Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Jamaa wanaendelea na operation yao. Bila kelele. Naona kwa sasa wanaendelea na kubomoa miundo mbinu ambayo wanaiiita ya Kigaidi.

Hali ni Mbaya.... Wanajeshi wa Hamas hawaonekani eneo hili nimejaribu kuwaangalia bila mafanikio. But naomba sana hii vita iishe. Inatosha sasa.

Wapalestine wa Hamas wanauliwa bila kosa kabisa. Walikuwa Hamas wametulia tu naona wanajeshi wa Israel wakaamua kwenda kuanzisha vita. Why jamani, why?kwa nini? Israel atapigika sana. Subiri tu afike sehemu flani. Wametegewa mchezo.

 
Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Nyoka akiingia kwenye shimo ardhini ambalo njia ya kutokea au za kutokea unazijua unamfata shimoni wa nini kupoteza muda!?,unaziba mashimo tu kwa vitu vizito anabakia hukohuko bila hewa. Hakuna msiba, hakuna mazishi. Unakuwa umekata mzizi wa fitina. Maisha mengine yanaendelea.
 
Nyoka akiingia kwenye shimo ardhini ambalo njia ya kutokea au za kutokea unazijua unamfata shimoni wa nini kupoteza muda!?,unaziba mashimo tu kwa vitu vizito anabakia hukohuko bila hewa. Hakuna msiba, hakuna mazishi. Unakuwa umekata mzizi wa fitina. Maisha mengine yanaendelea.
Ahahaha wale jeshi la machoko waoga
 
Jamaa wanaendelea na operation yao. Bila kelele. Naona kwa sasa wanaendelea na kubomoa miundo mbinu ambayo wanaiiita ya Kigaidi...
hii vita haitaisha hadi panya wote wa hamas wakamatwe na kuwa castrated. walichokoza wenyewe. na sasaivi raia wameshaondoka Gaza hivyo hakuna sababu hata ya cease fire kule kaskazini wala kupeleka msaada wala kurudisha umeme au kupeleka mafuta.

Hamas wataishiwa silaha, chakula, maji, mafuta ya majenereta na watajitokeza na kusalenda.ndio maana wameshaanza wapo tayari kuachia mateka 15 in exchange of cease fire ya siku mbili tu.

Imagine sasaivi hamas wanaomba poo ya walau siku mbili tu.na jeuri yote ile.
 
kwanza hapo ni kwasababu tu wanajua kuna mateka wao humo kwenye mashimo, isingekuwa hivyow angeshafanya kile marekani ilifanya mapango ya tolabora taliban, walipiga sumu mchezo ukaisha.wameachwa chini kuwa chakula cha mchwa.
Duh noma
🤭🤔Sumu
 
Duh noma
🤭🤔Sumu
ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
 
ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.

Gaza is too small kutumia nuclear , hamas si wazito kiasi cha kutumia nuke war head . Hili ni overkill
 
Faiza fox 🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20231109-185657_1.jpg
 
Jamaa wanaendelea na operation yao. Bila kelele. Naona kwa sasa wanaendelea na kubomoa miundo mbinu ambayo wanaiiita ya Kigaidi.

Hali ni Mbaya.... Wanajeshi wa Hamas hawaonekani eneo hili nimejaribu kuwaangalia bila mafanikio. But naomba sana hii vita iishe. Inatosha sasa. Wapalestine wa Hamas wanauliwa bila kosa kabisa. Walikuwa Hamas wametulia tu naona wanajeshi wa Israel wakaamua kwenda kuanzisha vita. Why jamani, why?kwa nini? Israel atapigika sana. Subiri tu afike sehemu flani. Wametegewa mchezo.
View attachment 2808953
Wajaze maji mule
 
Gaza is too small kutumia nuclear , hamas si wazito kiasi cha kutumia nuke war head . Hili ni overkill
inaonekana walijadili uwezekano huo kwenye kikao cha ndani, waziri mmoja wa masuala ya ulinzi akatoa siri hiyo alipohojiwa, Netanyau akampiga stop kuhudhuria vikao tangu jana.
 
Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Walishapulizia sumu huko ndani ya mahandaki kubomoa wanazika kupoteza ushahidi

Maelfu ya Askari wa Hamas ambao wengi walitoka nchi mbalimbali za kiarabu sio Palestina wanazikwa ndani ya Tunnels wengine wakiwa hai IDF jeshi la Israel linabomoa na kuziba pamoja na kuwapulizia hewa ya sumu wafe huko wanaziba ili kama kuna wengine wana mask wafe kwa kukosa hewa na mi mask yao

Israel Mauaji iliyopeleka kwa Hamas hayajawahi tokea tokea Taifa la Israel liwepo

Maaskari wa Hamas waliofia huko.ndani .ya Tunnels kwa kupuliziwa sumu

Ni malaki

Jeshi la Israel linafukia ili harufu isitoke nje watu wasisikie harufu za maiti wa Hamas waliofia kwenye Tunnels
 
Back
Top Bottom