Kuna aina ya watu fulani hawakamatiki, ukijaribu unakufa wewe, refer Osama, Mohamed Tamimu komandoo alikuwemo Kwenye uhaini miaka ya 80
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi najua hawatoi ushirikiano na wakiingia mikonon mwao rushwa hutembea na kuachiwa huruJe, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Mkuu wameishafanya hivyo sema hizi ni taarifa za ndani zaidi not for public consuption ila nikupe picha kidogo kwenye kamata kamata zile za mateja wengine huwa wanatoa taarifa nyeti ambazo husaidia kuwakamata majambazi kama haya.Polisi huwa hawakurupuki tuJe, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Wapo mkuu na ndio wanaosaidia kutoa taarifa za kuwapata wengineJamani tuwe wakweli ina maana toka waanze kuuwawa hawa Majambazi ya kibiti hakuna hata mmoja aliye hai wote wanauwawa tu!!!Tulitarajia apone hata mmoja ili ahojiwe atuambie nini chanzo na mambo mengine ambayo yangesaidia hata kuwajua wanao wapa misaada ya hali na mali.Lakini hii ya kuambiwa wamekufa wote inatia shaka isije kuwa wanauwawa hata wasio na hatia!!!
Ni sawa, ila tukubali kuna mazingira hiyo haiwezekani. Unajua hata US ambako ndiyo tuseme haki za binaadamu zilizaliwa, mharifu akishukiwa ana silaha basi huwa hakuna mjadala zaidi ya polisi kukuua tu.Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
, jumble mtu akikuvamia kwako na kutaka kukukata malanga ukiwa na bunduki utaacha kumuunga kwa sababu wewe siyo kazi yako kuhukumu. Askari wakiuawa mnafurahia, je wajibu wa muuaji ni nini? Je yuko huru kuua adui yake bila sheria? Na wewe ni wale feki?Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
ha ha ha ha a ha hizi gas cannisters hata mimi nimeona kama maigizo ya kova ya zile bunduki za stakishari ha ha ha ha bunduki badala ya kuandikwa namba eti zinajina la stakishari kw kwi kwi kwi kwi kwiIna maana majambazi yalikua na bunduki za kufyatulia gas cannisters
Maigizo maigizo
Sasa wasipo tangaza Magufuli na watanzania watajuaje kwamba Siro na vijana wake wanafanya kazikwa nini wanatangaza lakini? magaidi yanapata hasira za kulipa visasi wanapotangazwa wamepigwa.
kwa nini busara isitumike nyie watu?!!
watapataje sifa wasipotangaza?kwa nini wanatangaza lakini? magaidi yanapata hasira za kulipa visasi wanapotangazwa wamepigwa.
kwa nini busara isitumike nyie watu?!!
mkuu, hilo neno kwenye red lina maanisha nini?mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?