Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama wamemfahamu muhusika ni vyema ila wangeweza kuzuuia tukio kama wangekua na ' Intel..' za kutosha.
Hua wanakamata wairan wenzako waliowahi kushirkiana au kutumiwa na mossad (halafu wakija kwenye media wanajikwambafai) sijawahi ona Iran kamkamata mossad agent aliyefanya tukio.
Hahaha pro Russia wanateseka sana.
Kwanza huu waweza kuwa uzushi yaani wafuatolie hizo footage zote na wasimkamate?
subiri sensa imalizike urudi shule ujiandae na Necta form 4 C wewealaf saiz urusi ikizitungua Tanzania tunaweza kukinukisha mpaka warusi wakaomba pooo.
tumedanganywa sana eti urusi jeshi lao hatar kumbe hata jwtz inaweza wagonga vizur
Huyo hata wiki hamaliziMrembo kaingia Moscow na namba za Donetsk, kapiga show na namba za Kazkhastan, kasepa na namba za Estonia! Halafu FSB wamelala usingizi wa pono! Huyu ni "nyoka"; akili nyingi sana!
Kipotezeo alikua yule teenager teeneger ndie alifanya ugumu kumkagua bibi kwa ukamilifuVery intelligent lady!
Its is assassination which has killed unintended target.It was special operation not assassination
Ni vigumu kumpata kwani Estonia ni mwanachama wa NATO ingawa Russia wameomba extradiction ya huyo mwanamke.Huyo hata wiki hamalizi
Watu wanafuatwa mpaka ndani ya uingereza Kama Yule jamaa aliyepewa sumu?warusia wanaingia popote.Ni vigumu kumpata kwani Estonia ni mwanachama wa NATO ingawa Russia wameomba extradiction ya huyo mwanamke.
Pia Estonia pana majeshi ya NATO na vifaa vyote hivyo Russia inawawia vigumu kuchukua hatua ya haraka.
Hiyo ya kuingia popote Russia ni wataalam na si lazima wawe ni warusi wenyewe.Watu wanafuatwa mpaka ndani ya uingereza Kama Yule jamaa aliyepewa sumu?warusia wanaingia popote.
Je nikisema aliuliwa Russians mwenyewe nitakuwa muongo?.........kwamba kwa nafasi ya babaake, magharibi wali collaborate naye, alafu wa Russia wakabaini hilo na kukata kitovu kwa namna Ile.Tukiweka ushabiki pembeni kuna kitu hakipo Sawa
Kwanza,kwann Baba abadilishe gari dakika za Mwisho
Pili,imekuaje FSB wamesolve hiyo case haraka hivyo,yaani ndani ya saa24 case ngumu kama hiyo iwe solved
Tatu,Ukraine itafaidika na nn iwapo kweli wameamua kumuua huyo bidada au walikua wanataka tu kutuma message kwamba na Sisi tunaweza kukufanyizia mpaka nchini mwako
Nne,Kwanini huyo agent aache kitambulisho chake hotelini?!
Hapa kuna kitu hakipo Sawa,ngoja tuupe muda nafasi kitajulikana tu
Acha kuishushia hadhi mbege huyu kanywa wanzuki kachanganya na dabo kikiAlisikika 'mlevi mmoja' akiropoka baada ya kuvimbiwa pombe ya 'mbege'
watu wameshaanza kuikimbia kyiv
Hata kama Yuko upande wa NATO ni mhalifu kama wahalifu wengine,nchi atakayopatikana itaombwa imtoe ashitakiwe.Ni vigumu kumpata kwani Estonia ni mwanachama wa NATO ingawa Russia wameomba extradiction ya huyo mwanamke.
Pia Estonia pana majeshi ya NATO na vifaa vyote hivyo Russia inawawia vigumu kuchukua hatua ya haraka.
Ndugu yangu ,usitake kupoteza muda wako Bure,Je nikisema aliuliwa Russians mwenyewe nitakuwa muongo?.........kwamba kwa nafasi ya babaake, magharibi wali collaborate naye, alafu wa Russia wakabaini hilo na kukata kitovu kwa namna Ile.
Labda wataiteka tenaHahahaha Russia watafanya kipi cha ajabu hapo Kyiv ambacho hakijafanyika mpk ss?! Washapiga mabomu mpk kwenye maternity hospitals wajawazito na watoto wakafa ss wao huyo mmoja tu roho zinawauma. Kumbe mkuki kwa nguruwe Ila Kwa binadamu mchungu....shikamoo wahenga
Hakuna kitu Urusi kakosea kama kuchukua Wananchi wa Ukraine kama wakimbizi, afu yeye ndo mvamiziKama alipitia ukaguzi mkali kabla ya kuingia Russia ina maana bomu kalipata akiwa ndani ya Russia. Ivyo ndani ya Russia kuna mapandikizi ya Ukraine walishirikiana nae kufanikisha mission.
Hata enzi zile ni sababu tech ilikuwa haijaadvance sana, kwa sasa kaachwa mbali mno na SBUNimeamini FSB (zamani KGB) ilikua enzi zile za cold war ss hv hamna kitu