We jamaa ni muongo sana toka lini majambazi wanao iba magari eti wamesimama barabarani acha unafiki majambazi hua wanaweka mawe mazito au magogo ili usimame wakuibie iti wewe unasema wajipanga barabarani wao hawaogopi kufa wewe umekutana na wachawi tu
Kama kweli walikuwa mita 200 mbona ungegeuza tu gari na kurudi ulikotoka ,ila jamaa tangu lini majambazi wakashikana mikono labda nj waimba kwaya tu hao