Upo sahihi kiasi flani. Ukisoma gazeti lao linasema walikuwa na makamera makubwa.Wamejuaje ni majasusi! au ndio Bifu....sio wanakamata watu wetu kwa kisingizio cha ujasusi.....
Sasa kamera ndiyo ujasusi sipati picha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi kiasi flani. Ukisoma gazeti lao linasema walikuwa na makamera makubwa.Wamejuaje ni majasusi! au ndio Bifu....sio wanakamata watu wetu kwa kisingizio cha ujasusi.....
je suis d'accord avec vous ces deux choses ne se rapportent pas toujours [emoji1]C'est très simple mon ami.[emoji23]
Sory shemeji, usijali tushamaliza! [emoji1] [emoji85]Oya Shemeji na Wenzako mnaoandika Vifaransa vyenu nitawachenjia sasa hivi. Hebu acheni hizo bhana! Kama mnajua na ma hamu sana ya kuandika Kifaransa chenu hicho hebu kamsaidieni basi Koffi Olomide au Werrason au JB Mpiana kuandika nyimbo zake. Serious please acheni hiyo. Nifah sema na Mumeo tafadhali!
Alimfanyiaga ujasusi Zitto kipindi kile umesahau!Kumbe nae ni Jasusi Mkuu? I never knew this! Basi atakuwa ameshatufanyia Ujasusi Watu wengi sana.
Nous vous remercions de comprendre que mon ami.je suis d'accord avec vous ces deux choses ne se rapportent pas toujours [emoji1]
Camera kubwa Kubwa hao wanahabari itakuaHili wazo lako limenisumbua sana tangia jana. Iweje wote wanane waende eneo la tukio kwa pamoja. Tena gazeti la malawi linasema wanakijiji ndio waliwastukia kutokana na kubeba kamera kubwa kubwa na kuwaripoti polisi.
Pia taarifa ya malawi inasema mgodi umefungwa. Kwamba wapelelezi wanaenda kuchunguza kama kuna matengenezo ya silaha za nyuklia kwenye mgodi uliofungwa nalo linashangaza.
Hao km si wanafunzi wa uandishi wa habari,basi ni wanahabariUpo sahihi kiasi flani. Ukisoma gazeti lao linasema walikuwa na makamera makubwa.
Sasa kamera ndiyo ujasusi sipati picha.
merci mon ami ont un bon moment [emoji120]Nous vous remercions de comprendre que mon ami.
De même pour vous, mon ami.merci mon ami ont un bon moment [emoji120]
Camera kubwa Kubwa hao wanahabari itakua
[emoji120] [emoji120]De même pour vous, mon ami.
Ni ka mji kadogo kanakohudumiwa na mji wa Kyela kwa mahitaji mengi. Kuna high unemployment rate kama maeneo mengi ya malawi. Mabinti hujiuza ili waishi.Karonga ni mji wa pilikapilika.
Walikuwa wanamtegemea mmoja tu ambaye alikuwa anajua kiingereza.
Ndo maana walikuwa wakimfuata kama kumbikumbi.
Ni ka mji kadogo kanakohudumiwa na mji wa Kyela kwa mahitaji mengi. Kuna high unemployment rate kama maeneo mengi ya malawi. Mabinti hujiuza ili waishi.