Maji ya kipindi cha Nuhu kutengeneza Safina yalienda wapi?

Sawia kabisa
 
Hawakufanya makosa we ndo huelewi
Soma vizuri utagundua walisubiri yakauke
Na kukauka inamaana yanyonywe na ardhi
Mkuu unajua maji ya kuijaza dunia nzima, hebu fikiria urefu wa mlima everest na uwe chini ya maji ardhi gani inaweza nyonya maji yote hayo kwa akiri yako.
 
hapo namba tano hapo hebu naomba ufafanuzi vizuri kwamba ulitumia vipimo gani kujua kwamba titanic ni kubwa kuliko safina hebu nielezee kiundani zaidi
Mkuu ulikuwa unatoroka Sunday school hebu google Noah's ark utapewa details na vipimo vikiwa in modern measurement.
 
Akili za facebook ukizileta kwa akili kubwa jf nitatizo tukuulize basi tangu uanze kunywa maji umekunywa bahari ngapi na yanaenda wapi
 
Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.
Kumfunika MUNGU?so unataka kusema MUNGU yupo mawinguni?
 
Mkuu unajua maji ya kuijaza dunia nzima, hebu fikiria urefu wa mlima everest na uwe chini ya maji ardhi gani inaweza nyonya maji yote hayo kwa akiri yako.
Biblia ina majibu yote.
Mungu alimwagiza Nuhu kujenga safina akiwa na miaka 500
.Nuhu alijenga safina inasemekana miaka 98
.Nuhu aliingia ndani ya safina mwaka wa 600 siku ya 17 ya mwezi wa pili ,
.Nuhu akikaa ndani ya safina kwa muda wa miezi 11 na siku 10 ,kwa sababu alitoka ktk safina mwaka wa 601 ,mwezi wa kwanza siku ya 27.
.Maji ya gharika yakipungua Mungu alipovumisha Upepo juu ya nchi,maana yake maji yalichange kuwa water vapour(mvuke).Pia chemichem za ardhi zilifungwa na madirisha ya mbinguni yalifungwa.
.Nuhu alikusanya chakula cha kutosha kwa ajili yake na wanyama waliokuwa ndani ya safina.
Nb viumbe wanaoishi katika maji hawakudhulika na hii gharika hivyo walizaliana sana kwa sababu chakula kilikuwa kingi sana.
Soma Mwanzo 7:1-9:25.
 
Mambo ya imani magumu sana maana kuna sehemu huhitaki kuhoji ni kusadiki tu
 
Jibu kwanza swali hili: maji yaliyofanya hiyo Safina ya Nuhu ielee yalitoka wapi?
 
Mkuu pokea mkono wangu popote ulipo.
Kweli biblia ni ngumu kuielewa kwa sayansi ya mwanadamu
Lakini kwa kweli climate change is real. Mi na umri huu wa under 35 nimeshuhudia maeneo yaliyokuwa yanapata mvua august to Jan usiku na mchana sasa ni ukame wa kutisha, vipi miaka 1000 iliyopita ilikuwaje.
 
Yange evaporate bado yange kuwa kwenye system ya dunia sasa hayapo ndio maana mtoa mada anahoji yalienda wapi.
Mambo ya Mungu si ya kuhoji kwa akili za kibinadamu!!!
Ni kama kuuliza moto uliounguza sodoma na gomora ulitoka wapi!!!
Bahari iliyotenganisha ili wanaisraeli wapite kipindi cha Musa ilishikiliwa na nini?
Ni kama kuhoji uumbaji pia!!!

The acts of God cannot be comprehended using human mind!!!
 
Nami naomba nikuulize,

Maji ya mvua ya El niño ya mwaka 1997/1998 yalienda wapi?
Kweli mkuu, kipindi kile nilishuhudia, kwa macho yangu mabonde yamejaa maji, hayavukiki ila leo hata tone hamna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…