Pre GE2025 Majaliwa & Kinana washauri CCM itoe Fomu 1 ya Mgombea Urais 2025

Pre GE2025 Majaliwa & Kinana washauri CCM itoe Fomu 1 ya Mgombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kinana ana umri gani Hadi atoe ushauri wenye mashiko?
Tangu enzi za mzee Mwinyi mnakumbuka Kinana alikua waziri mdogo wa ulinzi, hivi hajachoka tu? Ikumbukwe mzee Mwinyi ana miaka 29 tangu aachie ngazi. Huyu Kinana ana kinamna Hani hataki kustaafu?
 
Kinana ana umri gani Hadi atoe ushauri wenye mashiko?
Tangu enzi za mzee Mwinyi mnakumbuka Kinana alikua waziri mdogo wa ulinzi, hivi hajachoka tu? Ikumbukwe mzee Mwinyi ana miaka 29 tangu aachie ngazi. Huyu Kinana ana kinamna Hani hataki kustaafu?
Ndio mwenye chama huyo
 
Wa
Hahahhaha safi sana, kuna watu humu walikua wanapiga kelele sijui the State imeanda mgombea, sijui Samia hawezi chukua fomu, sijui kuna wazee wameshauri jina la mgombea. Hii precedence aliifanya JPM 2020 kwa kufukuza wote waliotaka kugombea 2020 sasa wembe ule ule unatumika kwa sukuma gang wataotaka fomu 2025
Wacha tuone TumainiEl atafanyaje🤣
 
Si karejesha demokrasia nchini? Atakataa huo ushauri wa kidikteta.😁.
Wana CCM Ndio wanaotaka iwe hivyo na hakuna mwana CCM yeyote atakayechukua Fomu ya Urais,maana kila mmoja anajuwa kuwa utamaduni wa CCM Ni lazima mtu amalizie muhula wake wa pili.
 
Kuna makundi mawili katika Mkutano wa Ruangwa na kwa kweli mikutano ya CCM kwa miaka 60.

Kundi la kwanza ni la akina Kinana na Majaliwa ''waliokamata visu wakitafuna keki ya Taifa '' bila kizuizi.
Hawajui Bill za umeme, maji, wala bei ya dagaa na Unga. Wanachojua ni ada za Vijana Havard na Kwingine.
Hawa wangenda Fomu za Urais zifutwe! milele.

Kundi la pili la waliokaa juani wanaishi kwa mtindo wa jana ni nzuri kuliko leo. Wana kapelo ziwakinge jua kali utosini kila uchao. Wanapewa khanga wajisetiri aibu maana hawamudu hata ile ya ndani

Hawafikri kesho ya watoto , wanakimbiza fungu la mchicha wa leo na kufikiri alipo samaki nchanga wa kesho .
Wamedumaa na kuvia , faraja yao ni kujigalagaza katika udongo! Hata 'nchanga' anaishi udongoni , lipi geni ?
 
Ondoa ujinga wako hapa .Sisi sote ni watanzania.wewe kama ni lihamiaji haramu nakushauri urejee haraka sana kwenu.lakini sisi watanzania chaguo letu ni Dr Samia Suluhu Hasssan kutuongoza kwa muhula wa pili tena.
Embu ficha mpumbavu wako huko Mimi Mtanzania ila huyu mama urojo big no .
Kama unamkubali ni wewe tu na maupumbavu yako
Usigeneralize eti sisi watànzania ,mjinga sana wewe jamaa halafu utakuwa shoga wewe sio bure
 
Embu ficha mpumbavu wako huko Mimi Mtanzania ila huyu mama urojo big no .
Kama unamkubali ni wewe tu na maupumbavu yako
Usigeneralize eti sisi watànzania ,mjinga sana wewe jamaa halafu utakuwa shoga wewe sio bure
Wewe ni lihamiaji haramu .huo ndio ukweli maana hatuna mtanzania mwenye akili kisoda kama yako
 
Huu ubabe sasa. Unachapishaje fomu moja wakati ni demokrasia kila mwana CCM ana haki ya kugombea urais?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nashukuru kuwa viongozi wetu wakubwa ngazi ya Taifa chamani na serikalini wameanza kutambua kiu ya mamilioni ya watanzania waliyo nayo ya vifuani pao ya kuhitaji utumishi wa Rais Samia kwa mhula wa pili.

Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni waziri Mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amemuomba makamu mwenyekiti wa CCM Taifa Mh Kinana kwenda kuwashawishi wajumbe wa kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM Taifa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Rais Samia.

Jambo ambalo Mh kinana aliliunga mkono kwa kutambua kazi kubwa iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan,akasema ni utamaduni wa CCM kumpa muhula wa pili kiongozi anayekuwa amemaliza muhula wake wa kwanza .akasema ameona kila mtu anayesimama kuzungumza anazungumza namna Mh Rais alivyofanya kazi kubwa katika Taifa letu.

Mimi mwashambwa nimewahi kuzungumza humu jukwaani kuwa wanaccm wanapaswa kukata kiu ya watanzania kwa kuwapa chaguo na hitaji lao Ambalo ni Rais Samia. CCM itawakatisha Sana tamaa , kuwavunja moyo na kuwabubujisha sana machozi Watanzania isipowapelekea Rais Samia kama mgombea wake.

Watanzania wanamhitaji Rais Samia.huyo ndio chaguo lako,.ndio chaguo la vijana,akina mama,wazee, bodaboda,waendesha bajaji,wakulima, wafanyabiashara,wanafunzi wa vyuo, watumishi wa umma.n.k.

CCM Haina budi kusikiliza sauti za watu zinazoendelea kupazwa zikimhitaji Rais samia muhula wa pili. Huyo ndiye ambaye atapewa kura za ndio kwa kishindo kitakachoitikisa Tanzania nzima. CCM tuleteeni Rais Samia kukata kiu yetu watanzania.CCM tuleteeni chaguo letu Rais Samia.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Bahati nzuri Mungu amewapokonya ndimi na kauli viongozi karibia wote wa CCM.

Mnaishi kwa kudanganyana. Hao wnaoongea hivyo ndo mtakuja kuwaelewa baadaye
 
afu mtu mmoja anaseme ati ndani ya CCM kuna demokrasia.
 
1000006699.jpg
 
Kazi sanaaa....anaogopa kivuli chake mwenyewe
 
Back
Top Bottom