Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Wamejuaje ni majasusi! au ndio Bifu....sio wanakamata watu wetu kwa kisingizio cha ujasusi.....
Upo sahihi kiasi flani. Ukisoma gazeti lao linasema walikuwa na makamera makubwa.

Sasa kamera ndiyo ujasusi sipati picha.
 
Oya Shemeji na Wenzako mnaoandika Vifaransa vyenu nitawachenjia sasa hivi. Hebu acheni hizo bhana! Kama mnajua na ma hamu sana ya kuandika Kifaransa chenu hicho hebu kamsaidieni basi Koffi Olomide au Werrason au JB Mpiana kuandika nyimbo zake. Serious please acheni hiyo. Nifah sema na Mumeo tafadhali!
Sory shemeji, usijali tushamaliza! [emoji1] [emoji85]
 
Hili wazo lako limenisumbua sana tangia jana. Iweje wote wanane waende eneo la tukio kwa pamoja. Tena gazeti la malawi linasema wanakijiji ndio waliwastukia kutokana na kubeba kamera kubwa kubwa na kuwaripoti polisi.

Pia taarifa ya malawi inasema mgodi umefungwa. Kwamba wapelelezi wanaenda kuchunguza kama kuna matengenezo ya silaha za nyuklia kwenye mgodi uliofungwa nalo linashangaza.
Camera kubwa Kubwa hao wanahabari itakua
 
Walikuwa wanamtegemea mmoja tu ambaye alikuwa anajua kiingereza.

Ndo maana walikuwa wakimfuata kama kumbikumbi.

Wamalawi ni kaka na dada zetu sote ni wandugu.

Ila Nyasa Times wanakuwa wakati mwingi wanafanya propaganda.
 
Ni ka mji kadogo kanakohudumiwa na mji wa Kyela kwa mahitaji mengi. Kuna high unemployment rate kama maeneo mengi ya malawi. Mabinti hujiuza ili waishi.

Ni kweli mimi napafahamu nimefika mara nyingi tu.

Ila hii habari haina uzito sana.
 
Back
Top Bottom