Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo maji yanawekewa nini?tukijua tunaweza changia.Salaam,
Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa saratani wamekuwa wakitokea kanda ya ziwa jambo ambalo linapelekea serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini kanda ya ziwa?
Jana nimeona Mh makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani kuwa juu Kanda ya ziwa ni watu wanaotumia maji yakuoshea maiti kuhifadhia samaki.
Nimeona niijulishe Serikali kwamba moja ya wateja wakubwa wa maji haya ni waganga wa kienyeji na maji haya yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili.
Ili Serikali ifanikiwe kudhibiti usambaaji wa biashara hii nashauri wahakikishe masoko yote pamoja na mochwari ambapo ndipo yanapotoka wanadhibiti vinginevyo tatizo hili litaendelea.
Asante.
Na nimepata kusikia kwamba sio samaki pekee bali hata nyama buchani !!Sasa mkuu kama wanatumia formalin kuhifadhi samaki, kwa nini tatizo lisiwe kubwa huku Dar na mikoa mingine iliyo mbali na kanda ya ziwa ambako ndo tunategemea watumie samaki waliohifadhiwa?
Watakuwa wanatumia dawa ya kupulizia kuua wadudu, kuna bucha unaingia hakuna nzi kabisa.Kiufupi ni kwamba ukienda kununua samaki chagua duka lenye ma-nzi wengi ndio kuna samaki salama.
Ila unakuta duka la samaki lakini hakuna hata ka nzi kanakozengea maeneo hayo, seriously?
AKILI KUMKICHWA.
Vipi kuhusu kemikali zinazotoka migodini kwenye hatua za usafishaji wa madini? Hazifiki kwenye vyanzo vya maji au ziwa Victoria wanapotoka hao samaki?Salaam,
Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa saratani wamekuwa wakitokea kanda ya ziwa jambo ambalo linapelekea serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini kanda ya ziwa?
Jana nimeona Mh makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani kuwa juu Kanda ya ziwa ni watu wanaotumia maji yakuoshea maiti kuhifadhia samaki.
Nimeona niijulishe Serikali kwamba moja ya wateja wakubwa wa maji haya ni waganga wa kienyeji na maji haya yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili.
Ili Serikali ifanikiwe kudhibiti usambaaji wa biashara hii nashauri wahakikishe masoko yote pamoja na mochwari ambapo ndipo yanapotoka wanadhibiti vinginevyo tatizo hili litaendelea.
Asante.
Swali ni kuwa hayo hao samaki wanaohifadhiwa Kwa maji ya maiti wanauzwa Kanda ya ziwa pekee?Salaam,
Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa saratani wamekuwa wakitokea kanda ya ziwa jambo ambalo linapelekea serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini kanda ya ziwa?
Jana nimeona Mh makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani kuwa juu Kanda ya ziwa ni watu wanaotumia maji yakuoshea maiti kuhifadhia samaki.
Nimeona niijulishe Serikali kwamba moja ya wateja wakubwa wa maji haya ni waganga wa kienyeji na maji haya yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili.
Ili Serikali ifanikiwe kudhibiti usambaaji wa biashara hii nashauri wahakikishe masoko yote pamoja na mochwari ambapo ndipo yanapotoka wanadhibiti vinginevyo tatizo hili litaendelea.
Asante.
Na nimepata kusikia kwamba sio samaki pekee bali hata nyama buchani !!
Nzi hawawezi kuisha kabisa buchani kwa kupulizia dawa za kuua wadudu tu !! Hiyo ni hiyo dawa inayosemwa huwa inafanya maiti isioze !! Na hii habari wala sio ngeni mbona ilishaongelewa sana mitaani miaka mingi iliyopita !Watakuwa wanatumia dawa ya kupulizia kuua wadudu, kuna bucha unaingia hakuna nzi kabisa.
Ni waislam duniani kote au Kanda ya ziwa pekee??Maiti za waislamu zinapooshwa maji yake huhifadhiwa.
Hizo ni story mkuu, formalin unaiweka vipi kwenye nyama? na humo ndani ya bucha kuna mtu atakaa humo kwa harufu, kupiga chafya na kuwashwa machoni, au wanatumiaje.....labda watuelimishe.Nzi hawawezi kuisha kabisa buchani kwa kupulizia dawa za kuua wadudu tu !! Hiyo ni hiyo dawa inayosemwa huwa inafanya maiti isioze !! Na hii habari wala sio ngeni mbona ilishaongelewa sana mitaani miaka mingi iliyopita !
Asante mkuu. Naunga hoja mkono.tatizo la saratani kuwa juu kanda ya ziwa ni kutokana na kemikali za migodini zinazoelekezwa kwenye vyanzo vya maji ikiwemo mito na kuishia ziwani. Haya ndo yaleyale ya tume ya Manyere kwamba samaki wa mto Mara walikufa kutokana na kuzidiwa na kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Pathetic!!
Wahusika wakitaka wanaouwezo wa kujua kila kinachofanyika huko mabuchani !! Narudia Wakitaka !!Ni mwendelezo wa story za vijiweni, ni vigumu sana kuitumia hiyo kemikali ya formalin hata kuipata tu ni vigumu maana inathibitiwa na sheria za kemikali, lazima uwe na kibali hata kuweza kuinunua........huko buchani labda wanatumia zile spray za kuua wadudu kuzuia nzi.
Hapo sasa ndio kasheshe !!Hizo ni story mkuu, formalin unaiweka vipi kwenye nyama? na humo ndani ya bucha kuna mtu atakaa humo kwa harufu, kupiga chafya na kuwashwa machoni, au wanatumiaje.....labda watuelimishe.
Wachawi wako Dunia nzima, hata ktk butchers za nyama hutumia,Mwanza sili tena samaki zenu 😆🤣
Nilivyo elewa Ili kuhifadhi bila kuharibika Ina maana Kuna dawaNaomba kuuliza,haya maji ya kuuoshea maiti,ni maji Dawa au ni yale maji yanyokusanywa baada kuoshea maiti na kuhifadhiwa!!?