Majaliwa: Suala la Picha ya Rais Samia kuwekwa kwenye fedha litajadiliwa

Majaliwa: Suala la Picha ya Rais Samia kuwekwa kwenye fedha litajadiliwa

Akijibu hoja ya Ng'wasi Kamani kuhusu kuwekwa kwa picha ya Rais Samia kwenye fedha zetu Bungeni leo, PM Majaliwa amesema suala hilo litajadiliwa kwa kina.

"Maamuzi ya kuweka picha kwenye noti mara nyingi yanafanywa na kiongozi mwenyewe kwa kushauriana na Benki Kuu, kwa kuwa umelileta hili na sisi tunatambua mchango mkubwa wa Rais Samia Hassan kwenye Taifa hili, niseme tu tunapokea ushauri wako na litaingia serikalini na litajadiliwa pale ambapo watafanya maamuzi taarifa rasmi zitatolewa,"- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kama ulipitwa ni kwamba Ng'wasi Kamani alisimama Bungeni leo na kutoa hoja ya kuweka picha ya Rais kwenye fedha za Tanzania.

"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani

Written by Mjanja M1 ✍️


WhatsApp Image 2024-02-09 at 08.24.43.jpeg

Msiulize hapo kuna jinsia ngapi?
Huyo ndio mbunge muwakilishi wa vijana nchi nzima.
Yani vijana wa Tanganyika kilichosemwa jana ndio kipo kichwani mwenu.
 
Trump,Biden wapo kwenye note gani? Siasa za kujipendekeza
 
Akijibu hoja ya Ng'wasi Kamani kuhusu kuwekwa kwa picha ya Rais Samia kwenye fedha zetu Bungeni leo, PM Majaliwa amesema suala hilo litajadiliwa kwa kina.

"Maamuzi ya kuweka picha kwenye noti mara nyingi yanafanywa na kiongozi mwenyewe kwa kushauriana na Benki Kuu, kwa kuwa umelileta hili na sisi tunatambua mchango mkubwa wa Rais Samia Hassan kwenye Taifa hili, niseme tu tunapokea ushauri wako na litaingia serikalini na litajadiliwa pale ambapo watafanya maamuzi taarifa rasmi zitatolewa,"- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kama ulipitwa ni kwamba Ng'wasi Kamani alisimama Bungeni leo na kutoa hoja ya kuweka picha ya Rais kwenye fedha za Tanzania.

"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani

Written by Mjanja M1 ✍️


Hata yeye anajua na machawa wake wanajua kuwa pakiwa na tume huru ya uchaguzi ,pakiwa na katiba mpya inayopunguza madaraka yake ya kimungu kamwe hawezi kuwa Rais wa Zanzibar Wala Tanganyika Wala Zanzibar Wala Oman.

Kwa hiyo kumfanya au kumwita shuiaa mtu aliyeokota Nazi kuwa ni mkwezi ni uchawa TU .
Akijibu hoja ya Ng'wasi Kamani kuhusu kuwekwa kwa picha ya Rais Samia kwenye fedha zetu Bungeni leo, PM Majaliwa amesema suala hilo litajadiliwa kwa kina.

"Maamuzi ya kuweka picha kwenye noti mara nyingi yanafanywa na kiongozi mwenyewe kwa kushauriana na Benki Kuu, kwa kuwa umelileta hili na sisi tunatambua mchango mkubwa wa Rais Samia Hassan kwenye Taifa hili, niseme tu tunapokea ushauri wako na litaingia serikalini na litajadiliwa pale ambapo watafanya maamuzi taarifa rasmi zitatolewa,"- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Kama ulipitwa ni kwamba Ng'wasi Kamani alisimama Bungeni leo na kutoa hoja ya kuweka picha ya Rais kwenye fedha za Tanzania.

"Mhe Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, Je serikali haioni sasa kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?," - Ng'wasi Kamani

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Vita maalumu vifutwe, siku atasema mama ake awekwe kwenye sarafu..

Umtoe nyerere uweke samia? Kama ni mwanamke jasiri angewekwa bibi titi..

Sio tu viti maalum, bunge lote thamani na tija yake vimepotea. Ni uwekezaji wa hasara unaoligharim taifa pesa nyingi sana.

Lifutwe tu
 
Back
Top Bottom