DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko

DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hizo samaki unazo ziona ferry pale au soko la ilogonzara kwenye firiji zina subiria wateja wa Dar es salam wafungiwe kwenye ndoa wa ondoke na basi au na ndege watu wa mwanza wengi hawawezi kutumia pesa yao kununua samaki sato/sangala aliohifadhiwa kwenye firiji kwa sh 25k au 30k

wakati kuna visoko vya samaki fresh mitaani jilani na makazi yao kwa sh 2k hadi 5k kwa hao samaki wakubwa ni kwa wageni wasio jua samaki wa ziwa vic kwahiyo hiyo salatani ingetokea kwingine sio mwz tena.
Hilo nalo ni neno au ni hoja yenye mashiko. Tena ikumbukwe samaki anakula pia vitu vingine ambavyo huenda navyo vimeshachafuliwa na vitu vinavyoweza kusababisha saratani.
Huku kwetu umasaini tunawapata pia samaki esp.sangara na sato kutoka Mwanza. Kwa hiyo na sisi pia tuko kwenye risky population.
Utafiti wa kina unahitajika.
 
Mtu yeyote anayeifahamu Formaline vizuri atakubaliana na mimi kwa harufu yake tu huwezi kutumia kuhifadhi nyama au samaki mteja asijue. Wauza nyama na samaki wana uhuni mwingi ila kwa hili la Formalin wanasingiziwa!

Aliyesoma Chemistry na ambaye amewahi kuiona Formalin atakubaliana na mimi.
 
Wahusika wakitaka wanaouwezo wa kujua kila kinachofanyika huko mabuchani !! Narudia Wakitaka !!
Hizi dawa za kutunzia maiti ni hatari sana kwa binadamu, na wavuvi huzipendelea. Madhara yatokanayo na matumizi haya ni mengi ukiachilia cancer.

Hili tatizo lilikuwa kubwa sana Uganda hadi serikali ikaingilia kati, na hii hali ikapungua. Given proximity na mwingiliano wa wavuvi wa Tanzania na Uganda, uwezekano wa hii tabia kuwa ime-spill over Tanzania ni mkubwa sana.

Kwendana na serikali dhaifu tulizonazo, Mwananchi ni lazima Abebe jukumu l afya yake 100%.
 
Kuna kitu nimeokota hapa, kimenitesa mda
Kipi hicho!!?

Au ni hiki;-

"Mama Samiah hoyeeeeh!

"Makamu wa Rais philip Mpango hoyeeeeh"!

"Waziri mkuu KASIM majaliwa hoyeeeeh!

Bwana asifiweeeeeh!

Mawaombea mh.Rais mama Samiah suluh,philip Mpango na KASIM majaliwa!!

Niishie hapo!

Una maanisha hivo!!?
 
Kipi hicho!!?

Au ni hiki;-

"Mama Samiah hoyeeeeh!

"Makamu wa Rais philip Mpango hoyeeeeh"!

"Waziri mkuu KASIM majaliwa hoyeeeeh!

Bwana asifiweeeeeh!


Mawaombea mh.Rais mama Samiah suluh,philip Mpango na KASIM majaliwa!!


Niishie hapo!

Una maanisha hivo!!?
Hapana mkuu
 
Ukweli wa hii ishu ipo humu👇
 

Attachments

  • NCA-GOLD MINING ADVOCACY IN TANZANIA-Tanzania's Gold-Someones Treasure 2008.pdf
    NCA-GOLD MINING ADVOCACY IN TANZANIA-Tanzania's Gold-Someones Treasure 2008.pdf
    1.2 MB · Views: 6
  • 3FEC4AF3-9200-4D04-8EA6-669C741F6143.jpeg
    3FEC4AF3-9200-4D04-8EA6-669C741F6143.jpeg
    151.8 KB · Views: 4
Ukweli ni kwamba:

1) japo samaki wa kanda ya ziwa wanasafirishwa kwenda mikoa mingine lakini siyo kwa kiasi kikubwa. Na kuna watu katika mikoa mingine hawajawahi hata kuonja samaki wa kanda ya ziwa.

2) Zaidi ya 90% ya samaki wanaouzwa kwenye maeneo mbalimbali ya miji ya kanda ya ziwa huwa wamehifadhiwa kwenye maboksi ya barafu, na huwa kuna taarifa kuwa barafu hizo huwa zinatoka kwenye mashine zilizopo hospitalini (sina uhakika kama ni kweli).

3) si kweli kuwa wakazi wa mikoa hii hawatumii samaki waliohifadhiwa kwenye barafu au kuwekwa dawa nyingine ili samaki wasiharibike. Wafanyabiashara hawawezi kuwauza samaki wote wakamalizika kwa siku moja.

4) nenda hata hapo ferry jirani na posta, Mwanza, kwa wauza samaki. Huwezi kuona nzi yeyote kwenye samaki, ni kwa nini? Wakati samaki ana harufu kali ya kuvuta samaki kuliko nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku.

5) mamlaka za serikali zifanye kazi. Ziharamishe njia zozote za kuhifadhi nyama na vyakula vingine ambazo siyo salama kiafya. Na vyakula vyote vilivyotunzwa kwa njia hatari kiafya, viteketezwe. Ikifanyika mara kadhaa, hakuna atakayetumia njia hizo.
Majokofu ya ferry na airport ni Kwa ajili ya kusafirisha mikoa mingine na viwandani, samaki wa kuvuliwa na sumu labda.

Bt wamefanya narrow research na kujump kwenye conclusion .

CCM ni janga la Taifa. Ameeen
 
Salaam,

Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa Saratani wamekuwa wakitokea Kanda ya Ziwa jambo ambalo linapelekea Serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini Kanda ya Ziwa?

Jana nimeona Mh Makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani kuwa juu Kanda ya Ziwa ni watu wanaotumia maji ya kuoshea maiti kuhifadhia samaki.

Nimeona niijulishe Serikali kwamba moja ya wateja wakubwa wa maji haya ni waganga wa kienyeji na maji haya yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili.

Ili Serikali ifanikiwe kudhibiti usambaaji wa biashara hii nashauri wahakikishe masoko yote pamoja na mochwari ambapo ndipo yanapotoka wanadhibiti vinginevyo tatizo hili litaendelea.

Asante.
Maji ya kuoshea maiti ni maji ya kawaida tu..Hayana uwezo wa kuhifadhi kitu....
 
Ombea hata maharage maana ukinunua maharage Kwa mfanyabiashara anaenda Kwa mganga, hubadilika na kuwa mavi ya mbuzi. Shetani mbaya sana.
Mavi ya mbuzi ??! Sidhani hawana sayansi hiyo! Halafu unawakweza sana!! Hawana nguvu hizo ! Never !!
 
Salaam,

Tafiti zinaonesha kwamba wagonjwa wengi wa Saratani wamekuwa wakitokea Kanda ya Ziwa jambo ambalo linapelekea Serikali kuhangaika kutafuta sababu kwanini Kanda ya Ziwa?

Jana nimeona Mh Makamu wa Rais akiwa hospitali ya Bugando ameeleza moja ya sababu inayopelekea takwimu za saratani kuwa juu Kanda ya Ziwa ni watu wanaotumia maji ya kuoshea maiti kuhifadhia samaki.

Nimeona niijulishe Serikali kwamba moja ya wateja wakubwa wa maji haya ni waganga wa kienyeji na maji haya yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili.

Ili Serikali ifanikiwe kudhibiti usambaaji wa biashara hii nashauri wahakikishe masoko yote pamoja na mochwari ambapo ndipo yanapotoka wanadhibiti vinginevyo tatizo hili litaendelea.

Asante.
Mkuu umechanganya mada.

Siyo maji ya maiti, maji yanayotoka kuoshea maiti ni maji taka kama yalivyo maji yanayotoka bafuni baada ya kutumika.

Ile dawa inayotumika kuhifadhia maiti isiharibike, ndiyo dawa sasa inayotumika kuhifadhia samaki na wale watu wabinafsi wasiojali maisha ya wengine.

Kwake yeye ni: samaki asioze fedha ipatikane na si afya ya mteja!

Ni sawa na wakaangaji wa samaki Feri wanavyotumia mafuta ya mitambo ya transformer kukaangia samaki na kuuzia watu.

Hiyo biashara inaeleweka na hakuna hatua za maana serikali ilikwisha kuchukua kunusuru afya za watu wasioelewa chochote kuhusu kemikali hatarishi wanazolishwa na watu wasio waaminifu bila kufahamu.

Ukiangalia mfumuko wa gonjwa wa kansa hospitali ya Osheni road utasikitika, chanzo chake nini, ni haya matakataka wanayolishwa kila siku na watu wasiokuwa waaminifu.
 
Hayo maji yanatumika kivipi?
Kama wewe ni male mwanaume mtongeze demu anayeuza duka la nyama au samaki kwa mpemba atakueleza yote na kuyasifia.
Mbona hii kitu iko wazi Sana...ndio maana tunaambiwa tuombee vyakula hata kabla ya kuviingiza nyumbani.
 
Maslahi ya biashara za watu yameguswa! Wapuuzi wakubwa hao, ukweli sasa tunaujua, Mpango kasema wazi wazi.
 
Mavi ya mbuzi ??! Sidhani hawana sayansi hiyo! Halafu unawakweza sana!! Hawana nguvu hizo ! Never !!
Sawa vegetarian, sikutishi. Omba tu na Kila kiti kitakuwa sawa.

Nmekumbuka kiti, Mahindi usinunue unga, nenda nunua Mahindi halafu yaoshe mwenyewe ndo usage unga, Kuna dawa ya kuzuia wadudu kubungua pia husababisha saratani.

Ndugu vegetarian, hujiulizi APPLE linatoka south Afrika linakaa container zaidi ya mwezi Bado unalikuta fresh???
 
Naomba kuuliza,haya maji ya kuuoshea maiti,ni maji Dawa au ni yale maji yanyokusanywa baada kuoshea maiti na kuhifadhiwa?
Sio maji dawa, ni take yanayokusanywa baada ya kuosha maiti na kuhifadhiwa.
Kama upo Arusha nikueleze kibanda cha kwenda kununua ....@ opposite na na soko kuu kwenye vile vile viduka vile
 
Back
Top Bottom