-convert watu, wana-exagurate ukweli halisi and so on...
Kimsingi sio fair play
Hizo ni kelele tu kazi kuzulia usilam kila kukicha maneno ambayo sio kweli kabisa. Hio ya Taqiyaa naona vasco unaipenda sana. Sijui mnafunzwa wapi uwongo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom