Au inawezekana wewe unafanya makosa. By the way, umesoma article niliyoiandika page zilizopita? Labda itakusaidia kugundua kuwa aliyekosea ni wewe na Biblia kama ilivyo ada iko sahihi kabisa!Mkuu hata mimi ni mkristo kama wewe ila lazima tukubali kuna mambo kwenye bible yana walakini inawezekana waandishi walifanya makosa kwenye kusimulia hivo visa.
Uko sahihi kabisa mkuu! Biblia haijwahi kukosea kitu! Sisi kwa akili za kibinadam ndo tunataka mambo yawe kama tunavyowazaAu inawezekana wewe unafanya makosa. By the way, umesoma article niliyoiandika page zilizopita? Labda itakusaidia kugundua kuwa aliyekosea ni wewe na Biblia kama ilivyo ada iko sahihi kabisa!
in case hukuiona: Yesu Kristo ni Bwana na Mfalme!: Swali #4 - Maji ya kipindi cha Nuhu kutengeneza Safina yalienda wapi?
Maji ya mafuriko huwa yanaenda wapi? Si unaona pale jangwani hugeuka Kama kisiwa kidogo kwa muda?Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka mpaka basikabla kujiuliza yalienda wapi?
jiulize yalitoka wapi?
ukipata jibu ndo jibu.
yalirudi yalipotoka.
Wanjama walikuwa wanakula chakula kilichomo kwa uwezo wa munguKama unadhani kuna gharika ilitokea jiulize maswali haya.
1. Maji yalitoka wapi na yalikwenda wapi baada ya gharika.
2. Wanyama walikuwa wanakula nini ndani ya safina.
3. Nani alianza kuwasambaza tena wanyama baada ya safina kwenda maeneo mbalimbali ya dunia.
4. Kuna wanyama ambao hawawezi ishi kabisa mashariki ya kati kama polar bears nuhu aliwezaje ishi nao.
5. Zaidi ya species million 8 zilitoshaje kwenye safina ndogo kuliko hata titanic.
6. Kwanini formation ya miamba hai suggest uwepo wa gharika hata nusu dunia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
Hiyo historia ni ya kibaguzi ya kiafricaNi sawa na mie ninavyowaza na kupata jibu kuwa huenda bustani ya Edeni ilikuwa Tanzania pale Ngorongoro crater kwa sababu hizi mbili kubwa... Kwanza tunaambiwa binadamu walikuwa wanaishi na wanyama enzi zile kwenye bustani.. hadi leo hakuna sehemu nyingine duniani ambapo wanyama wanaishi kwa amani na binadamu isipokuwa Ngorongoro crater, na ndiyo maana imekuwa kivutio cha watalii kutoka pande zote za Dunia.. Pili, hadi leo tunaambiwa kwamba Fuvu la binadamu wa kwanza lilivumbuliwa na Dr Leakey eneo la Olduvai Gorge,na kwa vipimo vya C14 kweli linaonekana ndio fuvu la binadamu wa kwanza.. hadi leo hakuna mwanasayansi yeyote duniani aliekuja na masalia yenye umri unaopita yale ya Dr Leakey.. na ukiangalia Olduvai gorge ni sehemu y huko huko Ngorongoro... Sasa hatuoni kuwa hilo fuvu ni la Adamu/ Hawa? kwa nini pale pasiwe ndo Bustani ya Edeni?
Hawakufanya makosa we ndo huelewiMkuu hata mimi ni mkristo kama wewe ila lazima tukubali kuna mambo kwenye bible yana walakini inawezekana waandishi walifanya makosa kwenye kusimulia hivo visa.
Somehow, ingawa ukisoma physical geography kwa undani san ina ushahidi mwingi sana wa kushikika kuhusu mambo ya kibiblia. Kama unaangalia chanel ya National Geographic and Discovery, utakubali hili.ukisoma bible ukachanganya na history au geography utakuwa confused sana
Bustan ya eden sio bustan,,ni uwepo wa mungu mahali pale walipokuwepo adam na hawa.. Ndio maana alipowafukuza alimaanisha anajitenga nao kuwa karibu kama awali lakin sio kuwatupa moja kwa moja...Ni sawa na mie ninavyowaza na kupata jibu kuwa huenda bustani ya Edeni ilikuwa Tanzania pale Ngorongoro crater kwa sababu hizi mbili kubwa... Kwanza tunaambiwa binadamu walikuwa wanaishi na wanyama enzi zile kwenye bustani.. hadi leo hakuna sehemu nyingine duniani ambapo wanyama wanaishi kwa amani na binadamu isipokuwa Ngorongoro crater, na ndiyo maana imekuwa kivutio cha watalii kutoka pande zote za Dunia.. Pili, hadi leo tunaambiwa kwamba Fuvu la binadamu wa kwanza lilivumbuliwa na Dr Leakey eneo la Olduvai Gorge,na kwa vipimo vya C14 kweli linaonekana ndio fuvu la binadamu wa kwanza.. hadi leo hakuna mwanasayansi yeyote duniani aliekuja na masalia yenye umri unaopita yale ya Dr Leakey.. na ukiangalia Olduvai gorge ni sehemu y huko huko Ngorongoro... Sasa hatuoni kuwa hilo fuvu ni la Adamu/ Hawa? kwa nini pale pasiwe ndo Bustani ya Edeni?
hapo namba tano hapo hebu naomba ufafanuzi vizuri kwamba ulitumia vipimo gani kujua kwamba titanic ni kubwa kuliko safina hebu nielezee kiundani zaidiKama unadhani kuna gharika ilitokea jiulize maswali haya.
1. Maji yalitoka wapi na yalikwenda wapi baada ya gharika.
2. Wanyama walikuwa wanakula nini ndani ya safina.
3. Nani alianza kuwasambaza tena wanyama baada ya safina kwenda maeneo mbalimbali ya dunia.
4. Kuna wanyama ambao hawawezi ishi kabisa mashariki ya kati kama polar bears nuhu aliwezaje ishi nao.
5. Zaidi ya species million 8 zilitoshaje kwenye safina ndogo kuliko hata titanic.
6. Kwanini formation ya miamba hai suggest uwepo wa gharika hata nusu dunia tu.
unafikiri upo serious kuuliza maji hayo yalienda wapi wakati unaona kabisa robo tatu ya dunia ni maji? theluthi moja tu ndio ardhi, zaidi sana, Mungu ni muumbaji anaweza kukausha yakabaki anayoyataka.Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Umeuliza au umejibu?Ukijibu hili utajua jibu la.swali lako we mleta thread.
Mito au vijito vikikauka maji huwa yanaenda wapi vile aisee?
Umeuliza au umejibu?
Kuna article nimeandika fupi tu inajumlisha na hint za ushahidi toka katika Geology/Geography. Sina hakika wangapi wameisoma ila naona kama wameiruka hivi maana maswali mengi yanaulizwa na nimeyaainisha majibu kule.Somehow, ingawa ukisoma physical geography kwa undani san ina ushahidi mwingi sana wa kushikika kuhusu mambo ya kibiblia. Kama unaangalia chanel ya National Geographic and Discovery, utakubali hili.
unafikiri upo serious kuuliza maji hayo yalienda wapi wakati unaona kabisa robo tatu ya dunia ni maji? theluthi moja tu ndio ardhi, zaidi sana, Mungu ni muumbaji anaweza kukausha yakabaki anayoyataka.
UNAJUA LOGIC INAHUSISHA REASONING SS YA KWAKO HIYO SIJUI NI REASONING AU RESONATING mm sijaona REASONING HAPOHiyo niliyotumia hapo inaitwa "logic" hivyo, inahitaji akili kubwa kuelewa nilichoandika.