econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Huyo unayemdharau ni nwakilishi wa rais kwa jiji la dar es salaam
Rais ndio Nini?. Cheo Cha Urais kimeshuka hadhi sana kwa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo unayemdharau ni nwakilishi wa rais kwa jiji la dar es salaam
Siku hy wakati mnaandamana ndio utajua majukumu ya jeshi, uwepo eneo la tukio usije kuleta visingizio
Mbowe nimeshaanza kumshtukia ni ccm inside job.
Huwez kutumia mbinu ile ile miaka nenda rud bila mafanikio na bado unai opt.
Siku nikiskia kuna mchango wa chini chini kusupport logistics za jeshi la ukombozi nitajua wanamaanisha.
Kwa kiwango cha usugu wa ccm maandamano ni porojo.
Ifahamike ni chama chenye mtaji nyanja zote kuliko chama chochote cha siasa africa, haijalishi kinaongoza nyumbu.(pesa, watu/utaalam, vifaa vya kijesh/dola, na zaid NIA ya kukaa madarakan)
Hofu ya nini?
Nawakumbusha chadema kuwa mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, hivyo wajichanganye hiyo tarehe waje watusimulie
Me sioni.We unaonaje?
Yaani umecheka nini?Si usafi tu!!!Daa ukweli nimecheka sana sana sana yaani daaa! 😂😂😂😂!.
This country daa!.
Akili za kuambiwa changanya na za kwako kama mbowe atakuwa anaongoza maandamano hayo na familia yake hakuna shaka
Amesema wanakuja kufanya usafi au kuzuia maandamano ya Chadema.?
Kufanya usafi ni ujinga.?
Na nyie mlikuwa wap kuweka maandamano.?Usafi wa kinafiki?. Walikuwa wapi siku zote?
lakini hata viongozi wengne huwa wanakuaga na msafara wa wanajeshi pia ila haimaanishi kuwa wana uwezo wa kuamrisha jeshi zimaHuwa huoni Wanajeshi kwenye msafara wake kikazi?
Umedanganywa hakuna uimara wowote ni basi hatuna aduiJeshi ni taasisi imara msikubali kutumika kisiasa.
This is another reason I hate politics
Unayajua majukumu/mamlaka ya mkuu wa mkoa?
Hapa dawa ni Chadema wasogeze siku 1 mbele au warudishe siku 1 nyuma kama kweli wana nia na maandamano.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.
RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.
Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
View attachment 2870823
_______________
---------------------
Soma pia
CHADEMA Yatangaza Maandamano Kupinga Miswada ya Sheria za Uchaguzi iliyowasilishwa Bungeni
Hata hivyo ikumbukwe kuwa siku hiyi imepangwa kama ni siku ya Maandamano ya Wanachama wa CHADEMA DAR ES SALAM ili.kupinga baadhi ya mambo nchini..
View attachment 2870825