Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Sisemi napingana na wewe, lakini natamani kujua, je unauhakika na haya uliyo yaandika...[emoji45] [emoji45]
 
IGP wetu sisi Watanzania tuna imani na wewe!! Mzee wa Field safi sana mambo ya kuletewa taarifa ofisini kwako hayana nafasi wanaweza kuleta taarifa hewa ila wewe unaingia mwenyewe front line kuwapa support vijana hiyo inaongeza morali sana na inapobidi unaingia kazini mwenyewe safi sana!! UONGOZI NI VITENDO!!!
 
Ni kweli waliouawa walikuwa majambazi!!?
 
Kurzwell
Media za TZ inaonesha Katika picha kuna silaha mbili siyo SMG bali ni maalum za kurushia mabomu ya machozi / mortar yaani "bunduki" zenye mitutu mipana.

Je hizo silaha za kurushia mabomu ya machozi / kujaza moshi ktk eneo dogo kama chumba / pango kumfanya adui kukosa hewa / kutoka machozi ni mojawapo ya silaha zilizoibwa toka vituo vya PolisI ?
 
Hakuna kitu hapo! Hivyo vitu wamekusanya kwa muda ndo wanakuja kutuaminisha! Hahahaaaa kazi kwelikweliii!
 
Ni kweli waliouawa walikuwa majambazi!!?

Wewe ukutwe porini na mzigo huo wote wa Bunduki usio na maelezo wala nini tunakuitaje? Ni jambazi tu na dawa ya jambazi ni moto, hicho kizazi kiteketezwe kabisa naona Polisi hawataki usumbufu wa kuyapeleka hata Mahakamani yakaenda kula sembe ya bure bora wayafyeke tu maana kaka, mama, baba , dada na askari wetu wamepoteza maisha kwa ajili ya hiyo mishwaini.
 
Huo mzigo ni wakuigiza wewe!
 
NDO HATA NA MIMI NASHANGAA,AU HUENDA HAWAITAJI KUSAIDIWA UPELELEZI.

Upelelezi wa nini sasa hivi ni kazi tu, ni utekelezaji na matokeo kuonekana upelelezi ulishafanyika sasa hivi ni kazi tu kumaliza hicho kizazi cha nyoka
 
Embu tupe mbinu za kumkamata mhalifu mwenye silaha za moto kabla hajakudhuru wewe!
 
Walikuwa wanajibizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…