Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usafi gani wa JWTZ askari 5000 na Polisi askari 3000,..
Hebu niambie nchi gani inayopeleka Brigedi 5 kwenye usafi..
Au hujui maswala ya kijeshi nikufundishe
Walokwenda kuzuia mapinduzi kisiwa cha Anjuan hawakufika hata 2000
Hapa ni mbele kwa mbele mpaka maji tuyaite mmaa
 
mkuu wa mkoa
Kwa maeneo ya mbezi beach naomba tuwasiliane ntatoaaaaa eneo buree kwa ajili ya kupumzikiaaaa wakiwa kazini kwa sikuhiooooo...na tankibovu mpaka rainbow kwenda afrikana tujiandae
 
Walokwenda kuzuia mapinduzi kisiwa cha Anjuan hawakufika hata 2000
Hapa ni mbele kwa mbele mpaka maji tuyaite mmaa
Ndo maana nikasema hakuna Nchi inayoweza kupeleka 5 brigade kuikusanya sehemu moja Ni hatari sana kwa Usalama wa Taifa..
Halafi askari Polisi 3000 ni wengi sana sidhani kama tunaweza kuwa Nao kwa mkoa wa Dar peke yake
 
Hii serikali ya viti maalum ina matatizo sana viongozi wake huenda wanatumia viungo vingine kufikiri tofauti na kichwa. Kwa hiyo watu waendelee kufa kwa kipindu pindu mpaka wiki kesho kutwa ndo usafi ufanyike? Mi nilidhani angetangaza usafi uanze leo kumbe anasubiri maandamano🀭🀭
 
Samia ni mswahili kabisa na sasa amenogewa madaraka na uchu umeongezeka
 
Hapo kwenye world is watching hamna kitu kwa sasa kila nchi ina matatizo yake hakuna atakaye kuja kuwasaidia kutatua yenu. Tatueni matatizo yenu wenyewe sio kutegemea msaada. Pili kiongozi wa serikali ya viti maalum anajua kula vizuri na hao so called " the world" as long as maslahi yao hayaguswi in a negative way hutoyasikia wakikohoa.
 
Umeambiwa jeshi ndilo linafanya usafi wewe umekomalia wananchi
 
Yani unawajaza wanajeshi 5000 mtaani kisa CHADEMA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…