Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Hamkusoma hata kauzi jamani mwe
 
Tanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya
Tanzania kungekuwa na majasusi wa ukweli siri za viongozi zisingeleak mitaani kiholela. Unakuta mtu chizi tu anapewa cheo cha ujasusi kisha sifa zinamkolea na kuanza kutafuta machangu wa bongo movie na kumpa siri za nchi. Changu akimalizana na jasusi anarudi mtaanii kusimulia wenzake.
 
Wanapwaya sana (for staters, Mabeyo alifanya makosa makubwa kuzuia watu kupindua meza). Jeshi pia lina intelligence officers wake ambao walitakiwa kumshauri yepi madhara ya kumpa Samia nchi kwa uwezo wake.

Pili katiba ya Tanzania, mamlaka aliyopewa raisi (ya kuteua na kutengua) ina compromise sana kazi zao za kusimamia maslahi ya nchi (raisi akiona awakubaliani na maslahi yake binafsi, anatoa na kuweka mwenye tamaa), ndio alivyofanya Samia kutumia katiba.

Tatu wengi hawana uwezo,

Sio nchi maskini kwa bahati mbaya, tulipo ni kipimo cha uwezo wetu.
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Unamjua muhongo vizuri?
 
Wanapwaya sana (for staters, Mabeyo alifanya makosa makubwa kuzuia watu kupindua meza). Jeshi pia lina intelligence offices wake ambao walitakiwa kumshauri ni madhara ya kumpa Samia nchi kwa uwezo wake.

Pili katiba ya Tanzania, mamlaka aliyopewa raisi (ya kuteua na kutengua) ina compromise sana kazi zao za kusimamia maslahi ya nchi.

Tatu wengi hawana uwezo,

Sio nchi maskini kwa bahati mbaya, tulipo ni kipimo cha uwezo wetu.
Kazi ya intelijensia pia ni kulinda katiba
 
Kazi ya intelijensia pia ni kulinda katiba
On the surface, mipaka ya shughuli zao ni sheria na katiba (which they have to abide to most of the time)

At the deep end, hasa kwenye emergency za national security, protecting the welfare of nation comes first. Ikibidi kuvunja sheria.

Wazungu washaua sana au kuwapa makash-kash maafisa usalama wanaoropoka taasisi kuvunja sheria kwa maslahi ya nchi.

If anything wanapovunja sheria kwenye emergency (kwa kukiuka), kama ni swala muhimu kwao ni muda tu kwa watu wao walio ndani ya vyombo vya sheria kabla hawajapindua męża sheria iwe upande wao. Kwa sababu sahihi za kuilinda nchi.

Huyo mama hakutakiwa kupewa nchi
 
On the surface, mipaka ya shughuli zao ni sheria na katiba (which they have to abide to most of the time)

At the deep end, hasa kwenye emergency za national security, protecting the welfare of nation comes first. Ikibidi kuvunja sheria.

Wazungu washaua sana au kuwapa makash-kash maafisa usalama wanaoropoka taasisi kuvunja sheria kwa maslahi ya nchi.

If anything wanapovunja sheria kwenye emergency (kwa kukiuka), kama ni swala muhimu kwao ni muda tu kwa watu wao walio ndani ya vyombo vya sheria kabla hawajapindua męża sheria iwe upande wao. Kwa sababu sahihi za kuilinda nchi.

Huyo mama hakutakiwa kupewa nchi
Katiba ilielekeza apewe na alipewa

Mahaba yako peleka Kwa mumeo

Tukiendesha nchi kihisia badala ya principles tutakua Kama drc
 
Umeandika vizuri sanaa, binafsi huwa inanishangaza kuona nafasi nyeti wanapewa watu kwa kuangalia uhusiano wao bila kujali uwezo.

Na sasa hivi haya mambo ya ukada na uchawa ndo yamezalisha mijitu mijinga kuwahi kutokea nchi hii, na ukisoma reply utakutana nayo yanatoka nje ya topic kila kitu utaona yanamsifia SSH.

Ila pia mkuu ulipoanza kutaja maprof umenichanganya maana kuna maprof wapuuzi sana hii nchi na wengine tumewaona wakishindwa kutetea hoja kabisa za miradi mikubwa nchini kwa manufaa yao binafsi.
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Hata mimi huwa nakumbusha humu na maneno yangu yanayo chosha kwa kuwafunulia kuhusu mfumo wa unyumbu wa kisiasa.

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a k.a, uchawa tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo

Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reason because of flattering or working towards group objectives and hypocrite, conceptualized by Ipyana Benny Haraba

Hitimisho tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka taka wewe,

Jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, (bongo lala), jamii ya kuongozwa na watu wapumbavu, mpumbavu ni mtu ambae amebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza, anakuwa na tabia ya unyumbu, (hatumii weledi wake), hata hivyo upumbavu ni kipaji
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
That's true
 
Wanapwaya sana (for staters, Mabeyo alifanya makosa makubwa kuzuia watu kupindua meza). Jeshi pia lina intelligence officers wake ambao walitakiwa kumshauri yepi madhara ya kumpa Samia nchi kwa uwezo wake.

Pili katiba ya Tanzania, mamlaka aliyopewa raisi (ya kuteua na kutengua) ina compromise sana kazi zao za kusimamia maslahi ya nchi (raisi akiona awakubaliani na maslahi yake binafsi, anatoa na kuweka mwenye tamaa), ndio alivyofanya Samia kutumia katiba.

Tatu wengi hawana uwezo,

Sio nchi maskini kwa bahati mbaya, tulipo ni kipimo cha uwezo wetu.
Kuhusu mabeyo hakuwa na namna, moja ya nguzo kuu na msingi wa jeshi ni kulinda katiba ya nchi na kuitetea. (Hata kwenye kiapo chao ipo), jeshini ni sheria kabisa. Lakini mkuu wa majeshi hafanyi maamuzi mwenyewe ana COS waliomzunguka.

Just tu ili happen wakati mbaya kwake , hakuwa na jinsi

Katiba ina too much loopholes, na zikiwekwa makusudi ili kukipa power chama kitakachoshika madaraka over hivi vyombo

Is why ufisadi ,wizi, mikataba ya hovyo ikifanyika , jamaa wakijua wakubwa huko juu wanazima.
Ndio maana vinaonekana havifanyi kazi yake vipo vipo tu
 
Sahihi kabisa kuna maeneo tuweke siasa pembeni, shida Tanzania tunadhani uzalendo ni kuwa CCM.
Tanzania inatawaliwa na wanasiasa ambao kichwani ni zero, usitegemee watoe mawazo yenye kulete maendeleo. Hakuna mzalendo wote ni wachumia tumbo. Mfano nani yuko tayari kuishi bila marupurupu tunayowapa watumie tu mshahara mnono tunaowalipa hizo posho zilete maendeleo, naamanisha posho zote za viongozi hata walioko kwenye mashirika ya uma. Wajitegemee kama wafanyakazi wa kawaida wanaotegemea mshahara
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Sio ngozi nyeusi hii tuijuayo. Watu wanalinda na kutetea kinachowanufaisha sio kilicho sahihi.
 
Back
Top Bottom