Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Hawezi kushikizwa jeshini, Tena ni
rahisi kwa raia wa kawaida kuitwa jeshini kushiriki Jambo fulani kuliko askali kutoka hizo idara za kipolisi. Na ukiona wanajeshi wapo na Polisi basi ujue ni joint operation ambayo wao Polisi ndio wameomba, ikiwa jeshi linataka kufanya operation uraiani Basi jukumu la kipolisi wanalichukua Polisi wa Jeshi. Na Polisi hawato luhusiwa kuingilia operation hyo. Japo inakua imeingilia majukumu yao.

Suala la renk. Inafatwa seniority nani katangulia kupewa kamishenj. Ila sisi Tanzania tumepenyezewa siasa hadi huko kwenye vombo vya ulinzi na usalama. Ndiomaana CDF,IGP,DG,CGP,nk Wanaudhulia mikutano ya kisiasa Tena simpletu hata hawana stress alafu wanatudanganya hawafungamani na chama chechote.

Hivyo kwakua kipolisi huwa wanapewa kamisheni na kukabidhiwa majukumu makubwa. Yaani wanapewa kamisheni na kukabidhiwa labda kuongoza ukurugenzi wa makosa ya jinai ndipo hapo huwa wanapewa heshima Kama wateule wa Rais ngazi ya Kati chini. Mnielewe hivyohivyo hakuna namna. Sasa huyo unamringanisha na Nani jeshini nikua hatumlinganishi na afisa yeyote yule,Bali tunamchukulia Kama mteule wa Mh Rais kwenye hiyo ngazi. Na watu pekee wanao wajibishwa kijeshi katika kutokutii wakubwa wao. Ni wale NCO'S Pekee hakuna afisa yeyote yule kuanzia insign kwenda mbele. Rabda tu awe kamtangulia kupata commission kwa hivyo 2Lt to Commissioner..
Sasa kuanzia hao ASCP/I kuja mpaka kwa inspector msaidizi, jeshi haliwatambui Kama Ni maofisa hivyo wakienda jeshini watapigwa refresher course Kisha watakua wanajeshi wakawaida Hilo ni swala ambalo hata wao hawawezi kukubali.

Haya mengine unayo yaona yanaendelea ni kujalibu kuondoa migogoro isiyo na maana.
Hili nalo Tango.
 
Na kitu ambacho naona ni ushamba wa kiafrika huu. JWTZ wana kazi zao na Polisi wana kazi zao.
Mashindano yanatokea wapi?? Kishindana ni ushamba tu. Kila mmoja amaajukumu yake na afanye vema huko kwenye majukumu yake.

Lakini wakati mwingine sisi raia ndio tunawachonganisha hawa jamaa, nasi pia ni kwasababu ya ushamba wetu tu.

Tuache ushamba.
Bonge la Pointi, na hakika ni ushamba tu, kwa wenzetu hawanaga hizi swaga
 
Anaeijua issue ya askari jeshi Tabora kumchoma visu police atupe ubuyu kidogo
 
Polisi wanapenda kujilinganisha na wanajeshi wanafikiri wako sawa.

Ni kiburi na kutokujua kuwa wao ni idara za serikali Kama walivyo wafanyakazi wengine wa kiraia.
 
Hili tango labda sababu ya lugha ila jeshi kwa kingereza ni army au defensive forces, jeshi kazi yake ni kulinda mipaka na majukumu mengine endapo CinC ataona inafaa...sasa polisi na Magereza tangia lini ni defensive forces?
Unaongozwa na katiba ya muingereza? Katiba yako imeunda wewe unakosoa.
 
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe


Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk

Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)

Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea

Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana

Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
Ulivyokua boya unakaribisha maswali kwa kitu ambacho huna utaalamu nacho ..... hakuna cheo kinaitwa RSM ndugu afu haya majeshi mengine hizi ni taasisi za kiraia zikizoundwa kupambambana na vikundi vya kuharifu vya ndani ndio maana wote wakizidiwa huitwa hao wanajeshi
 
Unatakiwa uwaite "Slaves in Uniform"
Yaani mimi nalala wewe unahangaika kuwalinda wanaume? Wanaume hao ni wakubwa wa kisiasa, yeye anapanga vita halafu wewe unabebeshwa bunduki ukaue binadamu mwenzako huo ni ukichaa!!
Yaani unaenda kuua mtu ambaye hujawahi kugombana naye na wala humjui, huko ni kutojielewa kama binadamu.
Kazi nyingine ni za kuwaachia ma robot wafanye
siku mamako akibakwa urudi hapa kuandika uharo huu
 
polisi ni pure civilian na hawaondoki na vyeo kama wanajeshi(kamishened) polisi akiacha upolisi ni kama afisakata aliekuaga zaman bora mwl au dokta nabaki na udokta wake.

pia polisi ana power kubwa kuliko mwanajeshi ktk maisha ya kawaida.polisi anatoa amri na ishara zote uraian.

MP hana mamlaka yeyote uraia ni kama mrembo tu hawez kuamrisha hata mtoto afanye lolote.hata mjeda awe na ofisa hawez kua na statas kubwa uraian kama afisa wa polisi

OPs zote za ndani ya nchi znaratibiwa na kusimamiwa na polisi hata kama wajeda watakuepo joint ops.

vyeo ni kwa ajili ya utawala wa taasisi husika jeshi vyeo ninkwa ajili ya uongozi na polisi vyeo ni kwa ajili ya usimamizi, ukimuona pte hana cheo maan ayake hana mtu w kumuongoza ila ukimuona polisi hana cheo sio kwamba hana power ya upolisi power anayo na aweza kutoa amri kwa yeyote.

hakuna namna vyeo vya upande mwingine vitaamrisha vyeo vya upande mwingine japo kuna ulinganifu kwa ajili ya heshima za kijeshi japo 2LT. anakomand platoon na A/Insp. pia anakomand platoon ila LT/Mr/Gentlemen akitoka kmbini hana tena meno lakin Inspekta anaweza akatawl raia wengi na eneo kubwa.



hivo mm naon ahakuna haja ya kusema polisi ni jeshi kama Defensi force ni jeshi kwa maana ya taasisi maana hata jeshi la wokovu pia ni jeshi.
 
Back
Top Bottom