Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam 'Uhai' ni bonge la maji.
Kweli Au maji unayo kunywa yamechakachuliwa,na kutapika juu?Haya sawa🐾🐻
Kama hadi unatapika inabidi uangalie mzunguko wako au kapime kwanza mkojo.Mwanzo nilizani ni kitu ingine ila kufanya uchunguzi ni maji yenu yananuka na yanaleta ladha chungu na siku hizi natapika
Royal ❌ loyal ✅ ama ❌ hama ✅Pole sana inaonesha ulikuwa royal kwa Kilimanjaro but kampuni zipo nyingi ama tu
Hapana. Tangu akiwa hai mambo yalishaanza kuwa hovyoTangu Mengi afe mambo yote pale hovyo
Inakuwaje mtoto mzuri kama wewe unakunywa maji ya kiwandani! Hebu ukipata likizo fanya uje huku kwetu Usambaani, ili uje ufaidi maji fresh ya asili kutoka kwenye miamba.Mwanzo nilizani ni kitu ingine ila kufanya uchunguzi ni maji yenu yananuka na yanaleta ladha chungu na siku hizi natapika
Mkwawa ni the best. Tatizo lake, hayapatikani kiurahisi. Nadhani production yao ni ndogo.Jaribu maji ya uhuru au mkwawa utanishukuru