Majaliwa: Suala la Picha ya Rais Samia kuwekwa kwenye fedha litajadiliwa

Majaliwa: Suala la Picha ya Rais Samia kuwekwa kwenye fedha litajadiliwa

Mambo ya kujadili ni mengi sana
Sukari
Umeme
Uhaba wa walimu
Ajira kwa vijana
Afya
Miundombinu
Wafanyakazi wa umma kutowajibika
Kilimo kutokuleta matokeo chanya

Wabunge kama hawa ni laana Kwa taifa
CCM na akina Lucas Mwashambwa wanawapenda sana wabunge mazezeta.
 
Katika MCHAKATO wa kuchapisha fedha zingine watu watapiga pesa.
 
Kwaio kila Raisi akija madarakani abadilishe sio. Hakika tuna wabunge vilaza sana uko bungeni hawajui wajibu wao kabisaaa
 
Nimeona Dubai wana Pundamilia na Pofu waliouzwa kutoka Tanzania wengi sana.
 
Mkuu tumzimishe nani kati ya huyo maza wa Kizimkazi na huyo bwege Ng'wasi?

Naona hao wahuni wameridhika kabisa kuwa sisi ni wajinga so wameamua kufanya uhuni waziwazi 😏
Sisi siyo "wajinga" ni "wapuuuzi na itondoo yale ya mwisho kabisa" .

Kama wanazunguka mikoani na kukusanya watu , kudanganya wamefanya na kufanya maigizo mnategemea wanatuonaje,? si wanatuona wapuuzi?
 
Akijibu hoja ya Ng'wasi Kamani kuhusu kuwekwa kwa picha ya Rais Samia kwenye fedha zetu Bungeni leo, PM Majaliwa amesema suala hilo litajadiliwa kwa kina.

"Maamuzi ya kuweka picha kwenye noti mara nyingi yanafanywa na kiongozi mwenyewe kwa kushauriana na Benki Kuu, kwa kuwa umelileta hili na sisi tunatambua mchango mkubwa wa Rais Samia Hassan kwenye Taifa hili, niseme tu tunapokea ushauri wako na litaingia serikalini na litajadiliwa pale ambapo watafanya maamuzi taarifa rasmi zitatolewa,"- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kama ulipitwa ni kwamba Ng'wasi Kamani alisimama Bungeni leo na kutoa hoja ya kuweka picha ya Rais kwenye fedha za Tanzania.

"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani

Written by Mjanja M1 ✍️
Good. Wasiopenda kuiona hijab ktk fedha wataziona. Kama hawazitaki wasizipokee
 
Haters mmechuk8a kupita maelezo.....mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, anawaendesha kupita ,aelezo mamamamaeeeeee
Amekuja kuwa rais ili awaendeshe watu au watu waishi kwa amani na furaha na upendoo?
Mimi nahisi wewe ni mmoja kati ya wakimbizi wa nchi jirani mmepewa uraia na kusumbua watu .
 
Sisi siyo "wajinga" ni "wapuuuzi na itondoo yale ya mwisho kabisa" .

Kama wanazunguka mikoani na kukusanya watu , kudanganya wamefanya na kufanya maigizo mnategemea wanatuonaje,? si wanatuona wapuuzi?
So tuwaache tu watuone sisi ni wapuuzi?
 
Back
Top Bottom