Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Screenshot_20240114_205520_X.jpg
 
Pia bado siku 10 wananchi wajinga watakuwa kwenye maandamano ili kuwapa asali viongozi wa Chadema huku wao wakibaki hoi
 
chadema wanakimbia mdahalo wa wazi kabisa

wao wanaitaji mandamano ya kigaidi kuvuruga uchumi unaotengenezwa na mama chini ya ilani ya chama cha mapinduzi hili wananchi hawatakubalina nalo walah
 
Ila sasa yeye anawaleta barabarani siku ambayo Chadema wamepanga kufanya maandamano. Sasa inatokea taharuki bila sababu. Chadema wanaweza kuaihirisha maandamano yao.

Lakini mimi nabisha kwamba kuna predicament kwa sababu wanajeshi wameitwa kufanya usafi

Chadema ni chama halali cha upinzani,kwa nini yawrpo makelele Chadema wakitaka kufanya maandamano?

Wananeshi wameitwa kufanya 7safi for health reasons,ndivyo ilivyowezekama kuwatoa kwenye kambi zao.

Why should there be all this excitement?

Mbowe hakasema kwamba anataka Chadema isusie Uchaguzi wa serioali za mitaa. Sasa,what is the tragedy that is being feared,sijaelewa?

Na rais,tunaambiwa hajakuwa alarmed kuhusu maandamano yoyote,lakini Makonda ni greatly alarmed.

Inatubidi hata tujiulize kama tunaye rais katika nchi,kwa sababu Mbowe anasema watafanya maandamano,Chalamila anasema atafanya usafi,ati kuna taharuki,sasq taharuki ya nini?
 
Ila sasa yeye anawaleta barabarani siku ambayo Chadema wamepanga kufanya maandamano. Sasa inatokea taharuki bila sababu. Chadema wanaweza kuaihirisha maandamano yao.
Lakini mimi nabisha kwamba kuna predicament kwa sababu wanajeshi wameitwa kufanya usafi
Chadema ni chama halali cha upinzani,kwa nini yawrpo makelele Chadema wakitaka kufanya maandamano?
Wananeshi wameitwa kufanya 7safi for health reasons,ndivyo ilivyowezekama kuwatoa kwenye kambi zao. Why should there be all this excitement?
Mbowe hakasema kwamba anataka Chadema isusie Uchaguzi wa serioali za mitaa. Sasa,what is the tragedy that is being feared,sijaelewa?
Na rais,tunaambiwa hajakuwa alarmed kuhusu maandamano yoyote,lakini Makonda ni greatly alarmed.
Inatubidi hata tujiulize kama tunaye rais katika nchi,kwa sababu Mbowe anasema watafanya maandamano,Chalamila anasema atafanya usafi,ati kuna taharuki,sasq taharuki ya nini?
akapimwe[emoji11][emoji10]
 
This dude is crazier than I thought,yaani serikali ione umuhimu wa kupima akili za Hawa viongozi during vetting kuepuka ushuzi kama huu.Halmashauri Zina kazi Gani mpaka jeshi likaokote taka mitaani?
 
Salamu nimemuachia GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama,kwangu mambo yote ni shega!



Uenda mimi ndiye nikawa na matatizo lakini nadhani bila shaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akawa na matatizo ya kiakili!.

Ndugu Charamila mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mambo anayoyafanya yanatia aibu na kichefuchefu, ni mwendawazimu tu ambaye anaweza kuona huyu bwana anafanya mambo yenye akili timamu!

Kitendo cha Kuriamrisha Jeshi la JWTZ kujitokeza Tarehe 23 & 24 eti wafanye usafi nadhani ni kwamba aelewi mipaka ya majukumu yake au ni amekosa akili timamu!.

Jeshi huwa linapaswa kupewa Amri na Amiri Jeshi Mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,ambaye kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan!.

Je,ni kwamba huyu Mkuu wa Mkoa kafanya makusudi au anadharau kiti cha Urais?,Nadhani kama Rais pia ni mwenye akili timamu sioni huyo mkuu wa mkoa akiwa na maisha marefu ofisini!

Siyo kila mtu anapaswa kuwa kiongozi,wengine wanapaswa kuwa wafuga nguruwe!
 
Back
Top Bottom