Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Ni msukuma huyu watoto wa Hayati kutoka pale SAUT mwanza yani hyu ni madako kabisa
Madako?Tena ni mwehu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni msukuma huyu watoto wa Hayati kutoka pale SAUT mwanza yani hyu ni madako kabisa
Ajue kusoma na kuandikaViti maalum Huwa wanakuwa na elimu Gani?
🤣Ajue kusoma na kuandika
CCM na akina Lucas Mwashambwa wanawapenda sana wabunge mazezeta.Mambo ya kujadili ni mengi sana
Sukari
Umeme
Uhaba wa walimu
Ajira kwa vijana
Afya
Miundombinu
Wafanyakazi wa umma kutowajibika
Kilimo kutokuleta matokeo chanya
Wabunge kama hawa ni laana Kwa taifa
Ya JPM noti mpya ya shilingi elfu hamsini.Wamuweke na JPM SASA
JPM sawa,Wamuweke na JPM SASA
Asieitaka, akiipata aigawe kwa masikini.mitaa yote tunaisubiri noti ya mama
Sisi siyo "wajinga" ni "wapuuuzi na itondoo yale ya mwisho kabisa" .Mkuu tumzimishe nani kati ya huyo maza wa Kizimkazi na huyo bwege Ng'wasi?
Naona hao wahuni wameridhika kabisa kuwa sisi ni wajinga so wameamua kufanya uhuni waziwazi 😏
Wameshanunua majumba huko, wakistaafu watakuwa huko.Nimeona Dubai wana Pundamilia na Pofu waliouzwa kutoka Tanzania wengi sana.
Haters mmechuk8a kupita maelezo.....mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, anawaendesha kupita ,aelezo mamamamaeeeeeeAmeona itaji la tanzania kwa sasa ni kuwa na pesa yenye sura ya huyo mzanzibari
Good. Wasiopenda kuiona hijab ktk fedha wataziona. Kama hawazitaki wasizipokeeAkijibu hoja ya Ng'wasi Kamani kuhusu kuwekwa kwa picha ya Rais Samia kwenye fedha zetu Bungeni leo, PM Majaliwa amesema suala hilo litajadiliwa kwa kina.
"Maamuzi ya kuweka picha kwenye noti mara nyingi yanafanywa na kiongozi mwenyewe kwa kushauriana na Benki Kuu, kwa kuwa umelileta hili na sisi tunatambua mchango mkubwa wa Rais Samia Hassan kwenye Taifa hili, niseme tu tunapokea ushauri wako na litaingia serikalini na litajadiliwa pale ambapo watafanya maamuzi taarifa rasmi zitatolewa,"- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Kama ulipitwa ni kwamba Ng'wasi Kamani alisimama Bungeni leo na kutoa hoja ya kuweka picha ya Rais kwenye fedha za Tanzania.
"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani
Written by Mjanja M1 ✍️
Amekuja kuwa rais ili awaendeshe watu au watu waishi kwa amani na furaha na upendoo?Haters mmechuk8a kupita maelezo.....mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, anawaendesha kupita ,aelezo mamamamaeeeeee
So tuwaache tu watuone sisi ni wapuuzi?Sisi siyo "wajinga" ni "wapuuuzi na itondoo yale ya mwisho kabisa" .
Kama wanazunguka mikoani na kukusanya watu , kudanganya wamefanya na kufanya maigizo mnategemea wanatuonaje,? si wanatuona wapuuzi?