Pre GE2025 Majaliwa & Kinana washauri CCM itoe Fomu 1 ya Mgombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wapi BIA YETU nimemkumbuka sana huyu mwamba kipind cha magu
 
Hii nzuri sana ila pia atambue hata asipokuwa next PM asikonde, sio kama hakuwa mchapakazi la hasha ni mchapakazi kweli kweli ila tu ni maono ya dereva ambaye yeye anaona mbele na ndio mwenye jukumu la kutufikisha nchi inapotaka
 
Hii nzuri sana ila pia atambue hata asipokuwa next PM asikonde, sio kama hakuwa mchapakazi la hasha ni mchapakazi kweli kweli ila tu ni maono ya dereva ambaye yeye anaona mbele na ndio mwenye jukumu la kutufikisha nchi inapotaka
PM ameshakuwa Kwa miaka 10,chance aliyonayo in future ni kuwa VP au kuwa Mwenyekiti wa Bodi au Mkuu wa Chuo ambayo ndio nzuri Kwa Cheo chake kuliko kuwa Mwenyekiti wa Board ambayo Rais anaweza ijenga.

Pia Rais anaweza unda jopo analoona yeye linafaa akawa Mwenyekiti kama ilivyo Kwa Katibu Mkuu mstaafu Sefue.
 
Haaa mzanzibar kutawala bara big no ....atapata tabu sana watu tumemvumilia kwa sababu ya kifo cha jpm tu ila hatuko tayari kuvumilia upumbavu zaidi....hofu ya kifo cha jpm ndiyo kinamsumbua mzanzibar maana anaogopa kesi ya uhaini
 
Si karejesha demokrasia nchini? Atakataa huo ushauri wa kidikteta.😁.
 
Kidumu chama cha mapinduzii ingengua swala la ajabu kuchapisha form zaidi ya moja awamu hii hata wapinzani Wana furaha
 
Haaa mzanzibar kutawala bara big no ....atapata tabu sana watu tumemvumilia kwa sababu ya kifo cha jpm tu ila hatuko tayari kuvumilia upumbavu zaidi....hofu ya kifo cha jpm ndiyo kinamsumbua mzanzibar maana anaogopa kesi ya uhaini
Ondoa ujinga wako hapa .Sisi sote ni watanzania.wewe kama ni lihamiaji haramu nakushauri urejee haraka sana kwenu.lakini sisi watanzania chaguo letu ni Dr Samia Suluhu Hasssan kutuongoza kwa muhula wa pili tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…