Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kijana mdogo unakua mshirikina (kuipenda ccm)
 
Wanajeshi wana life gumu sana, hao watawala wanawatumia kama Condomu tu,wanao faidi hii nchi ni hao watawala wa CCM,
 
Usafi gani wa JWTZ askari 5000 na Polisi askari 3000,..
Hebu niambie nchi gani inayopeleka Brigedi 5 kwenye usafi..
Au hujui maswala ya kijeshi nikufundishe
Unajua majukumu ya jeshi.? Bc hy siku yatafanya majukumu yao yote sio lazima mtangaziwe yote
 
Uko uwezekano siku hizo raia wakashinda majumbani bila kutembea kwa sababu ya hofu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…