Majaliwa anastahili kuwa kiongozi mkubwa. Ana uwezo wa kukabiliana na matatizo ya wananchi

Huwa anaongea bila kutekeleza. Anaongeaga tu na yanaishia hapo hapo
 
Majaliwa kweli anajua sana kuongoza, tukio la Kkoo limedhihirisha wazi, yaani hadi wafanyabiashara wamefurahi na kupiga makofi kwa furaha sana na kushangilia… Ila mbunge wao wa Ilala Zungu alikataliwa na kuzomewa kabisa..

Majaliwa ana akili sana na ni msaidizi mkubwa kwa Mh. Rais wetu
 
Basically wafanya biashara walitaka kuongea na top level ya uongoz, PM yupo kwenye hilo kundi kumzomea PM ni ngumu

Ila yule mwenyekiti wa wafanyabiashara wafanye kumtoa chapu jana aliacha kupigania wafanyabiashara na kujiokoa yeye nanukuu machache ya maneno yake " anaiomba jeshi la polisi lifanye kazi yake, " kazi ipi????
 
Mzee wa Kamati
 
Kwani hapo alipo ni kiongozi mdogo?
 
Wasije tu wakamfitini huyu bwana, ila ingefaa sana aongoze hii nchi. Angetufaa sana sana.
 
Kwa sababu ametumwa na Rais kwenda kuwasikiliza wafanyabiashara?
 
Ripoti ya tume ya kuungua soko la KK iko wapi? Tuanzie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…