TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
Siyo kweli, hata dawa mpya ikigunduliwa kwanza wanafanya maribio kwa panya kabla ya binadamuHivi najaribio si ndiyo huwa yanahakisi kile kinachokuja au nini maana yake?.
Ahahaha wewe mwalimu wako alipata raha sana maana alikukuta unajua kila kitu, kiasi kwamba hukuwa na sababu ya kwenda shule, lakini ukaamua kupoteza muda wako na ada zako shuleni kujifunza mambo unayoyajua tayarimwalimu wako alipatashida sana
Huko kujaribu kwa akina panya si ndiyo kuhakiki effectiveness yake..!!?Siyo kweli, hata dawa mpya ukigunduliwa kwanza wanafanya maribio kwa panya kabla ya binadamu
Kwann upigwe ? Kwan kuna ambayo tulisha wahi tumia awali ?Hii ndio iliyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivyo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Acha uongo hakuna treni inayobeba abiria itembeayo hiyo speedSisi Bado sana. Nilipanda Moja China ya Umeme inatembea 600KM per Hour.ndani na nje tofauti na hii nnayoiona hapa Kwetu hizi zetu ni mitumba tena chakavu[emoji16]
China si 350 km/hr ndio highest speed ?Hakuna kupigwa. Hicho kichwa ndicho sahihi kwa speed ya 160km/hr labda waongeze nakshi tu.
Reli yetu ingawa ni SGR (1.435m) ina design capacity hiyo ya 160km/hr sawa na ile ya Afrika ya Kusini (cape gauge: 1.067m) ambayo ni nyembamba zaidi. Bila shaka viwango vya kihandisi kuhusiana na vitu kama kona, msingi, miinuko, nishati, n.k. vitakuwa pungufu katika sgr yetu. Bado tumeendelea; tumetoka mbali, you know.
Hiyo emu inayowavutia wadau ni ya speed kuanzia 200 hadi 250km/hr (kiwango cha kimataifa. Tusikate tamaa. Tutafikia hata ile ya 450km/hr kama China na Japan. Polepole ndio mwendo. Weβre on the right track.
RWANDES na Ngalikihinja MAJIBU TAFADHALI...Nikuulize tu swali moja, wewe kabla ya kununua gari Japan au kwingineko, huwa unapewa ulijaribu?
Tuchukulie kuwa huo ni mtumba wa TRC wameenda kufanyia majaribio tuu.. Lkn kama hiyo ndiyo ya Kasi, itakuwa kuna watu tayari washakula kwa urefu wa kamba zao!!!Hii ndio iliyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivyo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakati.
View attachment 2279510
Akili inajibu swali au inaeleza ujinga?.Siyo kweli, hata dawa mpya ukigunduliwa kwanza wanafanya maribio kwa panya kabla ya binadamu
Kwa nilivyomuelewa Great thinker mzuri anatakiwa atoe lawama tu , sio suluhisho!!Weka majibu hapa
ya kwetu speed mwisho 150 km/hr
Navoelewa kicha kinakuaga moto zaidi kuliko kikibeba mabehewa sasa hapo wakikiekea mikia c ndo kitajvuta kama jongooMlishaambiwa hicho ni kichwa cha majaribio...mbona wagumu kuelewa?
Hizi ndio ilikuwa zije ila kwa mujibu wa kale kadada kasemaji ka TRC anadai jamaa walifeli ku fullfil contract kwahio wakaamua kumpa order mtu mwengine πππ! Kwahio kama kupigwa zoezi litakuwa limeanzia hapo kwenye kumpa tender mtu mwengine kwahio tegemeeni suprise tu.View attachment 2279660wengine tutashangilia mpaka tuone hiyo imefika nchini. Hawachelewi kutusurprise na vitu vya ajabu.
Ila hii ya kwetu ina support mpaka speeds za 250km/hHakuna kupigwa. Hicho kichwa ndicho sahihi kwa speed ya 160km/hr labda waongeze nakshi tu.
Reli yetu ingawa ni SGR (1.435m) ina design capacity hiyo ya 160km/hr sawa na ile ya Afrika ya Kusini (cape gauge: 1.067m) ambayo ni nyembamba zaidi. Bila shaka viwango vya kihandisi kuhusiana na vitu kama kona, msingi, miinuko, nishati, n.k. vitakuwa pungufu katika sgr yetu. Bado tumeendelea; tumetoka mbali, you know.
Hiyo emu inayowavutia wadau ni ya speed kuanzia 200 hadi 250km/hr (kiwango cha kimataifa. Tusikate tamaa. Tutafikia hata ile ya 450km/hr kama China na Japan. Polepole ndio mwendo. Weβre on the right track.