Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
RC hii umeenda mbali.
Nini mnachoogopa hapa!
Maandamano ni ya Amani shida ya serikali yako ni nini! Je umetumwa!
Je wanajeshi wetu ndio kazi yao ya kufanya usafi na sio wananchi wa jiji hilo!

Kwa kweli CCM bila hao na polisi ni vumbi.
Lakini iko muda utasema.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
MKUU WA MKOA PALE KMR BUCHA KUTAKUWA NA KACHUMBA PLS NIINBOX NIWAPE FUNGUO MUWEKE VYOMBO VYA USAFI SIKUMOJA KABLA MUAMKIE PALE
 
Uamuzi wa RC Chalamila kuagiza wanajeshi kufagia barabara ili kuwatisha Chadema wasiandamane unastahili kulaaniwa na kila mpenda utawala bora na demokrasia. Ni hatua ya woga/cowardice na aibu. Wanajeshi wetu wasitumiwe kulinda udikteta wa CCM hasa kwa jambo jepesi la kudai mfumo bora wa uchaguzi. Shame on you Chalamila. The world in watching.
Hata wanajeshi na POLISI wanstosha kuandamana siku hiyo. Kikubwa na kufikisha ujumbe Kwa Rais CDM wao wanaweza wakaandamana siku nyingine ili maandamano yasigongane ila na wao wafuate taratibu zote za maandamano.
 
Chalamila kawapa Promo ya bure Chadema

Ushamba mzigo [emoji23][emoji23]
Inadhihirisha namna nchi hii tunavyoongozwa na baadhi ya wendawazimu. Halafu ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam. Ni dharau kubwa sana kwa wakazi wa Dar kupewa kiongozi kama huyu.

Rais Samia tafadhali ipe Dar es Salaam heshima inayostahili. Kuipa Dar kiongozi kama Chalamila ni sawa na kututusi.

Huyu ni aheri angepewa ubalozi huko Yemen au Somalia. Kule wana uwezo wa kuwadhibi waropokaji.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
Usafi! The only thing these fuckers can do! Dunia, inafanya,juhudi kwenda anga za mbali, kutumia artificial intelligence kwenye kila nyanja ya, uchumi, hapa bongo ma zwazwa, yanapanga kufanya usafi wa mazingira! Yanaona jambo LA maaana Sana! Hv hata kuiga hatuoni, umeishawahi kusikia Governor wa state huko USA anaenda kufanya usafi wa mazingira!?
Watu watakusanyika kwenye tukio LA pekee,
Huu mkusanyiko wa kufanya usafi, ungekuwa na maaana, kama kwenye sherehe za xmass, au, mapinduzi, mnaenda kutoa misaada vituo vya yatima, au madokta wa jeshi mnaweka kambi sehemu kutibu watu bure! Magonjwa yote!
 
Yaani mwanajeshi unamshusha hadi mfagizi, Kwa hiyo majukumu Yao ya siku, na hao wanausafi watapumzika!?
Halafu Jiji lina bajeti ya usafi na wakandarasi wanaolipwa na kodi zetu. Wanasheria wanatakiwa kuwashtaki Jiji na RC kwa kushindwa kuwasimamia wakandarasi hadi inafika mahali Jeshi linafanya usafi. Utakuta wanapewa posho juu wakati vijana wapo mtaani hawana kazi.
 
Inadhihirisha namna nchi hii tunavyoongozwa na baadhi ya wendawazimu. Halafu ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam. Ni dharau kubwa sana kwa wakazi wa Dar kupewa kiongozi kama huyu.

Rais Samia tafadhali ipe Dar es Salaam heshima inayostahili. Kuipa Dar kiongozi kama Chalamila ni sawa na kututusi.
Jambo lolote hata kama ni dogo ukilihusisha Jeshi ujue Mjadala wake unasambaa hadi Vijijini

Mwagito Albert amechemka
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Palestina mtoto mdogo anamtoa Jasho Isreal na kifaru chake. Tanganyika mtu mzima anaogopa sauti ya fisi msituni
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Chadema waandamane ila wasichafue mazingira tuu 🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
Chadema wangeendelea kudai katiba! Wangepata huruma ya dola!

Lakini wakaingia mkenge was nusu mkate wakakosa hata credibility ya Dola kuwatetea!!

Waache kulalamika wavune walichopanda!!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823

_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni


Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..

View attachment 2870825
MKUU WA MKOA NAKUUNGA MKONO KWA HILI KAMA KU A JEZI RASMI WANAOTAKA KUFANYA USAFI TUNUNUE SIKUHIO TUTAMBULIKE RASMI TAFADHALI
 
Back
Top Bottom