Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Ukiwa Arusha au moshi ladha ya Maji ya kilimanjaro ni tofauti kabisa na Kilimanjaro yanayouzwa dar es salaam sijui kwann
 
Nakunywa DEW DROP na Hill water

Maji ya Kilimanjaro ni mazito, hayakati kiu...itawezekana chemical zimezidi

Inaweza kuwa chanzo chao cha maji, ni polluted sana hivyo wanajaza chemical kusafisha
 
Mwanzo nilizani ni kitu ingine ila kufanya uchunguzi ni maji yenu yananuka na yanaleta ladha chungu na siku hizi natapika
Kama hadi unatapika inabidi uangalie mzunguko wako au kapime kwanza mkojo.
 
Nimeachq kunywa kilimanjaro muda sana.

Ni maji mabaya balaa,now wanapigwa bao na kina uhai,masafi na hill
 
Mwanzo nilizani ni kitu ingine ila kufanya uchunguzi ni maji yenu yananuka na yanaleta ladha chungu na siku hizi natapika
Inakuwaje mtoto mzuri kama wewe unakunywa maji ya kiwandani! Hebu ukipata likizo fanya uje huku kwetu Usambaani, ili uje ufaidi maji fresh ya asili kutoka kwenye miamba.

NB: Halafu na huko kutapika huko! Mhhh!!
 
Kuna na mwenzie uhai kopo lenyewe tu linapiga kelele likiwa limejaa maji yani tunalishwa madude ambayo hayaeleweki sumu tupu
 
Kilimanjaro 💦 na Dasani 💦 ni maji bora kwa hapa nchini. Anayebisha atakuwa ametumwa na Zamzam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…