tutapata majibu baada ya majadiliano. kuja kwao ACACIA kwenye meza ya mduara ni hesha kubwa kwetu kama taifa. na kuwa sisi siyo wa mchezomchezo kwenye Tanzania ya JPM
Mkuu..unapozungumzia "noah"...be specific..ni noah kibasi?au mnyama pendwa?...kama ni mnyama pendwa nadhan kwa idadi yetu ya watz mil..54 tunaweza pewa kila mtu..sio gari!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani uliambiwa hayo majidiliano yanatangazwa km mpira wa yanga na Simba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi zile noah zitakuwa kila RAIA wa Tanzania atapata?mfano Mimi Nina watoto wa tano jumla na mke wangu zije Noah 7 Kwangu?kama ni hivyo itabidi nimwamishe Jirani yangu ili nipate parking Noah saba sii mchezo Mungu wezesha mazungumzo hayo
Mtu asiposifu na kushangilia ni wakala wa fisadi tayari?Mawakala wa mafisadi wanatapa tapa tu.
Hakitoki kitu mpaka siku ya mwisho
Subirini watu wajadiliane mtafanya assessments zenu baada ya matokeo,kupiga piga kelele kwa sasa mnajionesha jinsi gani mlikua mnataka kututoa kwenye reli ili tufeli mapema mtubezeMtu asiposifu na kushangilia ni wakala wa fisadi tayari?
Mbona haueleweki kwa ulichokiandika? Uandishi Wa kimakinikia
Haswa hiki ndio cha mhimuuuuu!!!!
yaani wee ndo zaidi kwani huoni mvua inavokumwagikia kila kukicha bibi wa lumumba
Na ile ya 108trilioni ya tume je?ni trillion 480 hatupunguzi hata cent moja.
hahahahahaaaaUko kimya vipi unahudhuria mkutano wa Makinikia??Tutafutane basi
nasubiria NOAH yangu nimeshaioda kabisaUko kimya vipi unahudhuria mkutano wa Makinikia??Tutafutane basi
Ukimya gani? Mbona umeishayapata na sisi kupitia kwako tumeyapa? Kumbuka kushinda au kushindwa ni kwa Watanzania!Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Na ile ya 108trilioni ya tume je?
nasubiria NOAH yangu nimeshaioda kabisa