Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wamesema wanakuja kufanya usafi, elewa hvy hayo mambo ya vita labla chadema wayatakeSasa wanajeshi 5000 na polisi 3000 hiyo Dar itakuwa ni Vita au Ni usafi😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesema wanakuja kufanya usafi, elewa hvy hayo mambo ya vita labla chadema wayatakeSasa wanajeshi 5000 na polisi 3000 hiyo Dar itakuwa ni Vita au Ni usafi😅😅
kijana mdogo unakua mshirikina (kuipenda ccm)Uzuri wa familia ya Mbowe pamoja na mkewe Erythrocyte watakuwa nyumbani siku hiyo mana tayari kuna wapumbavu wa chadema wamejiandaa kuandamana ila kinachoniuma ni wale wananchi wasio na lolote hata hao wanaowapigania wakipata uongozi hawawezi kuwakumbuka hao waliowapigania
Usafi gani wa JWTZ askari 5000 na Polisi askari 3000,..Wamesema wanakuja kufanya usafi, elewa hvy hayo mambo ya vita labla chadema wayatake
Wanajeshi wana life gumu sana, hao watawala wanawatumia kama Condomu tu,wanao faidi hii nchi ni hao watawala wa CCM,Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.
RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.
Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Mbowe si kasema asubuhi..Duu! Aliyeanza kutoa tamko ni Mbowe au Chalamila? Tuanzia hapo kwanza.
Wapi nmeizungumzia ccm.? Anyway mbona mm sikuiti malaya kwa kuipenda chadema.?kijana mdogo unakua mshirikina (kuipenda ccm)
Unajua majukumu ya jeshi.? Bc hy siku yatafanya majukumu yao yote sio lazima mtangaziwe yoteUsafi gani wa JWTZ askari 5000 na Polisi askari 3000,..
Hebu niambie nchi gani inayopeleka Brigedi 5 kwenye usafi..
Au hujui maswala ya kijeshi nikufundishe
Hv kumbe kulikuwa na mashindano yani nani aanze eeeDuu! Aliyeanza kutoa tamko ni Mbowe au Chalamila? Tuanzia hapo kwanza.
Huyo unayemdharau ni nwakilishi wa rais kwa jiji la dar es salaamhii nchi watu ni walevi wa madaraka
sasa chalamila ana uwezo wa kuamrisha jeshi wafanye usafi wakuu emu nipeni muongozo hapo
Huyo unayemdharau ni nwakilishi wa rais kwa jiji la dar es salaamhii nchi watu ni walevi wa madaraka
sasa chalamila ana uwezo wa kuamrisha jeshi wafanye usafi wakuu emu nipeni muongozo hapo
Ntakupa bint yangu umtoe bikra na mm utanipa wa kwako. Tunaunga udugu dugu moya. au thioNikizeeka nataka kuwa baba ako
Ndo maana nikasema nikufundishe majukumu huenda hujui hata kazi ya jeshi!Unajua majukumu ya jeshi.? Bc hy siku yatafanya majukumu yao yote sio lazima mtangaziwe yote