Majaliwa asema CCM kumpeleka kwa wananchi Rais Samia 2025


Ukweli ni kuwa kuna watu walikua wanajipanga hiyo 2025, miongoni mwao ni hao mawaziri. Kifo cha Rais JPM kwa kiasi fulani kimeharibu hizo program zao. Ni muhimu sana kwa Waziri Mkuu kuweka msimamo wa serikali na Chama chao bayana. Otherwise, vikumbo vikianza shughuri za umma hazitakiwa na ufanisi.
 
Nadhani anaweza kuwa waziri mkuu wa kwanza kutoboa miaka 15, ila urais 2015 sidhani, January ni tishio kwao wote, may be limtokee janga la kisiasa in between
 
daah!! naona Kama historia huenda ikabadilika ktk taifa hili,baada ya miaka zaidi 50,nahisi Kama huenda utawala ukaangukia kwa bendela nyngne na sio hii ya kijani.utani tu jamani!
 
Nadhani anaweza kuwa waziri mkuu wa kwanza kutoboa miaka 15, ila urais 2015 sidhani, January ni tishio kwao wote, may be limtokee janga la kisiasa in between
January anaweza kuwa rais kama Mama itatokea akashindwa kugombea. Mama kampa cheo January ili kulivuta kwake kundi lake la CCM na sio vinginevyo.
 
January anaweza kuwa rais kama Mama itatokea akashindwa kugombea. Mama kampa cheo January ili kulivuta kwake kundi lake la CCM na sio vinginevyo.
Nilikosea hapo, January anaweza kuchukua 2030 kama akitulia hii miaka iliyobaki! Mpinzani wake mkubwa ni H. Mwinyi akiamua kugombea
 
Mkuu siyo CCM tu, leo hii Mwamba akiibuka na msimamo wowote huko kwenu kuna mtu wa kumpinga? Muhimu tuiombee nchi yetu mema while tunakosoana ndani kwa ndani, nimependa aproach ya CDM kutaka kuongea na Rais, naye kama ana akili akae aongee nao
Mkuu mwamba ni mtu anaeshaurika, anaesikiliza , anaetatua, kwetu CHADEMA tamko lolote likitolewa na kiongozi kuanzia taifa , mpaka kwenye Kanda jua limepitia vikao rasmi,unaendeshaje chama ambacho KILA mtu kambale, Sasa aliyoyasema uyo Bwana mkubwa ,yamepitia vikao GANI rasmi ndani ya Chama chenu,je yeye Kama kiongozi anawezaje amulia wenye chama chao, nanyi mpo ,mmeki na ile ya zidum fikra za kiongozi/ mwenyekiti

Nazungumza hivi binafsi nataka vyama vyote kua imara , na hapo utam wa siasa Ndo unapokuja,

Sasa chama chenu kimekufa,Ndo maana mnaona mnabebwa na dola , na matatizo yote yanaanzia hapa

Ccm inataji watu wapya kuludisha chama kwenye mstari, kiongozi lazima akieshim chama ,sio chama kimueshim kiongozi, njoo mjifunze CHADEMA
 
Napenda sana ninapojibizana na mtu kama wewe chief, Kongole kwako, ngoja tusubiri kikao cha Hangaya na Wapinzani kitatoa maamuzi gani, Kuna mambo 3 muhimu ya kuyajadili na ijulikane yanafanyika vipi; "MIKUTANO YA HADHARA, HOW TUNAKWENDA KWENYE KATIBA MPYA, NA UHURU WA WAPINZANI KUFANYA SHUGHULI ZAO ZA KISIASA KAMA CCM WANAVYOFANYA".
 
Mkuu hata mie binafsi napenda watu wenye fikra pevu ,hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi mkuu,Ongera sana
 
Well said my PM!!

Lakini ilifaa sana hili jambo liongolewe au lipigiwe chapuo na viongozi wa CCM badala yako wewe PM kwa maana ya Karibu Mkuu, Mwenezi n.k
 
Well said my PM!!

Lakini ilifaa sana hili jambo liongolewe au lipigiwe chapuo na viongozi wa CCM badala yako wewe PM kwa maana ya Karibu Mkuu, Mwenezi n.k
Umeongea ukweli kwenye hili, hayo ilibidi yatamkwe na Shaka or KM
 
Mkuu hata mie binafsi napenda watu wenye fikra pevu ,hoja hujibiwa kwa hoja sio matusi mkuu,Ongera sana
Kesho Kwenye joto la asubuhi la G.Hando atakuwepo B. Membe, saa moja asubuhi ya TZ, kuna mtu atavuliwa nguo huko! Tupeleke maskio yetu huko
 
Bila katiba mpya maccm yatauana,
Umoja wa kiunafiki siyo salama
 
Sahau kura yangu nitamkanselii yeyetuu ila ubunge ntampa wa ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…