Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

Ameiba nini. Ninyi ndio wale mkishashindwa maisha na mkapigika sana, mnaanza kudai kwamba matajiri wamewaibia. 😎[emoji1787][emoji1787]
Huwezi kujua kwa sababu unakula hme, wenye kujua history za Africa wanajua nn mmeibiwa ktk ardhi zenu na mnaendelea kuibiwa
 
duh hata dawa na elimu yako ni kwa hisani ya watu wa USA , hili ndo ttzo la kutegemea hotspot ikuwek mjin
Hata pumzi unayovuta utasema kwa hisani ya marekani kwa sababu taari ww ni mtumwa wa kiakili kwa hao watu, Mungu akunusuru usijekuwafata mila zao za kuowana wanaume kwa wanaume tu
 
Huwezi kujua kwa sababu unakula hme, wenye kujua history za Africa wanajua nn mmeibiwa ktk ardhi zenu na mnaendelea kuibiwa
Hakuna cha kuibiwa bwana, wizi gani huo unaoufahamu wewe na kuufanya siri na eti wengine wenye akili kukuzidi tusijue.
 
Back
Top Bottom