Azathioprine
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 589
- 376
Hii sasa ni kufuru!.. Uchaguzi tumefanya miezi kumi iliyopita, Mpaka October 2025 kuna miaka minne kamili. Badala ya kuwaza namna ya kushughulikia kilichomo kwenye ilani iliyonadiwa na ahadi zilizotolewa, tunapenyezewa nyeti za nani atakayesimama kugombea?. Kampeni zimeanza mapema? [emoji848] 😳
Ukweli ni kuwa kuna watu walikua wanajipanga hiyo 2025, miongoni mwao ni hao mawaziri. Kifo cha Rais JPM kwa kiasi fulani kimeharibu hizo program zao. Ni muhimu sana kwa Waziri Mkuu kuweka msimamo wa serikali na Chama chao bayana. Otherwise, vikumbo vikianza shughuri za umma hazitakiwa na ufanisi.