Picha za marehemu wapiii???? Bunduki si wamezitoa mgongoni mwa askari wakazipiga picha. Waache usaniiWeldone....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha za marehemu wapiii???? Bunduki si wamezitoa mgongoni mwa askari wakazipiga picha. Waache usaniiWeldone....
Sisemi napingana na wewe, lakini natamani kujua, je unauhakika na haya uliyo yaandika...[emoji45] [emoji45]Wanapeleka watu kule na kuwapiga risasi na kuwawekea bunduki na silaha halafu wanajitekenya kuwa tumeua majambazi kibiti. Ndio tatizo la afrima uongo mwingi kwa kuogopa kufukuzwa kazi. Kwani unafukuzwa kazi pasipo hata kuchunguza kosa. Hakuna majambazi ambao tunaambiwa ni waliobobea na wamepata mafunzo nje leo hii wakae pmj. Watu wanapelekwa kibiti wanauwawa then polisi wanasingizia majambazi wa kibiti. Tusubiri muda utasema ndio polisi tanzania
NDO HATA NA MIMI NASHANGAA,AU HUENDA HAWAITAJI KUSAIDIWA UPELELEZI.Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Kazi ya ovyo sana hii kuwai kutokeakazi nzuri
Ni kweli waliouawa walikuwa majambazi!!?
Wewe ukutwe porini na mzigo huo wote wa Bunduki usio na maelezo wala nini tunakuitaje? Ni jambazi tu na dawa ya jambazi ni moto, hicho kizazi kiteketezwe kabisa naona Polisi hawataki usumbufu wa kuyapeleka hata Mahakamani yakaenda kula sembe ya bure bora wayafyeke tu maana kaka, mama, baba , dada na askari wetu wamepoteza maisha kwa ajili ya hiyo mishwaini.
Nani mwenye akili kati yako na polisi? Wanasababu zao za msingi kuwauaJe, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
NDO HATA NA MIMI NASHANGAA,AU HUENDA HAWAITAJI KUSAIDIWA UPELELEZI.
Embu tupe mbinu za kumkamata mhalifu mwenye silaha za moto kabla hajakudhuru wewe!Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Huo mzigo ni wakuigiza wewe!
Walikuwa wanajibizana.Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......