Majibu ya hoja za uzi kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani nitajibu humu

Mbagala hakuna kiwanja cha 5mil hata chamazi sasa hivi hakuna kiwanja cha 1.5mil..
Kwa sasa mbagala hauwezi kupata kiwanja labda ununue nyumba ubomoe
Aje kijichi hapa uwanja milion 30
 
Kama unataka kulia hivi.

Hata sisi tumezaliwa dar hadi ushuani na uswazi tumeishi wengine hadi mule ndani ya fensi ya lile jumba jeupe tumepiga usingizi.

Mbagala uswazi watu makini wenye mitikasi inaoeleweka hawezi nenda nunua kiwanja mbagala na barabara ya kule mbele kote kule

Utawakuta bagamoyo road au morogoro road.

Kama anao mkwanja mrefu atakuwa kitaa ya obey, masaki, mikocheni, downtown nk

Mbagala kule ushenzini[emoji1]
 
Kimara ya wapi maji shida.
 
Kidukulilo sasa anatumia Bill Lugano ,huyu mzee sijui alipotelea wapi!
 
Mkuu naamini wewe ni mdar es salaam,kino,magomeni,k'koo,ilala wazaliwa wengi wa huko wamezeekea kufikia hadi kujukuu wakiwa makwao kwa ujinga kama huu wa kuamini sehemu kama mbagala ni kwa washamba
 

Hizo zinaitwa Slums.
 
Mkuu naamini wewe ni mdar es salaam,kino,magomeni,k'koo,ilala wazaliwa wengi wa huko wamezeekea kufikia hadi kujukuu wakiwa makwao kwa ujinga kama huu wa kuamini sehemu kama mbagala ni kwa washamba
Hapa DAR hakuna porini wala mbali ebu fikiria enzi hizo pale lugalo military base,kipawa uwanja wa ndege na uwanja wa taifa Kwa mkapa zilikuwa ni maeneo ya pembezoni lakini hivisasa ni katikati ya mji
 
Mkuu hata mimi nimezaliwa, kusoma kuanzia vidudu mpaka degree yangu ya kwanza Dar ingawa kwasasa nipo kikazi huku nyanda za juu kusini Mbeya mkoa wangu wa originality by tribe kwa miaka miwili. Nipo tayari kushirikiana nawe kwa wale wote wanaopotosha kuhusu maeneo mbalimbali ya Dar Es Salaam.
Asante
 
Na kukubali jirani, watu tujivunie maendeleo ya watu, siyo maendelea ya watu, kinondoni mimi kinondoni mimi, kaangalie chumba anachoishi sasa, kazi kubishana na wapangaji wa kike kununua umeme.
 
Sisi tuliokulia Mbezi kwa Yusuph hapo vipi?
 
Na kukubali jirani, watu tujivunie maendeleo ya watu, siyo maendelea ya watu, kinondoni mimi kinondoni mimi, kaangalie chumba anachoishi sasa, kazi kubishana na wapangaji wa kike kununua umeme.
Pamoja Saanaa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…