ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Aje kijichi hapa uwanja milion 30Mbagala hakuna kiwanja cha 5mil hata chamazi sasa hivi hakuna kiwanja cha 1.5mil..
Kwa sasa mbagala hauwezi kupata kiwanja labda ununue nyumba ubomoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje kijichi hapa uwanja milion 30Mbagala hakuna kiwanja cha 5mil hata chamazi sasa hivi hakuna kiwanja cha 1.5mil..
Kwa sasa mbagala hauwezi kupata kiwanja labda ununue nyumba ubomoe
Kimara ya wapi maji shida.Nimekumbuka uzi wa KidukuLilo kwenye kikao chake na matajiri USA akaonyesha picha za mijengo yake Masaki , Ostabei na Posta na kuwaambia nchini kwao huko ndiko kuna wanakaa matajiri rafiki zake walihuzunika mno na kulia kuwa Tanzania kuna maisha magumu mno.
Sasa unakuta Jf mtu yupo kimara sijui ,Goba nk kuna maji shida ,usafiri shida anajiona yupo NewYork inasikitisha sana..
Kidukulilo sasa anatumia Bill Lugano ,huyu mzee sijui alipotelea wapi!Nimekumbuka uzi wa KidukuLilo kwenye kikao chake na matajiri USA akaonyesha picha za mijengo yake Masaki , Ostabei na Posta na kuwaambia nchini kwao huko ndiko kuna wanakaa matajiri rafiki zake walihuzunika mno na kulia kuwa Tanzania kuna maisha magumu mno.
Sasa unakuta Jf mtu yupo kimara sijui ,Goba nk kuna maji shida ,usafiri shida anajiona yupo NewYork inasikitisha sana..
Ni wapi huko? Mbagala? Mh! sijawahi sikiaKimbangulile
Mbagala kubwa sanaNi wapi huko? Mbagala? Mh! sijawahi sikia
Mkuu naamini wewe ni mdar es salaam,kino,magomeni,k'koo,ilala wazaliwa wengi wa huko wamezeekea kufikia hadi kujukuu wakiwa makwao kwa ujinga kama huu wa kuamini sehemu kama mbagala ni kwa washambaNaishi mbagala chamazi mkuu huku nimejenga Toka Toka 2013 na siwezi kwenda kuishi wilaya nyingine zaidi ya temeke hasa huku mbagala..nafurahia Sana maisha yetu ya chamazi huwa nikienda mitaa yangu ya zamani kinondoni wanakuta ndugu zangu hasa wajomba zangu na mama zangu wadogo jinsi walivyochoka ni sifa Tu za kuishi kinondoni kwenye nyumba zao za urithi tena zimechoka.
Fusra za maisha zilizopo mbagala hauwezi kufananisha na sehemu nyingine hapa Tanzania
DAR inavituko Sana. Miaka miwili Sasa nipo Kaskazini ya Dar es salaam ngoja nikupitishe Maeneo hatari na kukabwa nje nje
1.Kawe Mzimuni uswaz Sana pameachwa mbali Sana na Mbagala yote kwa Ujumla
2.Tegeta kwa Ndevu eneo la Msichoke ni hatari na ukabaji ni Jambo la kawaida hakuna Barabara za kupita mavi hovyo hovyo kutapakaa mitaani Miguu ya kuku na utumbo kawaida Sana
3.Tegeta Machinjoni mpaka Uwanja wa Panga ni hatari tupu hapafai kwa Maisha ya binadamu vibaka ni Wengi wanakaba mpaka Mchana
4.Kunduchi Mtongani ni Uswazi hasa hata viwanja Bei rahisi Sana no value at all. Huko Panya road normal Sana.
5.Bunju Usalama yaani ni Vituko tupu hapo wamechanganyika Malofa na wanaojiweza
6.Mbweni Maputo huko ni hovyo sijawahi Maisha ya ajabu Kama hayo hapa Dar es salaam
7.Msasani Maandazi Road Kama unataka kwenda shoppers hakika nawaambieni Mbagala Ipo juu Sana kuliko Hilo eneo yaani ni chafu Sana muda wote linanuka tope na vinyesi
8. Kinondoni Shamba yaani ni Uswahilini iliyopitiliza Hali ya kawaida
9.Mwananyamala kuanzia kwa sindano,kidile,Manjunju, Mama Zacharia mpaka kutokea Tandale yaani ni Takataka tupu hayo yanayozungumziwa Mbagala ni nafuu Sana kuliko hayo maeneo yaani Mautumbo ya kuku ,vyoo kuzibuliwa hovyo, Pombe za kienyeji tena zilizolala siku tatu mpaka wiki zipo Mwananyamala
9.Nenda Mikocheni A maeneo ya nyuma ya Choppers plaza hutoamini macho yako yaani ni Uswahilini huwezi amini macho yako kukabwa na kuvunjiwa ni kawaida Sana.
Hio namba tatu ni tatizo la kitaifaHumu jukwaani watu wengi wana matatizo ya akili + njaa na ny.ege usiwachukulie siriaz utateseka buree
Hapa DAR hakuna porini wala mbali ebu fikiria enzi hizo pale lugalo military base,kipawa uwanja wa ndege na uwanja wa taifa Kwa mkapa zilikuwa ni maeneo ya pembezoni lakini hivisasa ni katikati ya mjiMkuu naamini wewe ni mdar es salaam,kino,magomeni,k'koo,ilala wazaliwa wengi wa huko wamezeekea kufikia hadi kujukuu wakiwa makwao kwa ujinga kama huu wa kuamini sehemu kama mbagala ni kwa washamba
Wakuja wengi hawajui iko kituHapa DAR hakuna porini wala mbali ebu fikiria enzi hizo pale lugalo military base,kipawa uwanja wa ndege na uwanja wa taifa Kwa mkapa zilikuwa ni maeneo ya pembezoni lakini hivisasa ni katikati ya mji
Mbagara ipi unaweza pata eneo la wazi, au vikindu na kongowe ya mkoa wa pwani nayo ni mbagara.Chanika 1.5ml
Chamazi 1.5ml
Mbagala 5.0ml
Goba 30ml
Boko 50->ml.
Sqm ~600.
Na kukubali jirani, watu tujivunie maendeleo ya watu, siyo maendelea ya watu, kinondoni mimi kinondoni mimi, kaangalie chumba anachoishi sasa, kazi kubishana na wapangaji wa kike kununua umeme.Naishi mbagala chamazi mkuu huku nimejenga Toka Toka 2013 na siwezi kwenda kuishi wilaya nyingine zaidi ya temeke hasa huku mbagala..nafurahia Sana maisha yetu ya chamazi huwa nikienda mitaa yangu ya zamani kinondoni wanakuta ndugu zangu hasa wajomba zangu na mama zangu wadogo jinsi walivyochoka ni sifa Tu za kuishi kinondoni kwenye nyumba zao za urithi tena zimechoka.
Fusra za maisha zilizopo mbagala hauwezi kufananisha na sehemu nyingine hapa Tanzania
Pamoja Saanaa mkuuNa kukubali jirani, watu tujivunie maendeleo ya watu, siyo maendelea ya watu, kinondoni mimi kinondoni mimi, kaangalie chumba anachoishi sasa, kazi kubishana na wapangaji wa kike kununua umeme.