Majambazi 10 yalijipanga mstari mmoja barabarani usiku kuzuia gari langu lisipite

Majambazi 10 yalijipanga mstari mmoja barabarani usiku kuzuia gari langu lisipite

Vibaka wazuie gari kwa mikono kuna watu waoga sana aisee mwanaume haitakiwi uwe muoga muoga bhana daah kwa uoga huo unaweza kuwahesabu vibaka kweli ? Vibaka hawana hana siraha yeyote unawaita majambazi...
Bastola ikiwekwa mfukoni inaonekana?
 
Bastola ikiwekwa mfukoni inaonekana?
Bongo watu sio violent anaweza akawa na bastola na akaibiwa yaani anajiuliza sana na pia anaweka mazingira ya kuogopa dhambi tena,watu wenye bastola hawasimamishi gari kwa mikono
 
Ulikuwa umelewa pombe ilikutuma hivyo. Endesha salama
 
Back
Top Bottom