Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Umeandika nini sasa?Ukitaka kujua akili za watanzania angalia fikra za wana ccm.
yaani karne ya 21 mtu anawagalagaza wenzake kwenye vumbi yeye akiwa jukwaani amevaa suti yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika nini sasa?Ukitaka kujua akili za watanzania angalia fikra za wana ccm.
yaani karne ya 21 mtu anawagalagaza wenzake kwenye vumbi yeye akiwa jukwaani amevaa suti yake
Inahusika vipi hapa?Iliamuliwa Machame
Tundu Antipas Lisu atulie
hujaelewa nini hapo? nilisema ukitaka kujua akili za watanzania waliowengi angalia/ sikiliza fikra na mawazo ya mi ccm kama wewe. yaani kiongozi kama pm anagalagagaza wa mama wa watu chini huku yeye akiwa jukwaani na simu yake akipiga picha. kisha baadae anasema chama kinapendwa na watz.Umeandika nini sasa?
Haujaelewa nini hapo wewe kiwavi wa ccm.?Umeandika nini sasa?
Hapana siyo ubabe bali ni mahitaji yetu Wana CCM ambao tumeridhishwa na uchapa kazi wa Rais Samia na tunataka kuwapatia watanzania hitaji lao na kukata kiu yao.Huu ubabe sasa. Unachapishaje fomu moja wakati ni demokrasia kila mwana CCM ana haki ya kugombea urais?
Haujaelewa nini hapo wewe kiwavi wa ccm.?
Karne ya 21 unawatangazia watu Mr X ni fisadi na unamuweka kwny website rasmi ya Chama chako halafu miaka michache unarudi kuwatangazia kuwa huyo mtu ndio bora zaid kuwa Rais wa TanzaniaUkitaka kujua akili za watanzania angalia fikra za wana ccm.
yaani karne ya 21 mtu anawagalagaza wenzake kwenye vumbi yeye akiwa jukwaani amevaa suti yake
Kipaumbele ni kushinda uchaguzi, kwa KISHINDO 🤣🤣🤣Hicho siyo kipaumbele Chao.
Kwa Mujibu wa Kinana na Majaliwa mwaka 2025 CCM itatoa fomu Moja tuu ya mgombea Urais Kwa sababu ni utamaduni wa ccm mgombea Rais lazima aendelee kuwa mgombea Kwa awamu ya Pili.
View: https://www.instagram.com/p/C1mxNWoAY4d/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Utaratibu wa fomu Moja alianzisha Mwendazake
View attachment 2860314
Kwa Mujibu wa Kinana na Majaliwa mwaka 2025 CCM itatoa fomu Moja tuu ya mgombea Urais Kwa sababu ni utamaduni wa ccm mgombea Rais lazima aendelee kuwa mgombea Kwa awamu ya Pili.
View: https://www.instagram.com/p/C1mxNWoAY4d/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Utaratibu wa fomu Moja alianzisha Mwendazake
View attachment 2860314
Nijambie matakoni kwako huko mnafiki weweNenda kajambe huko
Mtakuwa mumechoka wewe na nani? Maendeleo yapi yamesimama?Kwa hiyo tunasimamisha maendeleo ya taifa kwa miaka 10 kweli ccm hii iangalie bwana hadi 30 mbona tutakuwa tumechoka sana
Hii ni awamu ya 6 sio ya 4Huu ni udikteta tu.
Mbona Jakaya Kikwete alipingwa na John Shibuda mpaka Kikwete akaibuka kidedea kwenye kutafuta mgombea wa CCM, wakati Kikwete akiwa bado rais?
Katiba ya Tanzania inampa nafasi Rais kuwa dikteta, asipokua dikteta kaamua yeye mwenyeweHuu ni udikteta tu.
Mbona Jakaya Kikwete alipingwa na John Shibuda mpaka Kikwete akaibuka kidedea kwenye kutafuta mgombea wa CCM, wakati Kikwete akiwa bado rais?
Hata iwe ya 100.Hii ni awamu ya 6 sio ya 4
Katiba ya Tanzania inampa nafasi Rais kuwa dikteta, asipokua dikteta kaamua yeye mwenyewe