Azathioprine
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 589
- 376
Hii sasa ni kufuru!.. Uchaguzi tumefanya miezi kumi iliyopita, Mpaka October 2025 kuna miaka minne kamili. Badala ya kuwaza namna ya kushughulikia kilichomo kwenye ilani iliyonadiwa na ahadi zilizotolewa, tunapenyezewa nyeti za nani atakayesimama kugombea?. Kampeni zimeanza mapema? [emoji848] 😳
Nadhani anaweza kuwa waziri mkuu wa kwanza kutoboa miaka 15, ila urais 2015 sidhani, January ni tishio kwao wote, may be limtokee janga la kisiasa in betweenRais Samia kampa madaraka Majaliwa, na awamu hii atafanya kazi ya maana. Alikuwa akimuogopa JPM kwani hakutabirika.
Samia anatabirika na anayo huruma ya Mama mzazi, anao uwezo wa kupima kinachofanyika na kuja na jawabu linaloangalia utendaji wa haki.
January anaweza kuwa rais kama Mama itatokea akashindwa kugombea. Mama kampa cheo January ili kulivuta kwake kundi lake la CCM na sio vinginevyo.Nadhani anaweza kuwa waziri mkuu wa kwanza kutoboa miaka 15, ila urais 2015 sidhani, January ni tishio kwao wote, may be limtokee janga la kisiasa in between
Nilikosea hapo, January anaweza kuchukua 2030 kama akitulia hii miaka iliyobaki! Mpinzani wake mkubwa ni H. Mwinyi akiamua kugombeaJanuary anaweza kuwa rais kama Mama itatokea akashindwa kugombea. Mama kampa cheo January ili kulivuta kwake kundi lake la CCM na sio vinginevyo.
Mkuu mwamba ni mtu anaeshaurika, anaesikiliza , anaetatua, kwetu CHADEMA tamko lolote likitolewa na kiongozi kuanzia taifa , mpaka kwenye Kanda jua limepitia vikao rasmi,unaendeshaje chama ambacho KILA mtu kambale, Sasa aliyoyasema uyo Bwana mkubwa ,yamepitia vikao GANI rasmi ndani ya Chama chenu,je yeye Kama kiongozi anawezaje amulia wenye chama chao, nanyi mpo ,mmeki na ile ya zidum fikra za kiongozi/ mwenyekitiMkuu siyo CCM tu, leo hii Mwamba akiibuka na msimamo wowote huko kwenu kuna mtu wa kumpinga? Muhimu tuiombee nchi yetu mema while tunakosoana ndani kwa ndani, nimependa aproach ya CDM kutaka kuongea na Rais, naye kama ana akili akae aongee nao
Napenda sana ninapojibizana na mtu kama wewe chief, Kongole kwako, ngoja tusubiri kikao cha Hangaya na Wapinzani kitatoa maamuzi gani, Kuna mambo 3 muhimu ya kuyajadili na ijulikane yanafanyika vipi; "MIKUTANO YA HADHARA, HOW TUNAKWENDA KWENYE KATIBA MPYA, NA UHURU WA WAPINZANI KUFANYA SHUGHULI ZAO ZA KISIASA KAMA CCM WANAVYOFANYA".Mkuu mwamba ni mtu anaeshaurika, anaesikiliza , anaetatua, kwetu CHADEMA tamko lolote likitolewa na kiongozi kuanzia taifa , mpaka kwenye Kanda jua limepitia vikao rasmi,unaendeshaje chama ambacho KILA mtu kambale, Sasa aliyoyasema uyo Bwana mkubwa ,yamepitia vikao GANI rasmi ndani ya Chama chenu,je yeye Kama kiongozi anawezaje amulia wenye chama chao, nanyi mpo ,mmeki na ile ya zidum fikra za kiongozi/ mwenyekiti
Nazungumza hivi binafsi nataka vyama vyote kua imara , na hapo utam wa siasa Ndo unapokuja,
Sasa chama chenu kimekufa,Ndo maana mnaona mnabebwa na dola , na matatizo yote yanaanzia hapa
Ccm inataji watu wapya kuludisha chama kwenye mstari, kiongozi lazima akieshim chama ,sio chama kimueshim kiongozi, njoo mjifunze CHADEMA
WanajipangiaAnauhakika gani kama atafika 2025
Mkuu hata mie binafsi napenda watu wenye fikra pevu ,hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi mkuu,Ongera sanaNapenda sana ninapojibizana na mtu kama wewe chief, Kongole kwako, ngoja tusubiri kikao cha Hangaya na Wapinzani kitatoa maamuzi gani, Kuna mambo 3 muhimu ya kuyajadili na ijulikane yanafanyika vipi; "MIKUTANO YA HADHARA, HOW TUNAKWENDA KWENYE KATIBA MPYA, NA UHURU WA WAPINZANI KUFANYA SHUGHULI ZAO ZA KISIASA KAMA CCM WANAVYOFANYA".
Well said my PM!!Dodoma.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo.
Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Oktoba 29, 2021 katika ukumbi wa St Gasper jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mawaziri na naibu mawaziri.
Majaliwa amewataka mawaziri na naibu wao kuwa wasemaji wakubwa wa mafanikio ya Serikali ili itakapofika 2025, Samia Suluhu Hassan (Rais) apite na kusema kidogo tu.
"Wambieni wananchi kuhusu mazuri yanayofanywa na Serikali hii, tambueni msimamo na mtazamo wa Rais ili mkawe wasemaje zaidi yeye akija awe na maneno machache ya kueleza," amesema.
Waziri Mkuu amewataka mawaziri na naibu wao kufanya kazi kwa mashirikiano na kuheshimu kauli za viongozi wakuu kwani siyo kila agizo lazima waandikiwe barua ndipo watekeleze.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amewataka viongozi hao kuwa mfano kwa mienendo yao wakianzia na mavazi, kauli na kutojiinga katika mambo yatakayowafanya wajadiliwe.
Amesema katika mitandao ya kijamii wapunguze kuzungumza mambo mengi ili kusudi wanapotamka mambo machache yaonekane kuwa na maana kwa jamii.
Chanzo: Mwananchi
Umeongea ukweli kwenye hili, hayo ilibidi yatamkwe na Shaka or KMWell said my PM!!
Lakini ilifaa sana hili jambo liongolewe au lipigiwe chapuo na viongozi wa CCM badala yako wewe PM kwa maana ya Karibu Mkuu, Mwenezi n.k
Pamoja sana ChiefMkuu hata mie binafsi napenda watu wenye fikra pevu ,hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi mkuu,Ongera sana
Kesho Kwenye joto la asubuhi la G.Hando atakuwepo B. Membe, saa moja asubuhi ya TZ, kuna mtu atavuliwa nguo huko! Tupeleke maskio yetu hukoMkuu hata mie binafsi napenda watu wenye fikra pevu ,hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi mkuu,Ongera sana
Bila katiba mpya maccm yatauana,Dodoma.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampeleka kwa wananchi mtu mmoja, Rais Samia Suluhu Hassan hivyo mawaziri watambue hilo.
Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Oktoba 29, 2021 katika ukumbi wa St Gasper jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa mawaziri na naibu mawaziri.
Majaliwa amewataka mawaziri na naibu wao kuwa wasemaji wakubwa wa mafanikio ya Serikali ili itakapofika 2025, Samia Suluhu Hassan (Rais) apite na kusema kidogo tu.
"Wambieni wananchi kuhusu mazuri yanayofanywa na Serikali hii, tambueni msimamo na mtazamo wa Rais ili mkawe wasemaje zaidi yeye akija awe na maneno machache ya kueleza," amesema.
Waziri Mkuu amewataka mawaziri na naibu wao kufanya kazi kwa mashirikiano na kuheshimu kauli za viongozi wakuu kwani siyo kila agizo lazima waandikiwe barua ndipo watekeleze.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amewataka viongozi hao kuwa mfano kwa mienendo yao wakianzia na mavazi, kauli na kutojiinga katika mambo yatakayowafanya wajadiliwe.
Amesema katika mitandao ya kijamii wapunguze kuzungumza mambo mengi ili kusudi wanapotamka mambo machache yaonekane kuwa na maana kwa jamii.
Chanzo: Mwananchi