permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Haya maji siku hizi yamechakachuliwa sana na wahuni. Kuna chupa unakuta ni za mtaani tu zina maji ya Kilimanjaro, chupa zimetumika hadi chupa haiwezi kusimama wima inabidi uishikilie.Mwanzo nilizani ni kitu ingine ila kufanya uchunguzi ni maji yenu yananuka na yanaleta ladha chungu na siku hizi natapika
Kwani umelazimishwa kunywa hayo maji?Watu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.
Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?
Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.
PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa
Asanteni
Kati ya maji ambayo ni mazuri na natural nchini ni Kilimanjaro. Acha kuongopea watu ili uuze maji yako ambayo hayana viwwngoWatu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.
Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?
Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.
PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa
Asanteni
Hill pia yana chumvi ni ya kisimaYes hill yapo vyema ,uhai yana chumvi
Maji ni Dew Drops tuu kutoka SumbawangaWatu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.
Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?
Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.
PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa
Asanteni
Fanyeni uchunguzi badala ya kuja na mawazo ya kuharibiwa biashara.@sweetcandy badala ya kuharibu biashara za watu bila sababu ya msingi ungeatumia ya Mo tu. Kwani lazima unywe kilimanjaro.?
Waambie waliokutuma Kilimanjaro hawataiweza.
Kilimanjaro water haina chemicals kama hayo mengine. Kwanza mengine ni ya kisima... Pambaneni na brand zetu, Kilimanjaro ni level ingine arifuFanyeni uchunguzi badala ya kuja na mawazo ya kuharibiwa biashara.
Siku za nyuma nilikuwa mdau wa kilimanjaro ulikuwa huniambii chochote ila siku hizi nimenyoosha mkono,kwa hiyo usikimbilie kujihami badala ya kufanya uchunguzi
Siamini kama maji yote ya Kilimanjaro yanatoka Shree Matunda Moshi, kuna Mchina hapo ameshaingia kati, halafu kashusha bei, lita moja anauza 500 mimaji haina ladha kabisa.Watu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.
Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?
Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.
PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa
Asanteni
Rubbish, umepita mitaani?@sweetcandy badala ya kuharibu biashara za watu bila sababu ya msingi ungeatumia ya Mo tu. Kwani lazima unywe kilimanjaro.?
Waambie waliokutuma Kilimanjaro hawataiweza.
Kaka unapambana kumwaribia Kilimanjaro lakini kubalini hamumuwezi. Jenga brand yako taratibuRubbish, umepita mitaani?
Wenye akili ndogo mpo wengi, Hennessy inafojiwa ndio sembuse maji ya kilimanjaro?Kilimanjaro water haina chemicals kama hayo mengine. Kwanza mengine ni ya kisima... Pambaneni na brand zetu, Kilimanjaro ni level ingine arifu
Tuache na akili ndogo ambao tunajua maana ya natural spring water. Wewe mwenye akili kubwa kunywa Kilimanjaro ndogo, kwani kuna shida gani?Wenye akili ndogo mpo wengi, Hennessy inafojiwa ndio sembuse maji ya kilimanjaro?
Kilimanjaro chupa ndogo ndio bado maji salama.
Nimelia Sana Dk Mama SamiRoyal ❌ loyal ✅ ama ❌ hama ✅
Dew 💧ndio Kipenzi changu,,yule designer wa Ile chupa Kiujumla na stika zake ni Classsic Vibaya mnookuna yale maji ya dew drop nilikua nayaona ya bei ghali sana navile vichupa wamedesign nikawa hata siyasogelei nikikumbuka nacheka sana
UKWELI NI HUUSiamini kama maji yote ya Kilimanjaro yanatoka Shree Matunda Moshi, kuna Mchina hapo ameshaingia kati, halafu kashusha bei, lita moja anauza 500 mimaji haina ladha kabisa.
-Maji ya Kilimanjaro yanayozalishwa Moshi kwenye kiwanda cha Bonite ndiyo "natural" na yenye ladha ileile ya zamani na haya yanauzwa au yanapatikana hasa mikoa ya kaskazini .Maji mengine ya Kilimanjaro yanazalishwa na kiwanda cha CocaCola apa Dar (yaani wanatumia formula ileile kuzalisha na ndiyo hayo yenye chumvi na ladha tofauti).Haya yanayozalishwa Dar ndiyo yanasambazwa kwa wingi huko mikoani (ukitoa mikoa ya kaskazini)Ukiwa Arusha au moshi ladha ya Maji ya kilimanjaro ni tofauti kabisa na Kilimanjaro yanayouzwa dar es salaam sijui kwann
Hongera sana. Kupitia comments zako nimeona una kipaji kikubwa cha muziki wa mwambao yaani TAARAB. Mwone Isha Mashauzi akuunge kwenye kundi lake.Tuache na akili ndogo ambao tunajua maana ya natural spring water. Wewe mwenye akili kubwa kunywa Kilimanjaro ndogo, kwani kuna shida gani?
Aidha ukitaka kufanikiwa kwenye maisha usifanye majungu sababu hayawezi kukupandisha.
Hongera sana. Kupitia comments zako nimeona una kipaji kikubwa cha muziki wa mwambao yaani TAARAB. Mwone Isha Mashauzi akuunge kwenye kundi lake.@sweetcandy badala ya kuharibu biashara za watu bila sababu ya msingi ungeatumia ya Mo tu. Kwani lazima unywe kilimanjaro.?
Waambie waliokutuma Kilimanjaro hawataiweza.